Koffi Annan
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 1,771
- 5,087
Unabishana na gasho kwani hujui akili zao zipo huko wanakoliwaFikiria mtoa mada angekuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi huko serikalini. Huyu kiumbe ana roho mbaya sana ya kwa nini? Duu! duniani kuna baadhi ya viumbe ni vya ajabu sana ambavyo vimejivika jina la binadamu.
Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.
Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.
Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.
Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.
Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.
Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.
Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.
Msameheni huyo jua Kali mtaaani,kama anauwezo abadili Sheria za utumishi wa umma lasivyo atakuwa noise maker tu.Yaani huyu hana akili na ndio maana muajiriwa yeyote yule anapoajiriwa kuna mkataba wanaingia na kwenye mkataba kuna muajiriwa kujiendeleza huku akigharamiwa na mwajiri wake.
Ila watu mama hawa ndio wakipata vyeo wanawakandamiza walio chini yake. Imagine huyu anaionea huruma pesa ya serikali amabyo inatumia kuwajengea uwezo wataalamu wake je cku akipata cheo afu ndio inatakiwa awalipe watu posho zao ataweza kweli?
WEWE CHAMAA UNA ROHO MBAYA YA KICHAWI MAANA YAKE WEWE NI MCHAWI
Unaroho ya Kimaskini sana! Kawaida roho za kimaskini zina wivu mkali. Na inaonekana hauna elimu kubwa na hutaki wenzako waendele wabaki kama wewe! Pole sana Kazi ya serikali ni pamoja kumfanya mtumishi wake astawi kitaaluma na kicheo.Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.
Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.
Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.
Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.
Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.
Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.
Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.
Hakika kama wew utakuwa ni mtumishi utakuwa ni wale watumishi wavivu, goigoi kazini muda wote kuzunguka kufanya majungu na kusoma kwako kichwa ni kizito. Na wenzio wakirudi shule unakabwa na kijiba cha roho.........Mtumishi wa serikali anayefanya kazi kweli kweli ukiangalia maslahi/malipo yake huwa hayaendani na anachodeliver kwa hiyo huduma, hivyo kujiendeleza na kuendelea kulipwa ni haki kabisa maana bado pia ataendelea kua mtumishi.Sio uchawi ni uhalisia , kama watumishi zaidi ya elfu 5 au 10 wote wapo masomoni unadhani ni kiasi gani cha pesa kinapotea bure?
Wewe umeamua kujiendeleza basi pambana na hali yako.
SIKU HIZI WACHAWI SIO WAZEE! YULE ALIEIMBA WIMBO HUO APEWE TUZO AZAWADIWE NA PHD...nguvu hii ungeitumia kukemea mafisadi yanayochota mabilioni kwa mabilioni na kuwekeza nje ya nchi ungekuwa na akili kdg.Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.
Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.
Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.
Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.
Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.
Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.
Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣SIKU HIZI WACHAWI SIO WAZEE! YULE ALIEIMBA WIMBO HUO APEWE TUZO AZAWADIWE NA PHD..
Huyu ni mpumbavu na ni mchawi! Qmmk!Napiga Picha kwa mfano Mtumishi wa Afya lets Say Daktari anaenda kusomea udaktari Bingwa, kwahiyo huyu daktari asitishiwe mshahara na akimaliza shule aombe kazi upya?
Tatizo unajichanganya kwa kufikiri mtumishi kusoma ni kwa ajili ya maslahi yake wakati ni maslahi ya taifa analotumikia.Sijakata wao kwenda kusoma.
Ila wajisomeshe kwa pesa zao.
Mkuu acha watu walw keki ya taifa.Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.
Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.
Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.
Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.
Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.
Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.
Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.
"Nik wivu tu" - Rashid Gwaji BoyKuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.
Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.
Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.
Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.
Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.
Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.
Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.
Huyo unahe mwelekeza ni simple mind .Walaa hujui maana ya capacity building
Lazima kama muajiri acapacitate watu wake kuwajengea uwezo
Hiyo sera sio kwa serikali tuu hata sekta binafsi ipo
Rasilimali muhimu kuliko yote duniani ni mfanyakazi na lazime umjengee uwezoo.
Na ni sera, so acha wivu na mawazo ya kimaskini mkuuu.
Usione kama wanafaidii
Tena kuna watu hadi wanalipiwa kabisa masomo mbali na mshaharaa.
Wakati nasoma chuo kimoja huko kwenye jiji letu kuu
Hazina walileta watu wao waje wasome na walikuwa wanalipiwa kila.kituuu na mishahara yao bado wanapokeaa
Ndio mkuu ,humu JamiiForums kuna watu wa waina nyingi mkuuHuyo unahe mwelekeza ni simple mind .