Serikali itunge sheria kuhusu uzazi wa mpango angalau watoto wawili kila familia maana kasi ya uzazi Tanzania inatisha

Serikali itunge sheria kuhusu uzazi wa mpango angalau watoto wawili kila familia maana kasi ya uzazi Tanzania inatisha

Serikali isiingilie suala la uzazi lakini Vilevile watu wajitambue...

Kuna watu wanawaza ardhi tu, Je una resources za kustahimili population hio yote! Milioni 60 yenyewe hali ngumu, tukifika milioni 100 sitamani kuona itakuaje
 
Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana.Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi .Fikilia Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi.Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.

Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivo .Kama Hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miladi ya maendeleo .
Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha.Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi .
Asanteni.
Watu ni moja ya mitaji mikubwa sana katika ukuaji wa uchumi wa nchi. Tanzania bado tunahitaji watu wengi zaidi ili kuweza kuzitumia rasilimali tulizonazo kwa ukamilifu. Tatizo tulilonalo ni ukosefu wa viongozi bora na siasa safi!

Tanzania kama Taifa tunapaswa kuwekeza zaidi katika rasilimali watu.
 
Hili ni jambo linatakiwa kuangaliwa vizuri sana, tuwe na uwezo wa kupima kasi ya ukuaji wa idadi ya raia na kasi ya kuijaza hiyo ardhi tuliyo nayo tuone tutaimaliza lini, halafu je ikiisha kuwa imejaa ni kwamba hatutahitaji mapori tena?

Jambo lingine muhimu Serikali inayo kasi inayoendana na kasi ya ukuaji wa idadi ya raia katika kutoa huduma muhimu? Elimu, Maji safi, Huduma ya Afya, miundombinu ya kutosha, Umeme nk. nk.

Tunahitaji taifa lenye raia walio na afya bora na elimu nzuri inayokidhi mahitaji yetu, hilo litakuwa taifa lenye nguvu.
Waliandika kitambo wahenga kwamba ili nchi iendelee inahitaji a). Watu b). Ardhi c). Siasa safi na d). Uongozi Bora.

Sifa ya b), c), na d) vipo wazi ila walisahau a). Watu wa aina gani? Ni wazi tunahitaji Taifa lenye Afya na lililo Elimika.
 
Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana.Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi

Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi.Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.

Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivo .Kama Hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miladi ya maendeleo .

Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha.Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi .
Asanteni.
Hicho ulichovuta leo achana nacho. Kama unaona Bongo michosho chukua Uraia wa Australia!
 
Kama hauna mbegu za kuzalisha wapishe wenye nazo tafadhali, kwani umeombwa msaada wa kuwasaidia hao wenye watoto wengi?
 
Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi

Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi.Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.

Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miladi ya maendeleo.

Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha.Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi .
Asanteni.

Watu wanazaa kama kuku, na maisha yenyewe ndo haya. Serikali iamrishe mwisho watoto wawili kama china. Zaidi ya hapo faini. Maana hata watoto wa mitaani wataisha kabisa na kazi zitakua nyingi kulingana na idadi ya watu waliomo
 
Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi

Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi.Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.

Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miladi ya maendeleo.

Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha.Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi .
Asanteni.
Iwe watoto wawili kwa kila mwanamke au kila mwanamme?
 
Utafiti usio rasmi unaonesha mataifa yenye population kubwa ndio matajiri . Eg USA, China, Canada, India, Russia, Germany, Nigeria, South Africa etc.... So acha watu waendelee kufyatua
 
Mwanzo 1:28

"Mungu akawabariki na kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”

Kuzaliana kwa wingi ndiyo mojawapo ya majukumu ambayo mwanadamu alipewa na Muumba wake. Wewe ebu jaribu kuangalia, Yesu akiwa hapa duniani kwa mama yake mzazi Maria alikuwa na wadogo zake wa kiume wanne na wakike pia (maumbu zake).

Tukirejea katika maandiko matakatifu, nukuu kutoka katika vitabu vya injili Mathayo 12:46, Luka 8:19, na Marko 3:31 inathibitisha kwamba Yesu alikuwa na ndugu wanne wa kiume na majina yao ni Yakobo, Yusufu, Simioni na Yuda, ingawaje majina ya dada zake hayakutajwa (Mathayo 13:55).
Nimepitia hiyo mistari sijaona mahali walipotajwa ndugu wa damu wa Yesu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani inaonesha bado haujatembea Tanzania nenda machame eneo LA tarafa ya Masama nilitembelea shule za msingi. Na kata idadi ya wanafunzi ni ndogo sana mfano shule ya sekondari sawe form one wako 16 tu shule ya msingi. Nkwakinini shule nzima wanafunzi hawafiki. Mia walimu wanadai watoto hakuna na Hao watu wamejenga shule karibu karibu mfano nilitembea toka shule. Iliyopo kwenye kituo cha afya cha kirani hadi kituo cha. Masama umbali km 2 mbili hapo kàtikati kuna shule za msingi 4 na vituo viwili Vya. Afya na wazazi wana mwamko. Wa nyota ya kijani cha msingi siyo kupunguza kuzaa shule zijengwe. Za. Kutosha aridhi yetu bado kubwa sana
Kirumbiu umesema ukweli kabisa, mimi ni shahidi yako kwa yote uliyo yasema.
 
Yaani inaonesha bado haujatembea Tanzania nenda machame eneo LA tarafa ya Masama nilitembelea shule za msingi. Na kata idadi ya wanafunzi ni ndogo sana mfano shule ya sekondari sawe form one wako 16 tu shule ya msingi. Nkwakinini shule nzima wanafunzi hawafiki. Mia walimu wanadai watoto hakuna na Hao watu wamejenga shule karibu karibu mfano nilitembea toka shule. Iliyopo kwenye kituo cha afya cha kirani hadi kituo cha. Masama umbali km 2 mbili hapo kàtikati kuna shule za msingi 4 na vituo viwili Vya. Afya na wazazi wana mwamko. Wa nyota ya kijani cha msingi siyo kupunguza kuzaa shule zijengwe. Za. Kutosha aridhi yetu bado kubwa sana
Umeongea ukweli pale mula kuna shule wanafunzi wachache
Lemira nayo
Kyuu
Mboshwa
Mafeto nkwansira
Watu wazaeee hadi watoto kumi
Angalau tufikie million 300
 
Umeongea ukweli pale mula kuna shule wanafunzi wachache
Lemira nayo
Kyuu
Mboshwa
Mafeto nkwansira
Watu wazaeee hadi watoto kumi
Angalau tufikie million 300
Walio jitahidi kidogo eneo la Machame ni eneo la Mwowe karibu yote. Hasa huku Mwowe msikitini wamejitahidi.
 
Kuna mtoto wa jirani anakuja kuchukua ada kwako?

Vipi serikali yenu ya mtaa imepitisha sheria ya mtu mmoja kuruhusiwa kula nyumba yoyote ?

Kwani wanaozaa watoto wengi wamelalamika kuwa wanaonewa na Serikali?

Nchi ina rasilimali lukuki, hata Watanzania tungekuwa bilioni moja kama serikali ingeweza kusimamia rasilimali zetu ziwa productive kila familia ingekuwa na maisha bora.

Serikali isikwepe jukumu lake, serikali ndio mmiliki wa kila kitu Tanzania ikiwemo ardhi. Hata leo chini ya kitanda chako ikigundulika dhahabu utatimuliwa kama mbwa ukikataa kutimuliwa kistaarabu.
Rasilimali hata zikiwa nyingi kuna vitu ambavyo ni adimu kwa mfano maji safi. Watu bilioni moja maji safi watayatoa wapi? Chakula cha kulisha watu bilioni moja kitatoka wapi? Hicho chakula kitalimwa na kufugwa wapi? Na hata tukisema tutaagiza maji na chakula kutoka nje, nchi zingine nazo wanaanza kuwa makini na maji yao na vyakula vyao. Zamani bahari zetu zilijaa samaki. Wavuvi hawaendi mbali wanarudi na samaki kibao. Siku hizi wavuvi mpaka waende mbali inamaanisha samaki wanaadimika na mpaka tunaagiza samaki. Nchi haiwezi tuu kuongeza watu hata kama ina utajiri wa rasilimali bila kufikiria mazingira.
 
Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi

Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi.Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.

Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miladi ya maendeleo.

Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha.Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi .
Asanteni.
Kama huwezi kuzalisha tulia usaidiwe. Mjinga mmoja wewe watu wanatekeleza agizo la Mwenyezi Mungu la zalieni mkajaze dunia wewe unaleta uhanithi wako hapa.
 
Hakuna viwanda vya maana ambavyo watu wangefanya hata shift za usiku!
Watanzania karibia asilimia 70% ikifika SAA mbili usiku wamejifungia ndani wanalala!! Kazi ni moja tu, "kuunganisha" viungo vya uzazi! Na bado kila mtaa utakuwa na shule yake!
 
Rasilimali hata zikiwa nyingi kuna vitu ambavyo ni adimu kwa mfano maji safi. Watu bilioni moja maji safi watayatoa wapi? Chakula cha kulisha watu bilioni moja kitatoka wapi? Hicho chakula kitalimwa na kufugwa wapi? Na hata tukisema tutaagiza maji na chakula kutoka nje, nchi zingine nazo wanaanza kuwa makini na maji yao na vyakula vyao. Zamani bahari zetu zilijaa samaki. Wavuvi hawaendi mbali wanarudi na samaki kibao. Siku hizi wavuvi mpaka waende mbali inamaanisha samaki wanaadimika na mpaka tunaagiza samaki. Nchi haiwezi tuu kuongeza watu hata kama ina utajiri wa rasilimali bila kufikiria mazingira.
 
watu wanazaa kama kuku, na maisha yenyewe ndo haya. Serikali iamrishe mwisho watoto wawili kama china. Zaidi ya hapo faini. Maana hata watoto wa mitaani wataisha kabisa na kazi zitakua nyingi kulingana na idadi ya watu waliomo
 
Back
Top Bottom