Serikali isikubali mtafaruku wa Bandari kuchukua mkondo wa kidini, ni ngumu kuidhibiti

Je, hizi taarifa mitandaoni kuwa kuna viongozi wa DPW wameenda kwenye nyumba za ibada za dini na kuahidi misaada na kwingine hawakwenda zimekaaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…