#COVID19 Serikali iongeze elimu dhidi ya chanjo ya COVID-19, imuombe Askofu Gwajima asiongelee chanjo

#COVID19 Serikali iongeze elimu dhidi ya chanjo ya COVID-19, imuombe Askofu Gwajima asiongelee chanjo

Mpaka sasa hakujawahi kutokea chanjo yenye kuleta side effects baada ya siku ya 40 baada ya kuchoma chanjo. Hivyo hivyo kwa chanjo ya uviko na kwa kuangalia viambata vilivyomo ndani ya chanjo za uviko, wataalamu hawategemei kama kutakua na side effects zitazoweza kutokea zaidi ya siku ya 40 baada ya kuchoma chanjo ya uviko.
Sasa ni kwanini chanjo huwa zinafanyiwa majaribio ya usalama kwa miaka hadi 15 kabla hazijapewa ruhusa ya kugawiwa kwa watu? (Ukiacha emergency use authorization), Kwanini wasitest usalama wake kwa siku 40 tu?

Pia naomba andiko lolote la kitabibu linalosema sideeffects haziwezi kujitokeza baada ya siku 40 (longterm effects).
 
Sasa ni kwanini chanjo huwa zinafanyiwa majaribio ya usalama kwa miaka hadi 15 kabla hazijapewa ruhusa ya kugawiwa kwa watu? (Ukiacha emergency use authorization), Kwanini wasitest usalama wake kwa siku 40 tu?

Pia naomba andiko lolote la kitabibu linalosema sideeffects haziwezi kujitokeza baada ya siku 40 (longterm effects).
Hiyo habari ya kwamba safety inapimwa kwa miaka 15 umeitoa wapi?
 
Hiyo habari ya kwamba safety inapimwa kwa miaka 15 umeitoa wapi?
Hiyo si habari, ni utaratibu wa hatua za kuhakikisha usalama wa Chanjo. Ila tuseme hata sio miaka 15, tuseme usalama wa chanjo ni siku 40, naomba andiko lolote la kitabibu linalosema kwamba baada ya siku 40 chanjo haiwezi kuleta madhara. Mfano ukachomwa chanjo leo, baada ya mwaka ukazaa mtoto mwenye defect flani za kivinasaba, utasemaje baada ya siku 40 hapawezi kutokea madhara? Umetumia logic gani?
 
Hiyo si habari, ni utaratibu wa hatua za kuhakikisha usalama wa Chanjo. Ila tuseme hata sio miaka 15, tuseme usalama wa chanjo ni siku 40, naomba andiko lolote la kitabibu linalosema kwamba baada ya siku 40 chanjo haiwezi kuleta madhara. Mfano ukachomwa chanjo leo, baada ya mwaka ukazaa mtoto mwenye defect flani za kivinasaba, utasemaje baada ya siku 40 hapawezi kutokea madhara? Umetumia logic gani?
History shows this is a common pattern. When new vaccines are released, the unknown side effects, if any, show up within two months of vaccination. This history goes back to at least the 1960s with the oral polio vaccine and examples continue through today.

 
Hiyo si habari, ni utaratibu wa hatua za kuhakikisha usalama wa Chanjo. Ila tuseme hata sio miaka 15, tuseme usalama wa chanjo ni siku 40, naomba andiko lolote la kitabibu linalosema kwamba baada ya siku 40 chanjo haiwezi kuleta madhara. Mfano ukachomwa chanjo leo, baada ya mwaka ukazaa mtoto mwenye defect flani za kivinasaba, utasemaje baada ya siku 40 hapawezi kutokea madhara? Umetumia logic gani?
Again vaccine does nothing on your DNA
 
Yaani serikali impigie magoti mpotoshaji tena.
Sukuma ndani tu na ka saccos chake cha kupigia nacho fungilia mbali
 
Again vaccine does nothing on your DNA
Okay, tufanye haifanyi chochote kwenye DNA, nimetolea mfano tu, inaweza ikawa baada ya mwaka ukajikuta unashindwa kudungisha mwanamke ujauzito, na ikabainika ni matokeo ya hiyo chanjo, ni mfano tu, utasemaje kwamba madhara yanaishia siku 40? Umetoa wapi hiyo? Umetumia logic ipi kusema hivyo?
 
History shows this is a common pattern. When new vaccines are released, the unknown side effects, if any, show up within two months of vaccination. This history goes back to at least the 1960s with the oral polio vaccine and examples continue through today.

Hahahah, yaani wewe unaleta propaganda za madalali wa chanjo halafu unategemea mtu mwenye akili timamu aamini, mfano leo mtu akachomwa chanjo, halafu baada ya mwaka akajikuta anashindwa kudungisha mimba, au anashindwa kupata mimba, utasemaje sasa kwamba madhara ya chanjo huishia miezi miwili? Ni logic ipi imetumika hapo?
 
Hulazimishwi, lakini hiyo hiari yako usiitumie vibaya kuwaambukiza wengine. Ukiwa kwenye public places au transport vaa barakoa, hutaki unashushwa, kwenye mikusanyiko yote vaa barakoa na tahadhari nyingine. Sasa haiwezekani kuchanjwa hutaki na pia kuchukua tahadhari hutaki.
Kama umechanjwa utaambukizwaje UVIKO-19?

HIARI huwa haina masharti na endapo yeyote atabuni mbinu yoyote inayosababisha kuifanya kuwa na sharti na kukubali hiyo huitwa lazima bila ridhaa ambapo ni kosa la kuingilia faragha

LAZIMA ina masharti ambapo isiyezingatia hupata adhabu

TUME iliyoundwa kwa mamlaka tendaji ya Rais ilitamka hadharani na kwenye maandishi kwamba CHANJO ya UVIKO-19 ni HIARI

Kwanini mtu alazimishe kwa kisingizio cha kwamba asiyechanja hana HIARI ya kuambukiza wakati hata aliyechanja naye anaambukiza sawia?

Huu ni uonevu wa bayana kabisa
 
Jana nilimskiliza tena askofu Gwajima! Matamshi yake yanaungwa mkono na watu wengi sana kuliko hata watu waliopewa ubalozi wa Corona. Nashauri yafuatayo:

1. Serikali iongeze elimu juu ya chanjo
2. SerikaLi imuombe Gwajima abaki na msimamo wake lakini asiongelee chanjo
3. Itangaze chanjo kuwa lazima
4. Vyama vya upinzani vishirikishe hatua kwa hatua ilikuleta umoja katika kupambana na hili janga.

ÑB: Clip za Gwajima zinauzwa na warusha movie tsh 300 na unaambiwa mauzo ni makubwa. Jana kwenye kijiwe cha chai tuliwekewa hiyo video mpaka watu wakasahau kuangalia movie.
Wewe lijamaa ni lijinga sana, wakati hao waliokuletea chanjo wanafikiria kuacha kuchanjana kwa sababu herd immunity imegoma wewe unasisitiza iwe lazima, you must be sick.
 
40 days sijasema mimi, wamesema wataaalamu wa chanjo na sio chanjo ya korona tu chanjo ma nyingine pia... Kutokana na maswali yako nimesoma zaidi chap, nimeona sio siku 40 exactly bali ni siku chache kama chini ya miezi miwili. Unaweza kusoma na wewe mifano kwenye chanjo mbali mbali kwenye link hii:

 
Back
Top Bottom