Serikali itoe tamko kuhusu kugharamia Fedha za Elimu Bure shuleni

Serikali itoe tamko kuhusu kugharamia Fedha za Elimu Bure shuleni

kuna,walimu wamepigana na mkuu wao wa shule kisa kuomba ukuu wa shule.
 
Hii jamiiforum kwa mwendo huu watu wengi tutakuwa tunapitaa hivii!!!

Kuna makada wengi wa ssm hapa na maafisa wa ssm ambao mada Kama hizi wanazikomalia kuhoji wakati hii ni platform ya habari na changamoto

naendelea kuwakumbusha kwamba jamiiforum sio kijiwe Cha wanywaji wa kahawa na kashata za bendera za kijani shezzy type
 
waalimu wapuuzi sanaa yanadeka sanaa acha yazaraulike tu.
 
"Kuna vijineno mitandaoni kuwa serikalini hakuna hela. Ni kweli"

By rais Samia.
 
Wewe ni Head Teacher au Head Master? Wewe ni Mkuu wa Shule au Mwalimu Mkuu?
 
Pole mwl. Naona ulitaka upige za sikukuu. Usijali, tutaweka.
 
Zisitishwe tu tumechoka na walimu wakuu kuzitumia kuoa wanawake yaani Kila mwl mkuu ana mke zaidi ya mmoja hasa shule zenye idadi kubwa ya wanafunzi
 
Leo kupitia huu uzi nmeona kuw kundi kubwa la members walioweka comments/changia wamechangia kwa hisia/mtazamo hasi zaid na zaid wengine wame comment bila ata kujua /kuielew mada husika (ruzuky hizo hutoka wapi- kifup haztok HALMASHAURI na nazn zaid wahusika wanajua kbsa ruzuku hizo hazijalipw mashulen )

Jambo la pili kwann mnakuw na negative sana kwenye fani ya ualimu /mmefundishwa na hao walimu na mimi ninavyojua Kada zote zinawajinga pia ila kwakuw walimu wapo kila mtaa/kijiji mnakuw mnawajua hao , TUJARBU KUWAHESHIMU HAPA JAMII FORUM wengi tumesom na tumesoma/kuelim kaz ni utu

Nazna hii Taarfa ni kama taarifa zngine zinazotokea katik kazi.

Zaid hapo mwisho mtoa ujuzi alipend angalau asikie kutoka sehemu husika juu ya mkwamo huoo.


Mimi niweka comment yangu juz kat nilisikia kibubu chetu kipo Hoi taabani sasa tuwe wapole
 
Tangu 01/11/2022 hadi sasa (28/12/2022) takribani miezi miwili serikali imeshindwa kupeleka fedha mashuleni kwa ajili ya ruzuku, na hakuna tamko lolote kutoka katika mamlaka husika.

Kushindwa kupeleka fedha hizo kwa wakati mashuleni kuna sababisha walimu kushindwa kupatiwa vifaa vya maandalizi ya kufundishia na kujifunzia shuleni.

Aidha adha hii pia inasababisha shule nyingi kuwa na mrundikano wa madeni kwa wazabuni kwani baadhi ya shule hukopa vifaa na kushindwa kulipa kwa wakati kutokana na kutoingizwa fedha hizo kwa wakati!

Rai yangu ninaishauri serikali itoe tamko ili kuondoa sintofahamu iliyopo kwa sasa kwani kukaa kimya kunazua tafsiri hasi hususani kwa wadau was Elimu.
Labda ungemuuliza DED, pengine atakuwa na majibu.
 
Back
Top Bottom