Serikali isizuie watu kwenda kufanya kazi Falme za Kiarabu bali itengeneze mazingira maalumu ya watu kuwa salama wawapo huko

Serikali isizuie watu kwenda kufanya kazi Falme za Kiarabu bali itengeneze mazingira maalumu ya watu kuwa salama wawapo huko

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Kumekuwa na zuio la watanzania wanaopata chance kwenda kufanya kazi ugaibuni kuzuiwa kusafiri hasa hasa siku ya safari,licha ya kwamba mtu anakuwa na vielelezo na viambata vyote muhimu kwa madai kwamba wanaenda kufanyiwa vitendo vibaya,Yamkini wapo mabosi wanafanya hivyo la kini si wote .

Suala la ajira nchini ni kitendawili ambacho chief ameshindwa kutegua,kwa watu ambao elimu hawana ndio kabisa,sasa wanapopata nafasi ya ajira mnawazuia ni deformity,mnaziba riziki za watu.

Serikali itengeneze utaratibu maalumu wakuwatambua watu wake badala ya kuwazuia,kuwa na mfumo maalumu wa komputa utakaotumiwa na balozi zetu katika nchi husika ambapo watu wote nwanaofanya kazi huko wataweza kutuma taarifa zao endapo kuna vikwazo wanakutana navyo ,na kuwe na option yakuwasiliana na waajiri.

Mtu ameshipatewa passport lakini bado mnamkqmia,waliotoa passport maana yake si wanajua kuwa amekizi vigezo?,suala la kufanyiwa vitendo vya ho yo mbona hata hapa wanafanyiwa tu,,hebu tumieni bongo zenu acheni kukumbatia madhaifu na hoja nyepesi.
 
Mkuu ungetoa hiyo $100 jamaa waliyodemand wala yasingetokea hayo, wacha watu wakabrush viatu na wewe uende ukatengeneze riyal zako ukijifanya unakaza jamaa wanakuzuia kweli bila hata sababu yaani.
 
Historia ya wavaa kobazi inasema walivokuja africa walikuwa wakarimu na walitupenda sana.

Hakuna aliyekuja africa alitupenda !
 
Utaratibu maalum upo wa kwenda kufanya kazi huko mkuu, na wapo wanaenda kihorela kuhusu usalama kwa huko ni mdogo sana ukifahamika wewe sio wa huko
 
Mkuu ungetoa hiyo $100 jamaa waliyodemand wala yasingetokea hayo, wacha watu wakabrush viatu na wewe uende ukatengeneze riyal zako ukijifanya unakaza jamaa wanakuzuia kweli bila hata sababu yaani.
Hawezi mtu kula pesa yangu hata kama ningekuwa mimi,kama protocol zipo zifuatwe waache us**ge
 
Utaratibu maalum upo wa kwenda kufanya kazi huko mkuu, na wapo wanaenda kihorela kuhusu usalama kwa huko ni mdogo sana ukifahamika kwanini wanakwensa kiholela? Mamlaka ndio zinatengeneza mazingira hayo ya uholela hazijanyoka,mtu kapata viambata vyote halafu unakuja kumuimbia ngonjera,,mi mi kwa upande wangu laiti ingekuwa ni mimi na roga mtu kwakweli,,kunasababu inayofanya hii hali ishamiri,waache umbumbu
 
Saudi arabia wadada wa kazi wanaisoma namba sana
Ndio uwekwe utaratibu balozi zinafanya niji huko,kwanini wasifanye ku monitor watu wao,maana kufanya kazi na kulipwa ujira ni haki ya binaramu mahali popote
 
Kumekuwa na zuio la watanzania wanaopata chance kwenda kufanya kazi ugaibuni kuzuiwa kusafiri hasa hasa siku ya safari,licha ya kwamba mtu anakuwa na vielelezo na viambata vyote muhimu kwa madai kwamba wanaenda kufanyiwa vitendo vibaya,Yamkini wapo mabosi wanafanya hivyo la kini si wote .

Suala la ajira nchini ni kitendawili ambacho chief ameshindwa kutegua,kwa watu ambao elimu hawana ndio kabisa,sasa wanapopata nafasi ya ajira mnawazuia ni deformity,mnaziba riziki za watu.

Serikali itengeneze utaratibu maalumu wakuwatambua watu wake badala ya kuwazuia,kuwa na mfumo maalumu wa komputa utakaotumiwa na balozi zetu katika nchi husika ambapo watu wote nwanaofanya kazi huko wataweza kutuma taarifa zao endapo kuna vikwazo wanakutana navyo ,na kuwe na option yakuwasiliana na waajiri.

Mtu ameshipatewa passport lakini bado mnamkqmia,waliotoa passport maana yake si wanajua kuwa amekizi vigezo?,suala la kufanyiwa vitendo vya ho yo mbona hata hapa wanafanyiwa tu,,hebu tumieni bongo zenu acheni kukumbatia madhaifu na hoja nyepesi.
Serikali hii hii corrupt ambayo inauza hadi wanyama wetu? Hili haliwezekani, nenda kafe Uarabuni at your own risk
 
Umepata kazi gani huko?
Sifikirii wala sina muda wakuajiriwa na serikali wala mtu yeyeote,sababu hawatalipa dira na maono yangu,sio lazima niende mimi,wapo masikini ambao wanalia tu hawajui pa kusemea,serikali iimarishe mifumo ya kitaasisi shida wanajaza mambumbumbu yaliyojificha katika sifa za vyeti,hawajui impact
 
Sasa unawekwa ndani kwa kosa gani?
Eti mtu anahoji kwanini nazuiwa wakati ninakila kitu kwa mujibu wa sheria,wanamwambia oh,huko mnaeda mnafanyiwa mambo ya hovyo bora mmbaki,anauliza kama hayo yapo mbona nimepewa nyaraka na vibali muhimu,anamtisha ati usibishane na mimi,,leo nilikuwa natoka safari,nimekuta mabinti na wakina dada zaidi ya 12 wamezuiwa na wengine hii ni mara ya 6,hapo si wanatengeneza uhuji tu
 
Back
Top Bottom