Hivi kwanini kusiwe na utaratibu mazuri wa namna ya kutunza cash za noti? Unakuta noti za elfu kumi, elfu moja, elfu mbili au elfu tano zinawekwa ovyo sana kwa kukunjwa kunjwa na watu kiasi ambacho Ile durability tunayoambiwa haipo tena.
Nchi zilizoendele noti zote zipo electronically na hakuna mwanachi yupo interested kubeba minoti mfukoni ni ushamba mkubwa.
Au ipitishwe sheria kwamba kila mtu awe na wallet na awe anaweka ndani pesa zake mana kwenye waleti pesa zinakuwa zimenyooka na hazikunjiki.
Kwa Msingi huo basi serikali itakuwa inaingia ghrama kila mara kuprint pesa. Mostly pesa za nchi hizi zinazoendelea zinapringiwa nje na makampuni na serikali inalipia cost of printing.
Sasa serikali iunatumia gharama kubwa sana kiuzembe kabisa. Unakuta makonda au yeyote yule kaikunja mpaka unaionea huruma.
Nchi zilizoendele noti zote zipo electronically na hakuna mwanachi yupo interested kubeba minoti mfukoni ni ushamba mkubwa.
Au ipitishwe sheria kwamba kila mtu awe na wallet na awe anaweka ndani pesa zake mana kwenye waleti pesa zinakuwa zimenyooka na hazikunjiki.
Kwa Msingi huo basi serikali itakuwa inaingia ghrama kila mara kuprint pesa. Mostly pesa za nchi hizi zinazoendelea zinapringiwa nje na makampuni na serikali inalipia cost of printing.
Sasa serikali iunatumia gharama kubwa sana kiuzembe kabisa. Unakuta makonda au yeyote yule kaikunja mpaka unaionea huruma.