Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ulilipa deni LaoKukopa ni shida, na Ile ni huduma ndio maana mtu anachukua elf 20 anarudisha elf 29 because wote tunapata faida
Kila mtu anakopa Kwa sehemu Yake mwingine bank mwingine vikoba mwingine Kwa ndugu yake
Tunachozungumza hapa ni the way wanadai, hivi kweli mkopo wa elf 15 ambao umechelewa kulipa Kwa masaa 3 inapaswa atumiwe msg mkwe wako?
Tena wanaangalia Yale majina umesave vizuri ndio wanatuma msg za kudhalilisha
Inawezekana huyo ni mmoja wa hao maafisa mikopo wa mtandaoni ndio maana anatetea hiu ufedhuli.Hoja unaelewa?
Tatizo serikali imelala ndio maana wanapata kiburi.Watu wanashindwa kulipa deni sababu ya riba kuwa kubwa
Mpaka ufikishe hiyo milioni si itakuwa sehemu kubwa ni ile hela yako ya riba unayolipa mara kwa mara?Uncle hp4510 huwa sikurupuki.
Nanunua itel mpya, line mpya halafu contacts ninazoingiza Ni za matapeli na wazee wa ndagu tu. Halafu nawapigia ionekane Ni jamaa zangu.
Kisha naomba mkopo. Napewa nalipa, naomba Tena nalipa Tena , Tena na Tena mpaka tunafikishana kwenye milioni.
Na uko vikoba,na halmashauri napo mnashindwa kulipia madeni sabb ya riba kubwa??Watu wanashindwa kulipa deni sababu ya riba kuwa kubwa