polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Mzungu ndiyo kilakitu kwako hiyo kubali au kata jibu ni ndiyo.Ndugu ,unapofanya argument, uwe na twakwimu za kutosha.Usilete vitu vya kukalili vya wazungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzungu ndiyo kilakitu kwako hiyo kubali au kata jibu ni ndiyo.Ndugu ,unapofanya argument, uwe na twakwimu za kutosha.Usilete vitu vya kukalili vya wazungu.
Utakuwaje na watu jobless Afrika ambako maji yapo na ardhi ipo? Hali hiyo itakuwa imesababishwa na viongozi wajinga na wapumbavu!Ila unapo kuwa na watu wengi ambao ni jobless si mtaji tena ni hasara kwa taifa
Mkuu pole bana. Usichukulie dhati sana haya mambo.Acha watu wazaliane sifa sifa za kijinga mnazoiga kwamba uzazi wa mpango,una haki gani ya kuongea hvo,wangefanya hvo pengne tangu mwanzo usinge kuwepo wewe,unaweza ukasema wewe n wa kwanza lkn pengine bibi yako ni wa kumi na mbili,unauwezo wa kujaza dunia wewe!? Dunia hii kwa umri wake inakadiliwa zaidi ya binadam Bilione 124 wamewahi kuishi duniani leo hii unareta upumbavu wa uzazi wa mpango
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaji wa AFRICA Kwa sasa ni population kuwa kubwa, muda Si mrefu hao wa magharibi watakuja kununua labor kwetu. Mabinti zao wamegoma kuzaa.Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yaani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi
Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi. Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.
Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivyo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miradi ya maendeleo.
Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha. Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi.
Asanteni.
Wazungu wanatengeneza roboti siku hizi. Roboti zinafanya kazi bure, hazichoki, hazihitaji bima ya afya, wazungu hawana haja na Waafrika. Hayo ni mawazo ya kizamani siyo siku hizi. Cheap labor zilizokuwa zinahitajika ulaya zamani, siku hizi zimekuwa automated.Mtaji wa AFRICA Kwa sasa ni population kuwa kubwa, muda Si mrefu hao wa magharibi watakuja kununua labor kwetu. Mabinti zao wamegoma kuzaa.
Ndio maana hii Nchi haisogeiNdugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yaani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi
Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi. Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.
Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivyo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miradi ya maendeleo.
Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha. Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi.
Asanteni.
Kwa uelewa wako mdogo hujui Nchi za magharibi Kwa sasa more than 50 percent ni above 55 years? Na vijana wengi wameamua hawazai watoto tena?Hao ndo watacontrol robots.?Wazungu wanatengeneza roboti siku hizi. Roboti zinafanya kazi bure, hazichoki, hazihitaji bima ya afya, wazungu hawana haja na Waafrika. Hayo ni mawazo ya kizamani siyo siku hizi. Cheap labor zilizokuwa zinahitajika ulaya zamani, siku hizi zimekuwa automated.
Hao hao unaosema watanunua cheap labor yenu ndiyo hao hao wata control robots. Wakimalizika na Europe inamalizika. Unafikiri Ufaransa au UK wazungu wote wakifa zitabaki tena kuwa kama Ufaransa na UK? Au mtaziharibu hizo nchi kama mlizoharibu nchi za Afrika mlizoachiwa na hao hao wakoloni.Kwa uelewa wako mdogo hujui Nchi za magharibi Kwa sasa more than 50 percent ni above 55 years? Na vijana wengi wameamua hawazai watoto tena?Hao ndo watacontrol robots.?
Ni amri ya Mungu watu wazae. Kaz pia wafanye sana Hasa kilimo Cha kisasa.Hao hao unaosema watanunua cheap labor yenu ndiyo hao hao wata control robots. Wakimalizika na Europe inamalizika. Unafikiri Ufaransa au UK wazungu wote wakifa zitabaki tena kuwa kama Ufaransa na UK? Au mtaziharibu hizo nchi kama mlizoharibu nchi za Afrika mlizoachiwa na hao hao wakoloni.
Fyatueni , elimu ni bure - MagufuliNdugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yaani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi
Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi. Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.
Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivyo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miradi ya maendeleo.
Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha. Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi.
Asanteni.
Sawa lakini usitegemee wazungu wataajiri vizazi vyako. Kilimo cha kisasa siku hizi kinafanywa na mashine. Trekta linalima, linapanda mbegu, linavuna, hakuna haja ya kuajiri vijakazi kibao kufanya kazi.Ni amri ya Mungu watu wazae. Kaz pia wafanye sana Hasa kilimo Cha kisasa.
Africa ni TAJIRI, tunaponzwa na viongozi wabovu ndo wanaleta umaskini. Wazae sana. Achana na wazungu wanarithisha mbwa Mali sababu hawatak kuzaa.Sawa lakini usitegemee wazungu wataajiri vizazi vyako. Kilimo cha kisasa siku hizi kinafanywa na mashine. Trekta linalima, linapanda mbegu, linavuna, hakuna haja ya kuajiri vijakazi kibao kufanya kazi.
Kwa nini unasubiri viongozi wakati utajiri upo? Na kama unaona viongozi wabovu kwa nini unataka watu wazae sana? Wataishije?Africa ni TAJIRI, tunaponzwa na viongozi wabovu ndo wanaleta umaskini. Wazae sana. Achana na wazungu wanarithisha mbwa Mali sababu hawatak kuzaa.
Wazae tu, dawa ya viongozi uchwara, waizi imechemka. Zaeni Watanzania tutasomesha watoto msijalKwa nini unasubiri viongozi wakati utajiri upo? Na kama unaona viongozi wabovu kwa nini unataka watu wazae sana? Wataishije?
Wazazi wako wangepanga uzaz usingezaliwa. Kansa ya uzaz inashamiri Africa nowadays sababu ya kujizuia kuzaa na kupanga uzaz.Kwa nini unasubiri viongozi wakati utajiri upo? Na kama unaona viongozi wabovu kwa nini unataka watu wazae sana? Wataishije?
Mathanzua na safuher mnakubaliana na hoja ya huyu jamaa ?...Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yaani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi
Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi. Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.
Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivyo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miradi ya maendeleo.
Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha. Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi.
Asanteni.
Kansa ya uzazi inaletwa na magonjwa ya zinaa kama HPV na mengineyo. Usisingizie mipango ya uzazi.Wazazi wako wangepanga uzaz usingezaliwa. Kansa ya uzaz inashamiri Africa nowadays sababu ya kujizuia kuzaa na kupanga uzaz.