Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Assumption zimekuwa nyingi , labda tusubir black box... Kama aliwatangazia abiria kuwa wanachumpa Mwanza , ni kipi kilimfanya akatumbukiza ndege kwenye maji ?

Je aliignore uamzi wa kurud mwanza akaamua atest zari? Maofisa wa control tower walimuuza kumwambia atue ziwani? Mafuta yalikuwa low kurudi mwanza?

Hali ya hewa ilizingua ( poor visibility) akashindwa kuona anga ya kugeuza ndege kurudi mwanza? 😟
Mnasubiri black bbox wakati abiria walio hai wapo?
 
Mnasubiri black bbox wakati abiria walio hai wapo?
Hao abiria walisikia puuu wapo majini , hawajui pilot alikuwa anapambana na nini , hao sio reliable, hata ruban angekuwepo naye sio reliable , black box ndio trusted source of information , walioiweka sio mafala
 
Mimi nilihairisha kupanda precision siku tulipotoka Arusha tunakuja mwanza tukashindwa kutua kukatangaziwa tunaweza kitua bukoba au Uganda ikashindikana tukarudi Arusha baada ya hapo nikarudi nyumbani usiku nikaondoka na Air Tanzania Kilimanjaro nikatua mwanza safi kabisa.Toka wakati huo mimi ni mteja mwaminifu wa Air Tanzania.Siku hiyo nilitubu zaidi ya mara 20 ,watu walisali sana Sasa safari kama hizi za Nini Sasa.

Sawa sawa. Hawa watu hawapo Serious . Nimesha Experience dharuba na hizi ndege za Precision, kwanza wakati mwingine hazifanyiwi proper inspection. Inspection yao ni kusafisha ndani na kupakia watu wengine

Nasema Serikali ifanyie kazi hili . Na nasema wananchi waachane na hili shirika.... otherwise tutazika ndugu sana , or else , walate brands new Precision .

Na mkibadili jina ku mislead wa TZ , tutawaanika hapa hapa.

Maisha ni thamani bwana , hatutaki majaribu. Mmeua injia, doctors, pharmacist, bankers , na specialist nyinginezo ...... msituletee mambo ya kipumbavu kwa poor management skills
 
Ingekuwa ni issue ya Chadema ungewakuta kwenye maji🐒🐒🐒
QAAZU8c.jpeg
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.

Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Nyie watu mna ushetani mwingi sana, mumetoa roho za watu ili mpate justification ya kuifuta Precision Air !!!
 
Upo so defensive, sipo Hapa kuharibu reputation yenu . Umekosa mental maturity

Hakuna mahal nime mention ATCL
Sasa matatizo uliyotaja hayapo kwenye airlines nyingine?
Alafu mental maturity is very subjective labda kama ungekuwa na approved testing kits
 
Watz bana Mzee hata Black box haijasema nini kilijiri kabla ya ajali we ushakuja na hitimisho. Tulia ripoti itoke chief hizo ndege hupandi wewe tu hata CC tunapanda. Tuacheni ujuaji mwingi ndugu zangu. Eti mkurugenz akamatwe kilio chake kina mengi kuwa serious basi mkuu. Kama ungekuwa unapanda ndege za Ethiopian airlines ungesemaje sasa?
Jamaa yupo Datacentre ya hizo Blackbox .
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.

Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Hivi ni ngumu kutoa andiko tu kutumia lugha moja tu aidha Kiswahili pekee au Kiingereza pekee !
 
hizi ndege kwa mataifa ya wenzetu zishapigwa ban, hazitumiki hasa US hakuna ndege aina hiyo inabeba abilia. kuna hoja ya msingi hapa.
 
Ni kweli lakini kwa hawa Jamaa, nashauri serikali ipitie records zote za maintenance na hizo inspection. Pamoja na kuangalia team unayofanya hivyo vigezo vyao
Uchunguzi ni muhimu sana, ila shida huwa inakuwa kwenye matokeo ya uchunguzi, yakuwa yamejaa siasa kuliko utaalamu na hivyo kupindisha ukweli. Pia tukumbuke kuna maslahi ya watu kwenye hii biashara.
 
Ulishawahi kumuona Shetani au ni hear say . Why una claim sisi ni shetani yamkini hujawahi hata kumuona shetani.

Jadili hoja, Acha arguments za mtaani
Nimeyashuhudia matendo ya kishetani, hiki kiherehere chako cha kutoa hoja ya kusimamishwa Precision Air kabla hata ripoti ya uchunguzi wa chanzo cha ajali kutoka ndiyo inathibitisha nia yenu ovu na ndiyo ushetani wenyewe huo.
 
Tatizo la nchi yetu siasa ni nyingi sana, na zinaingia hadi kwenye mambo ambayo hayahitaji siasa. Kiukweli mimi binafsi sioni haja ya kusubiri taarifa yao ya uchungui maana najua itakuwa ni ya kupikwa tu ili watu fulani fulani wasiwajibishwe. So tushukuru mungu mambo mengine yaendelee ila I'm sure report yao ya uchunguzi itatu disappoint
 
Huyu jamaa ana haraka mno. Yeye anajua ujazo wa mafuta ya ndege? Hari ya hewa ikiwa mbaya ina determined akirudi kule atatumia masàa mangapi kuresque. Tushukru Mungu tu huyu rubani alijitahidi ndege sio mbovu. Kwa nini serikali isilaumiwe kwa kutokenga uwanja wa kajunguti kwenye usalama zaidi. Sisi hili ziwa tunalifahamu. Likichafuka haswaa unaweza ukadhani gharika sasa linakuja. Yaani panatisha vibaya tena basi kukiwa na radi.

Hari!!???
Mbona gharika umeandika vizuri??
 
Back
Top Bottom