Serikali irudishe pesa za IMF trilioni 2.4, ni nyingi sana - zote hizi za nini?

Serikali irudishe pesa za IMF trilioni 2.4, ni nyingi sana - zote hizi za nini?

Huwa nawaza kama pangekuwepo na sheria ya kuwabana hawa wakopaji, ikiwezrkana kila anayekopa arudishe mikopo yake kabla muda wake haujakwisha wa kukaa madarakani.

Hii mikopo imekuja kudumaza akili za viongozi wetu, ndio maana siku hizi wanaona kukopa sifa, kauli kama "tunakopesheka" au "mikopo ya masharti nafuu" zinazidi kutawala.
Hata mm naona hivyo hivyo mikopo yote inayokopwa ilipwe kwa kuzingatia waliokopa
 
Kukopa ni umasikini,unakopa unaenda zificha nje bank za Ulaya, wengine wananunulia mabus
Wapi ulipoona pesa zimefichwa? Kama zinapatikana na wewe kafiche na kanunulie mabasi..

Mwisho nauliza tena wapi ulipoona Nchi ikikopa inakuwa maskini? Taja Nchi moja tuu ambayo haikopi.
 
Wapi ulipoona pesa zimefichwa? Kama zinapatikana na wewe kafiche na kanunulie mabasi..

Mwisho nauliza tena wapi ulipoona Nchi ikikopa inakuwa maskini? Taja Nchi moja tuu ambayo haikopi.
Nipe connection niwe karibu na mzinga uone kama sitolamba asali.
Nchi za kiafrica tangu UHURU zinakopa mbona bado ni masikini.
 
Wataalam mtanipa elimu kidogo kama nipo tofauti. Hivi hii mikataba ya kuingia mkopo na mabenki makubwa ni nani anaepitisha?

Je, ni kweli bunge tulilonalo linaridhia hivi vitu? Mimi naona hapana vinginevyo hili Bunge Letu litakuwa limelogwa. Hii mikopo mikubwa mikubwa mbona inakuja kwa mlipuko kiasi hiki.

Mbona hatuoni matokeo chanya yanaonekana kwa wananchi kutokana na hii mikopo jamani. Nina uhakika wa asilimia mia ipo siku utawala wa huyu mama utaota magamba kila uchafu wanaoficha utakuwa wazi.

Kama Bunge linapitisha hii mikopo kwa kumuogopa Rais kwa kuwa ni mwenyekiti wao wa chama kisheria hii ni undue influence which renders contract void and void ab initio. Nawalipaji wa haya mamikopo ya kihuni ni sisi Watanzania.

Pia soma - Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF

Ipo siku maneno yatakwisha ya kusema tutasema kwa vitendo sasa.
Unaongelea bunge gani? Au hili hili la kina Babu Tale na waruka salakasi? " Wapinzani walituchelewesha sana,au nasema uongo ndugu zanguuuuu"? NILETEEEEENI GWAJIMAAAAAAA"
 
Wataalam mtanipa elimu kidogo kama nipo tofauti. Hivi hii mikataba ya kuingia mkopo na mabenki makubwa ni nani anaepitisha?

Je, ni kweli bunge tulilonalo linaridhia hivi vitu? Mimi naona hapana vinginevyo hili Bunge Letu litakuwa limelogwa. Hii mikopo mikubwa mikubwa mbona inakuja kwa mlipuko kiasi hiki.

Mbona hatuoni matokeo chanya yanaonekana kwa wananchi kutokana na hii mikopo jamani. Nina uhakika wa asilimia mia ipo siku utawala wa huyu mama utaota magamba kila uchafu wanaoficha utakuwa wazi.

Kama Bunge linapitisha hii mikopo kwa kumuogopa Rais kwa kuwa ni mwenyekiti wao wa chama kisheria hii ni undue influence which renders contract void and void ab initio. Nawalipaji wa haya mamikopo ya kihuni ni sisi Watanzania.

Pia soma - Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF

Ipo siku maneno yatakwisha ya kusema tutasema kwa vitendo sasa.
Kuelekea ktk kuandika KATIBA mpya, Pawepo na CHECKS and BALANCE, Rais Si lazima amalizie miaka MITANO.

Vigezo na Masharti yawekwe na kuzingatiwa. Kama inathibitika hawezi perform akae pembeni. Amen
 
Wataalam mtanipa elimu kidogo kama nipo tofauti. Hivi hii mikataba ya kuingia mkopo na mabenki makubwa ni nani anaepitisha?

Je, ni kweli bunge tulilonalo linaridhia hivi vitu? Mimi naona hapana vinginevyo hili Bunge Letu litakuwa limelogwa. Hii mikopo mikubwa mikubwa mbona inakuja kwa mlipuko kiasi hiki.

Mbona hatuoni matokeo chanya yanaonekana kwa wananchi kutokana na hii mikopo jamani. Nina uhakika wa asilimia mia ipo siku utawala wa huyu mama utaota magamba kila uchafu wanaoficha utakuwa wazi.

Kama Bunge linapitisha hii mikopo kwa kumuogopa Rais kwa kuwa ni mwenyekiti wao wa chama kisheria hii ni undue influence which renders contract void and void ab initio. Nawalipaji wa haya mamikopo ya kihuni ni sisi Watanzania.

Pia soma - Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF

Ipo siku maneno yatakwisha ya kusema tutasema kwa vitendo sasa.
Mataahira hamtakuja kuisha Duniani..

Sawa itarudisha maana matatizo ya Wananchi yalishakwisha.
 
Wataalam mtanipa elimu kidogo kama nipo tofauti. Hivi hii mikataba ya kuingia mkopo na mabenki makubwa ni nani anaepitisha?

Je, ni kweli bunge tulilonalo linaridhia hivi vitu? Mimi naona hapana vinginevyo hili Bunge Letu litakuwa limelogwa. Hii mikopo mikubwa mikubwa mbona inakuja kwa mlipuko kiasi hiki.

Mbona hatuoni matokeo chanya yanaonekana kwa wananchi kutokana na hii mikopo jamani. Nina uhakika wa asilimia mia ipo siku utawala wa huyu mama utaota magamba kila uchafu wanaoficha utakuwa wazi.

Kama Bunge linapitisha hii mikopo kwa kumuogopa Rais kwa kuwa ni mwenyekiti wao wa chama kisheria hii ni undue influence which renders contract void and void ab initio. Nawalipaji wa haya mamikopo ya kihuni ni sisi Watanzania.

Pia soma - Tanzania yakopa Tsh trilioni 2.4 kutoka IMF

Ipo siku maneno yatakwisha ya kusema tutasema kwa vitendo sasa.

Huwezi kusema mkopo mbaya au mzuri bila kujua muda wa kulipa na riba ya mkopo. Nafikiri wametoa muda wa miezi 40 lakini je riba kiasi gani?

1. Kama riba ya mkopo wa kulipa ni chini ya 5% na muda ni miaka 10 au zaidi huo ni mkopo mzuri sana
2. Kama mkopo ni wa chini ya 5% lakini muda ni chini ya miaka 5 basi ni mzuri wa kati
3. Kama Mkopo ni zaidi ya 5% na zaidi ya miaka 10 ni mbaya sana
4. Kama mkopo ni wa zaidi ya 5%-10% na chini ya miaka 5 ni mbaya kidogo
 
Tangu lini mkopo ukakutia kwenye umaskini?

Hata kwenye saccos yenu huko kamahamkopi mtaishia kuwamafukara hivyo hivyo hadinafukiwa.
Tanzania ni Nchi TAJIRI mikopo ya nn?

Sir Lanka ikope na sisi tukope?

CCM ikifa tutaweza KUKOPESHA mataifa mengine.

Mlikopa Ili kuhimili mfumuko wa Bei, mbona ndo zinazidi kupaa??

Nani ananufaika na mikopo hiyo?
 
Wangekuwa na akili wangemtumia raslimali tele kuendesha nchi na sio kuwatia watu umasikini kwa kukopa
Wanasiasa wanaangaliaga the easiest ways za kujichotea hela. Sasa kama akishakuwa na access ya kuiba via loans kwanini aumize kichwa.
 
Back
Top Bottom