25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
raha sio raha bila shaka hii ni rahaHilo ni jukumu la wazazi kumlea mtoto wao kwa mujibu wa maadili waiojiwekea wenyewe.
Serikali itapiga marufuku mangapi hapa nchini? Yalimshinda Nyerere hayo alikuwa hataki watu wamiliki TV, friji kwa kuwa ni anasa, matokeo yake ilikuwaje?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app