Serikali iondoe utaratibu wa kukata bima ya mkopo kwa mkupuo kwa watumishi wanapochukua mkopo bank

Serikali iondoe utaratibu wa kukata bima ya mkopo kwa mkupuo kwa watumishi wanapochukua mkopo bank

Leele

Member
Joined
May 11, 2020
Posts
39
Reaction score
18
Tunajua kuwa watumishi wengi karibu wote wanatumia mikopo kuendeleza/kuanzisha biashara zao,kusomesha watoto,kujisomesha na mambo mengine.

Hapo miaka ya nyuma kidogo bima ya mkopo ilikuwa inalipwa kwa awamu mpaka mkopo unaisha hii ilitoa nafuu kubwa Sana kwa mkopaji kwa sasa bima hii inakatwa kwa mara moja Jambo hili linaumiza Sana mkopaji hasa mtumishi pia riba zipo juu Sana.

Tafadhali serikali rudisheni utaratibu wa zaman wa kukata bima ya mkopo kwa awamu , utaratibu wa sasa unaumiza Sana wakopaji.

Jaman mkiwa mnaambiwa jaribuni kusikia na kuchukua hatua huu utaratibu wa sasa ni kandamizi Sana ama ni kwa sababu mkopaji Hana kusemea? Nimalize Kwa kuomba serikali iingilie kati bima ya mkopo ikatwe kwa awamu Kama ilivokuwa hapo awali.
 
Tunajua kuwa watumishi wengi karibu wote wanatumia mikopo kuendeleza/kuanzisha biashara zao,kusomesha watoto,kujisomesha na mambo mengine. Hapo miaka ya nyuma kidogo bima ya mkopo ilikuwa inalipwa kwa awamu mpaka mkopo unaisha hii ilitoa nafuu kubwa Sana kwa mkopaji kwa sasa bima hii inakatwa kwa mara moja Jambo hili linaumiza Sana mkopaji hasa mtumishi pia riba zipo juu Sana . Tafadhali serikali rudisheni utaratibu wa zaman wa kukata bima ya mkopo kwa awamu , utaratibu wa sasa unaumiza Sana wakopaji. Jaman mkiwa mnaambiwa jaribuni kusikia na kuchukua hatua huu utaratibu wa sasa ni kandamizi Sana ama ni kwa sababu mkopaji Hana kusemea? Nimalize Kwa kuomba serikali iingilie kati bima ya mkopo ikatwe kwa awamu Kama ilivokuwa hapo awali.
We myumishi achana na mkopo ni chanzo cha maisha yaki duni na ziki tumia savings kukusanya mtaji haraka ya nini?.....mtanyanyaswa na kila aina ya sera kwasbb mko wengi na hamskiii
 
We myumishi achana na mkopo ni chanzo cha maisha yaki duni na ziki tumia savings kukusanya mtaji haraka ya nini?.....mtanyanyaswa na kila aina ya sera kwasbb mko wengi na hamskiii
Nakubaliana na shauri wako ndugu lakini ni vizuri kutambua kwamba Kila mtu anafanya Jambo kwa malengo yake baadhi ya biashara unazoziona zimesimama, wanafunzi kusoma vyuo vikuu na mengineyo ni kwa sababu ya mikopo hivyo basi sio Kila mkopo utakufanya uwe na maisha duni inatemea mkopaji
 
Nakubaliana na shauri wako ndugu lakini ni vizuri kutambua kwamba Kila mtu anafanya Jambo kwa malengo yake baadhi ya biashara unazoziona zimesimama, wanafunzi kusoma vyuo vikuu na mengineyo ni kwa sababu ya mikopo hivyo basi sio Kila mkopo utakufanya uwe na maisha duni inatemea mkopaji
Mkuu hayo yote yanawezekana kwa kutumia personal savings sio lazima ukope jipange mapema ujue bajeti zako mapema.
 
Mkuu hayo yote yanawezekana kwa kutumia personal savings sio lazima ukope jipange mapema ujue bajeti zako mapema.
Ukosahihi sana Kiongozi. Mikopo ni mitego na vyanzo vya msongo wa mawazo
 
Back
Top Bottom