Serikali isitishe kulipa mishahara watumishi walioamua kurudi tena masomoni ni upotevu mkubwa wa pesa tena wengine wanahama fani kabisa.

Serikali isitishe kulipa mishahara watumishi walioamua kurudi tena masomoni ni upotevu mkubwa wa pesa tena wengine wanahama fani kabisa.

Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.

Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.

Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.

Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.

Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.

Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.

Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.

Yaani huyu hana akili na ndio maana muajiriwa yeyote yule anapoajiriwa kuna mkataba wanaingia na kwenye mkataba kuna muajiriwa kujiendeleza huku akigharamiwa na mwajiri wake.
Ila watu mama hawa ndio wakipata vyeo wanawakandamiza walio chini yake. Imagine huyu anaionea huruma pesa ya serikali amabyo inatumia kuwajengea uwezo wataalamu wake je cku akipata cheo afu ndio inatakiwa awalipe watu posho zao ataweza kweli?

WEWE CHAMAA UNA ROHO MBAYA YA KICHAWI MAANA YAKE WEWE NI MCHAWI
Msameheni huyo jua Kali mtaaani,kama anauwezo abadili Sheria za utumishi wa umma lasivyo atakuwa noise maker tu.
 
Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.

Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.

Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.

Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.

Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.

Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.

Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.
Unaroho ya Kimaskini sana! Kawaida roho za kimaskini zina wivu mkali. Na inaonekana hauna elimu kubwa na hutaki wenzako waendele wabaki kama wewe! Pole sana Kazi ya serikali ni pamoja kumfanya mtumishi wake astawi kitaaluma na kicheo.
Baki na uvivu wako wa kusoma usiroge wenzako wanaojitutumua kuongeza uthamani wao.
 
Sio uchawi ni uhalisia , kama watumishi zaidi ya elfu 5 au 10 wote wapo masomoni unadhani ni kiasi gani cha pesa kinapotea bure?

Wewe umeamua kujiendeleza basi pambana na hali yako.
Hakika kama wew utakuwa ni mtumishi utakuwa ni wale watumishi wavivu, goigoi kazini muda wote kuzunguka kufanya majungu na kusoma kwako kichwa ni kizito. Na wenzio wakirudi shule unakabwa na kijiba cha roho.........Mtumishi wa serikali anayefanya kazi kweli kweli ukiangalia maslahi/malipo yake huwa hayaendani na anachodeliver kwa hiyo huduma, hivyo kujiendeleza na kuendelea kulipwa ni haki kabisa maana bado pia ataendelea kua mtumishi.
 
Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.

Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.

Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.

Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.

Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.

Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.

Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.
SIKU HIZI WACHAWI SIO WAZEE! YULE ALIEIMBA WIMBO HUO APEWE TUZO AZAWADIWE NA PHD...nguvu hii ungeitumia kukemea mafisadi yanayochota mabilioni kwa mabilioni na kuwekeza nje ya nchi ungekuwa na akili kdg.
 
Napiga Picha kwa mfano Mtumishi wa Afya lets Say Daktari anaenda kusomea udaktari Bingwa, kwahiyo huyu daktari asitishiwe mshahara na akimaliza shule aombe kazi upya?
Huyu ni mpumbavu na ni mchawi! Qmmk!
 
Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.

Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.

Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.

Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.

Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.

Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.

Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.
Mkuu acha watu walw keki ya taifa.

Hasara hazitokai na hivi vimishahara vya laki 8 kwa mwezi.
 
Kuna hii tabia ya watumishi walioajiriwa na serikali kukaa kwenye ajira kwa miaka kadhaa halafu wanaandika barua kwenda masomoni kujiendeleza au wengine wanabadili fani kabisa ,kama alikuwa mwalimu anabadili fani kwenda fani nyingine ambayo kwake ataona inamfaa.

Sasa ubaya wa hili jambo ni pale serikali inapoendelea kumlipa mshahara huyu mtumishi hali ya kuwa kipindi hicho hakuna kitu anachokifanya kuliingizia taifa faida bali ni kwa manufaa yake binafsi.

Mbaya zaidi kipindi anakwenda masomoni nafasi yake bado inahesabika na hivyo kuwazibia nafasi waombaji wengine.

Sasa hili jambo kiukweli liondolewe , kama mtumishi atataka kwenda kusoma tena basi asilipwe chochote na ikiwezekana baada ya kuhitimu aombe upya kazi kulingana na elimu atakayokuwa nayo kipindi hicho.

Maana anaweza akaenda kweli kusoma na kumaliza lakini asiwe competent vilevile kulinganisha na wenzake aliomaliza nao ila kwa kuwa yeye tayari nafasi yake ipo basi kwake inakuwa mtelezo.

Tubadirike , serikali iache kuingia hasara kuwalipa hawa watu na kuwahalikishia ajira , kama wameamua kurudi tena kusoma basi iwe for their own risk ,wajilipie wenyewe na waombe upya kazi.

Mbaya zaidi huyu mtumishi mliyemsomesha huko mbeleni anaweza akaacha kazi kwenda sehemu nyingine au nchi nyingine atakayoona kwake ina manufaa ,hivyo hasara inabaki kwa serikali maana hizo pesa walizompa sio mkopo kusema watamdai.
"Nik wivu tu" - Rashid Gwaji Boy
 
Kuajiri mtu mpya kwenye taasisi sio jambo dogo. Hata sisi wenye biashara binafsi inatakiwa kuendeleza watu tulio nao na sio kuhangaika kutafuta watu wapya. Kimsingi ulichoandika ni ushuzi mtupu.
 
Umetumia akili gani kuandika mkuu ! Acha ubinafsi kila mtu ana nafasi ya kukua kafika kile anachokifanya!
Aliyepewa kapewa bhna
 
Hoja ni nzuri ila nadhani muktadha wake ni sio sahihi. Nitakueleza mambo kadhaa:
1. Kujiendeleza kielimu au maarifa ni sehemu moja ya msingi na muhimu sana kwa mwajiriwa pamoja na mwajiri. Nimefurahi kuona ukitoa mfano wa madaktari, hawa ni watu ambao wapo kwenye kundi la kipekee kwani wanapaswa kuongea maarifa kila uchwao! Sambamba na watu kama Laboratory technicians pamoj na Clinical Officers. Ukisema aende kusoma halafu arudi kwenye eneo lille sio sahihi, mfano, kama Clinical Officer alikuwa Maternity Ward basi tunategemea akirudi atakuwa mkuu wa idara ya LHC ili apate kutumia ujuzi wake katika kuleta maendeleo.

2. Ukiwauliza HR watakuambia kuwa kuna aina mbili za matangazo ya kazi au ajira. Kuna internal pamoja na external job posting. External huwa inatangazwa nje na mtu yoyote mwenye vigezo anaweza kuomba ila upande wa Internal huwa ni wale wenye vigezo ndani ya ofisi husika kama wanaweza kuomba. Mara kadhaa huwa ni kwa sababu mtu mmoja amestaafu au ameondoka na hawawezi kufanya process za kuajiri mtu ila wanaweza kumchukua mtu na kuziba nafasi.​

HII KITU SIO YA KUIZIMA MAANA NDO ROHO YA KAZI NYINGI SERIKALI NA KWA JAMII.
 
Walaa hujui maana ya capacity building

Lazima kama muajiri acapacitate watu wake kuwajengea uwezo

Hiyo sera sio kwa serikali tuu hata sekta binafsi ipo

Rasilimali muhimu kuliko yote duniani ni mfanyakazi na lazime umjengee uwezoo.

Na ni sera, so acha wivu na mawazo ya kimaskini mkuuu.
Usione kama wanafaidii

Tena kuna watu hadi wanalipiwa kabisa masomo mbali na mshaharaa.

Wakati nasoma chuo kimoja huko kwenye jiji letu kuu

Hazina walileta watu wao waje wasome na walikuwa wanalipiwa kila.kituuu na mishahara yao bado wanapokeaa
Huyo unahe mwelekeza ni simple mind .
 
Nadhani umetumia akili ndogo sanaa kufikiri,

Pia huna uelewa kuhusu utumishi wa umma na mamlaka zinazosimamia.

kumbuka hii ni jf sio fb, kuna viongozi wengi ila wana fake ID
 
Back
Top Bottom