Komando tamimy
Senior Member
- Nov 18, 2020
- 108
- 121
Serikali itoe pesa za kujikimu kwa walimu kwani mlolongo umekuwa mrefu sana haijulikani ni lini pesa hiyo itatolewa. Nakumbuka siku katibu mkuu tamisemi anatangaza halmashauri zitakazowapokea walimu ziwe zimejiandaaa katika mapokezi ya wafanyakazi hao wapya.
Lakini cha ajabu karibia hslmashauri nyingi hazijawapa pesa za kujikimu waaalimu. Mfano mtwara mjini na mbinga mji ni baadhi ya maeneo waalimu hawajapata pesa ya kujikimu.
Maeneo ni mengi hatujui tatizo nini watuambie ukweli basi turudi nyumbani mpaka hapo watakapo jipanga kulala kwenye godauni za korosho na store za mahindi ni aibu kwa serikali pia ni aibu kwa mtumidhi wa umma.
Serikali itoepesa pesa ya kujikimu tukapange basi kama imeshindwa iwaingize kwenye mfumo wa malipo (payroll).
Lakini cha ajabu karibia hslmashauri nyingi hazijawapa pesa za kujikimu waaalimu. Mfano mtwara mjini na mbinga mji ni baadhi ya maeneo waalimu hawajapata pesa ya kujikimu.
Maeneo ni mengi hatujui tatizo nini watuambie ukweli basi turudi nyumbani mpaka hapo watakapo jipanga kulala kwenye godauni za korosho na store za mahindi ni aibu kwa serikali pia ni aibu kwa mtumidhi wa umma.
Serikali itoepesa pesa ya kujikimu tukapange basi kama imeshindwa iwaingize kwenye mfumo wa malipo (payroll).