Ushauri wa ajabu Sana Yani unataka Sasa mawaziri warudi dar? mnaweza simamisha iyo SGR, madaraja yasiyokua na tija maana Kuna upigaji, uza mav8, punguza posho za viongozi wenu na malupulupu, punguza mishahara ya viongozi wenu, ila makao makuu DODOMA LAZIMA Yakamilike, Yani katika yote umeona kusitisha ujenzi wa makao makuu ndo suluhu,na je hao wabunge 19 wasiokua na Chama wanafanya nini bungeni?
KWANZA napendekeza makazi ya Rais yawe rasm Dodoma ikilu ya dar ikiwezekana ivunjwe Kama Serikali imekosa matumizi mbadala, maana tumechoka daily mav8 yapo barabarani dar- Dom KWa nini? Wakati Serikali ipo Dodoma ,LAZIMA makao makuu kuisha iyo haina mbadala