Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Tanzania idadi ya watu ni ndogo mno ukilinganisha na ukubwa wa eneo,USITUTINGISHE TUNAPOFYATUA,lengo ni kuifikia China na pia to be most populated country in Africa.
Kwa kuwa na watu wapya,labda watakuja na fikra mpya!!!
Kwa kuwa na watu wapya,labda watakuja na fikra mpya!!!