imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Na mapankiKuna furu, dagaa, nembe, gogogo, ngerengere, changu n.k, hawa wanatutosha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mapankiKuna furu, dagaa, nembe, gogogo, ngerengere, changu n.k, hawa wanatutosha!
una uhakika gogogo na hao samaki wengine wapo masoko yote Tanzania ? mimi nimeishi zaidi ya mikoa 5 wananchi wengi wanaoenda sokoni huenda kununua mboga za majani na dagaa tu,na hata wachache wanaonunua nyama na samaki hulia bei ni kubwa
Unafikili samaki anauzwa kwa bei kama mchicha? Zidhani hata bei ya samaki unaijua.kama kweli tunawajali wanyonge hizo samaki ziende masoko ya watanzania zikauzwe bei ndogo
hivi lile agizo la kuwauzia nyama ya kifimbo watanzania lilitekelezwa ?
Hapana mkuu nilikuwa nazungumzia kubadilisha chakula yani watu wa kipato cha chini wawe na uwezo wa kubadili mboga na wa kipato cha kati waweze kumudu gharama za mboga bila kulia,ila ahsante kwa mchango wako maana sikufahamu kuhusu NutritionKama unazungumzia suala la nutrition, dagaa ni bora kuliko sangala au samaki wengine wakubwa katika ziwa Victoria
ingawaje radha ya mdomoni ni vise versa. Hivyo siyo vibaya kufanya biashara ya kigeni ya sangala.
Mkuu bila shaka hujanielewa maana umeongea kitu tofauti na nilichoandika,naomba unisome tena utanielewaUnafikili samaki anauzwa kwa bei kama mchicha? Zidhani hata bei ya samaki unaijua.
Mkuu nimetoa tu ushauri,hao TAFICO hata sijawahi kuwasikiaWaulize kwanza TAFICO walipeleka wapi
Na sababu zipi ilifanya ikafa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili za kiwango cha chini namna hii, inahitaji uvumulivu wa hali ya juu kuweza kukuelewesha jambo loloteTanzania makabila magapi hula Samaki hadi samaki iwe issue? Masai huwa Hali samaki ulishawahi muona mtoto wa kimasai mwenye utapiamlo? Mleta maada una agenda ya kishetani tu kuua uchumi waua uchumi Kama nyie ndio mnataka mpewe nchi Mungu hawezi kubali atatupa hata nguvu ya kuwaibia kura
wewe ni economic hitman shetani wewe
Yesu hawezi kusikiliza maombi ya kijinga mkuu.Chadema ni pepo kila Kitu chema ni kupinga tu Pepo chadema toka kwa Jina Yesu
Ndio maana wanakula na kutuzidi akili. Sisi tunanakia na vidagaa tu.Kuwanenepesha mabeberu
Kwanini hawampendi mkuu?Hivi unahabari kuwa sangara alipandikizwa ziwa Victoria na wakazi wengi wa eneo hilo hawampendi?
Wamejaa mahospitalin nenda muhimbilTanzania makabila magapi hula Samaki hadi samaki iwe issue? Masai huwa Hali samaki ulishawahi muona mtoto wa kimasai mwenye utapiamlo? Mleta maada una agenda ya kishetani tu kuua uchumi waua uchumi Kama nyie ndio mnataka mpewe nchi Mungu hawezi kubali atatupa hata nguvu ya kuwaibia kura
wewe ni economic hitman shetani wewe
Dah!Samaki mbona wengi tu mtaani. Kuna perege, kitoga, changu, mbarata, kibua, kambale. Acha wivu mtoa mada
Tanzania Fishing Corporation (TAFICO), lilikuwa ni shirika la uvuvi, moja ya mashirika ya Mwalimu yaliyokufa.Mkuu nimetoa tu ushauri,hao TAFICO hata sijawahi kuwasikia