Serikali irudishe Tsh 20,000/= Ada ya sekondari kwa mwaka

Nchi za ulaya wangekuwa wamelemaa na uchumi umeanguka kabisa. Maana wao huduma za kijamii ni bure
Yani unalinganisha upotolo wa uongozi wa nchi za kiafrika na nchi za ulaya..tuanzie tu kwenye GDP.

Ndio uje ulete hoja zako hapa..hao jama wana uchumi mkubwa sana..sio.sisi uchumi wa mikopo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali langu linarudi palepale, hatuwezi kuendesha shule kwa ruzuku Ila hapo hapo kila mwaka mabilioni ya pesa yanaibwa. Kipi ni rahisi hapo kufanya? Kudhibiti hayo mabilioni yasiibiwe au kutoa hiyo ruzuku ya elimu bure?
Huduma zikiwa bure wizi au rushwa vitakoma?
 
Swali langu linarudi palepale, hatuwezi kuendesha shule kwa ruzuku Ila hapo hapo kila mwaka mabilioni ya pesa yanaibwa. Kipi ni rahisi hapo kufanya? Kudhibiti hayo mabilioni yasiibiwe au kutoa hiyo ruzuku ya elimu bure?

Elimu Tanzania haiwezi kuwa bure Mkuu, bado hatujafika huko
 
My balance Mambo iyo ada irudishwe tu
 
Kwa nini usiilipe wewe kwa niaba ya Wanafunzi kama inakuuma hivyo ? Unaonea wivu hata watoto yatima wanaojitahidi kujikomboa ? Hata hicho kidogo unataka wanyang‘anywe pia ? Hiyo Ni psyochopathy!

Yatima wanautaratibu wao wakusoma hiyo ni mpaka Chuo kikuu, mbona unakuwa Kama huishi Tanzania
 

Elewa kuwa huko wanakosoma bure kuna watu walilipia mbona huelewi Kiswahili?

Au unafikiri nchi hizo zilianza Jana Kama nchi yetu
 
Nchi za ulaya wangekuwa wamelemaa na uchumi umeanguka kabisa. Maana wao huduma za kijamii ni bure

Nchi za Ulaya mifumo Yao unalinganisha na mifumo ya nchi zetu?

Wenzanu walivamia na bado wanaendelea kutuvamia ndio maana wanawastarehesha watu wao.

Mimi nikishauri hapa nasi tutumie Sera na mifumo Yao kuna watu hawaelewi nazungumzia nini
 
Rubbish from a rabid mind!
 
Sawa!

Embu niambie sasa ni Kwa nini unataka Elimu ya sekondari itolewe bure?
watu ni masikini, simple! niko wa kabila fulani, wao ni madarasa, hiyo mtoto atapigwa mpaka afe kama hakwenda, lakini hizi formal classes ni hiari ya mtoto kwenda. Ukiweka na ada umewamaliza!
 
Wewe unaishi Nchi gani ambayo uko peke yako? Unatumia kigezo gani kusema Rais Samia hatoshi?

Vitu pekee ambavyo Magufuli anamzidi Samia ni; Kuua wakosoaji, UDIKTETA, kudhibiti bunge, kuitisha Mahakama, kubana vyombo vya habari na kukurupuka kwenye maamuzi kama alivyoharibu bei ya sukari na biashara ya korosho.
 
Nchi gani elimu kuanzia kindagate hadi chuo kikuu ni bure!?habu Tutajie moja tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…