Mnasubiri black bbox wakati abiria walio hai wapo?Assumption zimekuwa nyingi , labda tusubir black box... Kama aliwatangazia abiria kuwa wanachumpa Mwanza , ni kipi kilimfanya akatumbukiza ndege kwenye maji ?
Je aliignore uamzi wa kurud mwanza akaamua atest zari? Maofisa wa control tower walimuuza kumwambia atue ziwani? Mafuta yalikuwa low kurudi mwanza?
Hali ya hewa ilizingua ( poor visibility) akashindwa kuona anga ya kugeuza ndege kurudi mwanza? 😟
Hao abiria walisikia puuu wapo majini , hawajui pilot alikuwa anapambana na nini , hao sio reliable, hata ruban angekuwepo naye sio reliable , black box ndio trusted source of information , walioiweka sio mafalaMnasubiri black bbox wakati abiria walio hai wapo?
Mimi nilihairisha kupanda precision siku tulipotoka Arusha tunakuja mwanza tukashindwa kutua kukatangaziwa tunaweza kitua bukoba au Uganda ikashindikana tukarudi Arusha baada ya hapo nikarudi nyumbani usiku nikaondoka na Air Tanzania Kilimanjaro nikatua mwanza safi kabisa.Toka wakati huo mimi ni mteja mwaminifu wa Air Tanzania.Siku hiyo nilitubu zaidi ya mara 20 ,watu walisali sana Sasa safari kama hizi za Nini Sasa.
Nyie watu mna ushetani mwingi sana, mumetoa roho za watu ili mpate justification ya kuifuta Precision Air !!!Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.
Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.
Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.
Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.
So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.
I was eager to see my new beginnings.
Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.
Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.
Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision
Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.
2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.
Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.
Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.
Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.
Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision
. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.
Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.
Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.
Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.
Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.
Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.
Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.
Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.
Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.
Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.
Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.
Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years
Captain Buruhani Rubaga
Captain
Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11
Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos
First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)
Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Nyie watu mna ushetani mwingi sana, mumetoa roho za watu ili mpate justification ya kuifuta Precision Air !!!
Ingekuwa ni issue ya Chadema ungewakuta kwenye maji[emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2410212
Sasa matatizo uliyotaja hayapo kwenye airlines nyingine?Upo so defensive, sipo Hapa kuharibu reputation yenu . Umekosa mental maturity
Hakuna mahal nime mention ATCL
Usiseme kwa uzembe wa Tz,sema kwa uzembe ww serikali ya Tanzania.Kama Watanzania mnasubiri Black Box ambayo ni Jambo la kwanza ilipaswa kutangazwa first thing kuwa Black Box imeonekana
Hilo halijasemwa Na kwa uzembe wa TZ hilo litapita Hivyo
Jamaa yupo Datacentre ya hizo Blackbox .Watz bana Mzee hata Black box haijasema nini kilijiri kabla ya ajali we ushakuja na hitimisho. Tulia ripoti itoke chief hizo ndege hupandi wewe tu hata CC tunapanda. Tuacheni ujuaji mwingi ndugu zangu. Eti mkurugenz akamatwe kilio chake kina mengi kuwa serious basi mkuu. Kama ungekuwa unapanda ndege za Ethiopian airlines ungesemaje sasa?
Hivi ni ngumu kutoa andiko tu kutumia lugha moja tu aidha Kiswahili pekee au Kiingereza pekee !Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.
Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.
Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.
Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.
So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.
I was eager to see my new beginnings.
Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.
Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.
Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision
Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.
2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.
Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.
Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.
Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.
Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision
. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.
Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.
Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.
Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.
Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.
Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.
Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.
Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.
Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.
Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.
Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.
Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years
Captain Buruhani Rubaga
Captain
Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11
Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos
First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)
Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Uchunguzi ni muhimu sana, ila shida huwa inakuwa kwenye matokeo ya uchunguzi, yakuwa yamejaa siasa kuliko utaalamu na hivyo kupindisha ukweli. Pia tukumbuke kuna maslahi ya watu kwenye hii biashara.Ni kweli lakini kwa hawa Jamaa, nashauri serikali ipitie records zote za maintenance na hizo inspection. Pamoja na kuangalia team unayofanya hivyo vigezo vyao
Nimeyashuhudia matendo ya kishetani, hiki kiherehere chako cha kutoa hoja ya kusimamishwa Precision Air kabla hata ripoti ya uchunguzi wa chanzo cha ajali kutoka ndiyo inathibitisha nia yenu ovu na ndiyo ushetani wenyewe huo.Ulishawahi kumuona Shetani au ni hear say . Why una claim sisi ni shetani yamkini hujawahi hata kumuona shetani.
Jadili hoja, Acha arguments za mtaani
Huyo ni mr. misifaHivi ni ngumu kutoa andiko tu kutumia lugha moja tu aidha Kiswahili pekee au Kiingereza pekee !
Huyu jamaa ana haraka mno. Yeye anajua ujazo wa mafuta ya ndege? Hari ya hewa ikiwa mbaya ina determined akirudi kule atatumia masàa mangapi kuresque. Tushukru Mungu tu huyu rubani alijitahidi ndege sio mbovu. Kwa nini serikali isilaumiwe kwa kutokenga uwanja wa kajunguti kwenye usalama zaidi. Sisi hili ziwa tunalifahamu. Likichafuka haswaa unaweza ukadhani gharika sasa linakuja. Yaani panatisha vibaya tena basi kukiwa na radi.