Serikali ipige marufuku utazamaji wa tamthlia hapa nchini

Serikali ipige marufuku utazamaji wa tamthlia hapa nchini

Hilo ni jukumu lako wewe mzazi au mlezi...

Leo watoto wako... wa mwenzio wakiwa vibaka waache ni mzigo wake...

Pambana na kibanzi ktk jicho lako na uachane na boliti ktk jicho la mwenzio...
Wewe watoto wa wenzio wakiwa vibaka au watu wa ovyo utanufaika nini mkuu? Acha kuetetea uharibifu wa taifa. Mtoto wa mwenzio ni mtoto wako pia. Na ukumbuke nazi mbovu ni harabu ya nzima.
 
Hapo ni sawa na useme serikali ipige marufuku uuzwaji wa pombe which is totally impossible.
 
Hapo ni sawa na useme serikali ipige marufuku uuzwaji wa pombe which is totally impossible.
Basi kama ni hivyo iruhusi pia uuzaji wa bangi na madawa ya kulevya ili taifa liangamie kabisa.
 
Inasikitisha sana mtoto wa darasa la saba kutofahamu historia ya nchi yake. Juzi nilimsikia kiongozi mmoja wa serikali akiwahoji baadhi ya wanafunzi maswali mepesi kabisa lakini wakashindwa kujibu. Ni aibu kubwa sana mwanafunzi wa darasa la saba anayetarajia kufanya mtihani wa kitaifa miezi 8 ijayo kuulizwa ataje matunda ya muungano anataja maembe, maparachichi, machenza na machungwa!

Nimekuwa nikifuatilia malezi ya watoto hapa mjini kwa muda mrefu; nimegundua watoto wanatumia muda mwingi kutazama tamthlia za kichina, kihindi na kifilipino wawapo nyumbani na kwenye mabanda ya kutazamia video. Hata inapofika saa 2 jioni badala ya kutyuni taarifa ya habari, wazazi hubadilisha na kuanza kutazama sinema.

Matokeo yake watoto wanashindwa kujibu maswali rahisi kama vile kutaja majina ya viongozi wakubwa nchini wakimwemo Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu. Hili ni tatizo kubwa. Yaani nchi hii tunakoelekea Mungu tu atuonee huruma atufungue minyororo ya akili tuliyofungwa na shetani. Akina mama na beki 3 wanaharibu sana watoto kwa tamthlia hizi za kipuuzi. Na wakimaliza kutazama tamthlia wanahamia kusikiliza singeli, bongofleva, taarabu, vigodoro na nyimbo nyingine za kijinga kama hizo.

Inashangaza unamkuta mtoto anajua kusimulia tamthlia ya kichina mwanzo hadi mwisho lakini hajui historia ya nchi yake. Ifike wakati serikali itunge sheria kali ya kudhibiti ujinga huu ili kunusuru kizazi hiki na kizazi kijacho. Unadhani hawa watoto wanaotazamishwa tamthlia za kijinga wakiwa wazazi hili taifa litakuwa na watu wa aina gani? Nonsense!
Wazazi wamewaachia waalimu wawalelee watoto.
 
Inasikitisha sana mtoto wa darasa la saba kutofahamu historia ya nchi yake. Juzi nilimsikia kiongozi mmoja wa serikali akiwahoji baadhi ya wanafunzi maswali mepesi kabisa lakini wakashindwa kujibu. Ni aibu kubwa sana mwanafunzi wa darasa la saba anayetarajia kufanya mtihani wa kitaifa miezi 8 ijayo kuulizwa ataje matunda ya muungano anataja maembe, maparachichi, machenza na machungwa!

Nimekuwa nikifuatilia malezi ya watoto hapa mjini kwa muda mrefu; nimegundua watoto wanatumia muda mwingi kutazama tamthlia za kichina, kihindi na kifilipino wawapo nyumbani na kwenye mabanda ya kutazamia video. Hata inapofika saa 2 jioni badala ya kutyuni taarifa ya habari, wazazi hubadilisha na kuanza kutazama sinema.

Matokeo yake watoto wanashindwa kujibu maswali rahisi kama vile kutaja majina ya viongozi wakubwa nchini wakimwemo Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu. Hili ni tatizo kubwa. Yaani nchi hii tunakoelekea Mungu tu atuonee huruma atufungue minyororo ya akili tuliyofungwa na shetani. Akina mama na beki 3 wanaharibu sana watoto kwa tamthlia hizi za kipuuzi. Na wakimaliza kutazama tamthlia wanahamia kusikiliza singeli, bongofleva, taarabu, vigodoro na nyimbo nyingine za kijinga kama hizo.

Inashangaza unamkuta mtoto anajua kusimulia tamthlia ya kichina mwanzo hadi mwisho lakini hajui historia ya nchi yake. Ifike wakati serikali itunge sheria kali ya kudhibiti ujinga huu ili kunusuru kizazi hiki na kizazi kijacho. Unadhani hawa watoto wanaotazamishwa tamthlia za kijinga wakiwa wazazi hili taifa litakuwa na watu wa aina gani? Nonsense!
IZI NDIO zinasababisha umasikini na uvivu. kwa mtu mwerevu, amua kutupa mbali tv, fanya mambo ya maana badala yake, maendeleo lazima utayapata tu.
 
Huo ulikuwa mfano tu.My point was hilo swala kutaka serikali ipige ban tamthilia haliwezekani. Labda ungeishauri jamii na hasa wazazi.
Basi kama ni hivyo iruhusi pia uuzaji wa bangi na madawa ya kulevya ili taifa liangamie kabisa.
 
Historia hii ya CCM na uzalendo uchwara wa viongozi kutumia fedha za kodi kwa uchoyo kwa kujinunulia ma toyota V8 kila moja millions zaidi ya 400 badala ya kutumia fedha hizo kuboresha elimu na afya ili waTanzania waweze kujiajiri kwa kutumia elimu inayostahiki siyo elimu hii iliyowekewa historia ruhani ya kiCCM!

Pia waTanzania wanastahili kuwa na afya bora kabisa ya kufanya kazi huku wameshiba milo mitatu kama serikali itaacha matumizi ya anasa kama magari V8 na kuelekeza fedha ktk rasilimali vifaa bora, dawa bora, matibabu bora huku sekta ya Afya na elimu ikiajiri watumishi wengi waliopikwa vizuri katika vyuo vyao vya elimu ili isaidie kufungua bongo za watoto wawe kizazi cha mabadiliko chanya cha baadaye.
 
Inasikitisha sana mtoto wa darasa la saba kutofahamu historia ya nchi yake. Juzi nilimsikia kiongozi mmoja wa serikali akiwahoji baadhi ya wanafunzi maswali mepesi kabisa lakini wakashindwa kujibu. Ni aibu kubwa sana mwanafunzi wa darasa la saba anayetarajia kufanya mtihani wa kitaifa miezi 8 ijayo kuulizwa ataje matunda ya muungano anataja maembe, maparachichi, machenza na machungwa!

Nimekuwa nikifuatilia malezi ya watoto hapa mjini kwa muda mrefu; nimegundua watoto wanatumia muda mwingi kutazama tamthlia za kichina, kihindi na kifilipino wawapo nyumbani na kwenye mabanda ya kutazamia video. Hata inapofika saa 2 jioni badala ya kutyuni taarifa ya habari, wazazi hubadilisha na kuanza kutazama sinema.

Matokeo yake watoto wanashindwa kujibu maswali rahisi kama vile kutaja majina ya viongozi wakubwa nchini wakimwemo Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu. Hili ni tatizo kubwa. Yaani nchi hii tunakoelekea Mungu tu atuonee huruma atufungue minyororo ya akili tuliyofungwa na shetani. Akina mama na beki 3 wanaharibu sana watoto kwa tamthlia hizi za kipuuzi. Na wakimaliza kutazama tamthlia wanahamia kusikiliza singeli, bongofleva, taarabu, vigodoro na nyimbo nyingine za kijinga kama hizo.

Inashangaza unamkuta mtoto anajua kusimulia tamthlia ya kichina mwanzo hadi mwisho lakini hajui historia ya nchi yake. Ifike wakati serikali itunge sheria kali ya kudhibiti ujinga huu ili kunusuru kizazi hiki na kizazi kijacho. Unadhani hawa watoto wanaotazamishwa tamthlia za kijinga wakiwa wazazi hili taifa litakuwa na watu wa aina gani? Nonsense!
Harafu Kwa vichekesho kama hivyo unatarajia Mwalimu atazeeka mapema kweli?
 
Niliichukia History kama somo, lakini cha kushangaza kuna channel ya,Tv inaitwa " History" very interesting. Lakini nikagundua ni jinsi wanavyosimulia sauti pamoja na videos ina capture mindset ya mtu. Sasa tukikremishana miaka ya waarab kuja Tz, miaka ya mazao, n.k bila kuweka iwe interesting tutabaki hivihivi.
Tamthilia ni wajibu wa mzazi kuweka " Parental control " na kudhibiti muda wa kuangalia TV kwa watoto , Ni wajibu wa Mzazi sio Serikali.
 
Inasikitisha sana mtoto wa darasa la saba kutofahamu historia ya nchi yake. Juzi nilimsikia kiongozi mmoja wa serikali akiwahoji baadhi ya wanafunzi maswali mepesi kabisa lakini wakashindwa kujibu. Ni aibu kubwa sana mwanafunzi wa darasa la saba anayetarajia kufanya mtihani wa kitaifa miezi 8 ijayo kuulizwa ataje matunda ya muungano anataja maembe, maparachichi, machenza na machungwa!

Nimekuwa nikifuatilia malezi ya watoto hapa mjini kwa muda mrefu; nimegundua watoto wanatumia muda mwingi kutazama tamthlia za kichina, kihindi na kifilipino wawapo nyumbani na kwenye mabanda ya kutazamia video. Hata inapofika saa 2 jioni badala ya kutyuni taarifa ya habari, wazazi hubadilisha na kuanza kutazama sinema.

Matokeo yake watoto wanashindwa kujibu maswali rahisi kama vile kutaja majina ya viongozi wakubwa nchini wakimwemo Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na Waziri Mkuu. Hili ni tatizo kubwa. Yaani nchi hii tunakoelekea Mungu tu atuonee huruma atufungue minyororo ya akili tuliyofungwa na shetani. Akina mama na beki 3 wanaharibu sana watoto kwa tamthlia hizi za kipuuzi. Na wakimaliza kutazama tamthlia wanahamia kusikiliza singeli, bongofleva, taarabu, vigodoro na nyimbo nyingine za kijinga kama hizo.

Inashangaza unamkuta mtoto anajua kusimulia tamthlia ya kichina mwanzo hadi mwisho lakini hajui historia ya nchi yake. Ifike wakati serikali itunge sheria kali ya kudhibiti ujinga huu ili kunusuru kizazi hiki na kizazi kijacho. Unadhani hawa watoto wanaotazamishwa tamthlia za kijinga wakiwa wazazi hili taifa litakuwa na watu wa aina gani? Nonsense!
Swali aliloulizwa lilikuwa na utata wa lugha (ambiguity); neno tunda laweza kuwa mafanikio au zao la mmea lenye mbegu ndani yake. Kwahiyo mwanafunzi alikuwa sahihi kwa muktadha mwingine
 
Utakariri majina ya mawaziri wangapi? ili iweje?
Hili halikuwa swali linalohitaji kukariri bali ni swali lililokuwa linahusu uelewa mdogo wa mwanafunzi, hasa ukizingatia kwamba majina hayo yanatamkwa kila siku kwenye TV, redio na vyombo vingine vya habari. Lakini kwa kuwa watoto siku zote watazamishwa taarabu, bongofleva, singeli na vigodoro ndio maana wanashindwa kujibu maswali rahsi kama haya. Huu ndio ulikuwa msingi wa hoja yangu mkuu. Labda umeninukuu vibaya.
 
Elimu ya uraia siyo ya kuwakaririsha majina ya viongozi wa nchi, ambao kwanza wanaweza kubadilishwa muda wowote lakini muhimu ni kuwafundisha haki na wajibu wa raia na kuwapa elimu za demokrasia na haki za binadamu, hayo ndiyo muhimu.

Mkitaka wawajue viongozi wa serikali, mna wajibu pia wajue muundo wa vyama vingi vya siasa ulivyo na viongozi wa vyama vikuu vya upinzani.
 
Na kuhusu historia yetu, historia hiyo imehojiwa na wadau mbalimbali kwamba haiko kamili au haisemi uhalisia wa nini kilifanyika ila Serikali imekuwa na uzito katika kuifanyia marekebisho. Tuirekebishe kwanza kabla hatujaifundisha.
 
Kutojua historia na kujua tamthilia vina mahusiano Kweli!?

Mbona kuna wasiojua vyote tamthilia wala historia na wapo wasiojua tamthilia wanajua historia na wale wasiojua historia wanajua tamthilia
Ila kukariri na kuimba miziki ya bongo fleva wako makini,tena wanakata mpaka mauno

Ova
 
Sio mtoto wangu tu mkuu. Watoto wengi wanaharibiwa na hizi tamthlia, singeli na bongofleva. Hata yule mtoto aliyeshindwa kujibu maswali mbona sio mwanangu mkuu? Sote tukishirikiana kuokoa kizazi chetu tutakuwa na taifa bora hapo baadaye. usipinge kila kitu mkuu; be positive, flexible and humble!
Tamthilia sasa hivi zimewakamata watoto vibaya mno:hasa zile za kicking,kituruki kihindi yaani ni hatari sana kwa taifa
 
Back
Top Bottom