The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Mdomo hulipii ndio maana unaropokaTanzania ni Nchi TAJIRI mikopo ya nn?
Sir Lanka ikope na sisi tukope?
CCM ikifa tutaweza KUKOPESHA mataifa mengine.
Mlikopa Ili kuhimili mfumuko wa Bei, mbona ndo zinazidi kupaa??
Nani ananufaika na mikopo hiyo?
Tanzania tuna bahati kubwa ya kuwa nchi yenye rasilimali nyingi katika hii dunia ila tuna bahati mbaya ya kuwa na watu wasio wazalendo. Kila mtu imani imemtoka kwa kuwakwa na tamaa.Kalunya upo sahihi kabisa Tanzania tuna kila aina ya rasilimali, Sema zinaenda kwa walanguzi
Nalipia vifurushi vyenye tozo juu. HAMTOLALA ucngz.Mdomo hulipii ndio maana unaropoka
Tusilale na Asali tuna lamba? ππNalipia vifurushi vyenye tozo juu. HAMTOLALA ucngz.
Kupatwa Huwa ni Kwa GHAFULA!!!Tusilale na Asali tuna lamba? ππ
Naona unajifariji ππππ,njaa ni mbaya SanaKupatwa Huwa ni Kwa GHAFULA!!!
Tena usiku wa manane, yule Malaika anapoijia alichotumwa na muweza wa yote.
Siku ya meno ya mbwa kuumana,
Siku Ile ya mtungi kupasuka kisimani,
Siku ya BUNDI kulia Kwa sauti kuu,
Siku hiyo yaja msipogeuka na KUTUBU.
Ameeeen
Ungejua maana na nguvu ya maneno niandikayo, usingejibu Kwa mzaha.Naona unajifariji ππππ,njaa ni mbaya Sana
Stress tuu zimekujaaUngejua maana na nguvu ya maneno niandikayo, usingejibu Kwa mzaha.