Serikali ipige marufuku utazamaji wa tamthlia hapa nchini

Hilo ni jukumu la wazazi kumlea mtoto wao kwa mujibu wa maadili waiojiwekea wenyewe.

Serikali itapiga marufuku mangapi hapa nchini? Yalimshinda Nyerere hayo alikuwa hataki watu wamiliki TV, friji kwa kuwa ni anasa, matokeo yake ilikuwaje?
raha sio raha bila shaka hii ni raha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wewe historia imekusaidia nini?
Hebu muulize historia ya kujua Ziwa Viktoria lilivumbuliwa na mzungu inamsaidia nini?

Au kujua Kenya ipo Afrika mashariki inamsaidia nini?

Mwambie pia, Cha msingi tafuta pesa kisha fasta utayajua matunda ya Muungano bila hata kuwa na mwalimu wa kukufundisha. Hata Kenya utaijua tu iko wapi maana utaenda kutembea
 
ACHA NIANDIKE KWA HERUFI KUBWA!!

MBONA XVDS ILIPIGWA STOP NA HAMKUSEMA ETI MTAKOSESHWA RAHA?
KWANINI BANGI INAZUILIWA NA HAMSEMI?
KWANINI UPUUZI(TIGO) INAZUILIWA NA HAMSEMI?

UKWELI JAMBO BAYA LOLOTE LINATAKIWA KUPINGWA TENA KWA NGUVU.. LEO HII TUNAMPINGA MTOA MADA LAKINI WATOTO WAKIFELI MASHULENI MNASINGIZIA WALIMU!

UKWELI KUNA VITU VINAINGIA HADI UBONGONI NA KWA MTOTO HUACHA DAMAGE KUBWA!!

NIMEISHI NA JAMAII ZA TAMTHLIA NA UOVYO MWINGINE NA JAMII ZILIZOKUWA BUSY NA ELIMU UKWELI TOFAUTI IPO!
 
Na mimi nakuuliza wewe maswali haya : Nitajie changamoto/kero 10 za huu Muungano, pili ni changamoto/kero ngapi tayari zimeshapatiwa ufumbuzi? Kwa mujibu wa rasimu ya katiba ya mzee Warioba ni yepi yalikuwa ni mapendekezo yao kuhusiana na mfumo wa huu Muungano? Asente.
 
Hii ni hoja mpya kabisa mkuu. Haihusiani na hii iliyopo mezani.
 
Kweli kabisa mkuu. Watanzania wengi wanaonipinga ni zao la tamthlia, kwa hiyo, hawawezi kunikubali hata kidogo. Hawajui kuwa nazi mbovu ni harabu ya nzima. Utadhani huko shuleni walienda kusomea ujinga badala ya kusoma elimu.
 
Hahahaha,,kitumbikwela napajua sana
 
Hivi kwenye hizi shule za kata wanafunzi wanafundishwa elimu au ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…