Serikali itunge sheria kuhusu uzazi wa mpango angalau watoto wawili kila familia maana kasi ya uzazi Tanzania inatisha

Serikali itunge sheria kuhusu uzazi wa mpango angalau watoto wawili kila familia maana kasi ya uzazi Tanzania inatisha

Ila unapo kuwa na watu wengi ambao ni jobless si mtaji tena ni hasara kwa taifa
Utakuwaje na watu jobless Afrika ambako maji yapo na ardhi ipo? Hali hiyo itakuwa imesababishwa na viongozi wajinga na wapumbavu!

Wananunua ndege ya mabilioni kwa cash wakati wangeweza kununua power tiller elfu kumi na pembejeo zingine za kilimo wakawapa vijana wapige kazi!

Shithole country!
 
Acha watu wazaliane sifa sifa za kijinga mnazoiga kwamba uzazi wa mpango,una haki gani ya kuongea hvo,wangefanya hvo pengne tangu mwanzo usinge kuwepo wewe,unaweza ukasema wewe n wa kwanza lkn pengine bibi yako ni wa kumi na mbili,unauwezo wa kujaza dunia wewe!? Dunia hii kwa umri wake inakadiliwa zaidi ya binadam Bilione 124 wamewahi kuishi duniani leo hii unareta upumbavu wa uzazi wa mpango

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha watu wazaliane sifa sifa za kijinga mnazoiga kwamba uzazi wa mpango,una haki gani ya kuongea hvo,wangefanya hvo pengne tangu mwanzo usinge kuwepo wewe,unaweza ukasema wewe n wa kwanza lkn pengine bibi yako ni wa kumi na mbili,unauwezo wa kujaza dunia wewe!? Dunia hii kwa umri wake inakadiliwa zaidi ya binadam Bilione 124 wamewahi kuishi duniani leo hii unareta upumbavu wa uzazi wa mpango

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole bana. Usichukulie dhati sana haya mambo.

Wewe endelea kufyatua tu.
 
Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yaani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi

Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi. Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.

Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivyo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miradi ya maendeleo.

Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha. Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi.

Asanteni.
Mtaji wa AFRICA Kwa sasa ni population kuwa kubwa, muda Si mrefu hao wa magharibi watakuja kununua labor kwetu. Mabinti zao wamegoma kuzaa.
 
Mtaji wa AFRICA Kwa sasa ni population kuwa kubwa, muda Si mrefu hao wa magharibi watakuja kununua labor kwetu. Mabinti zao wamegoma kuzaa.
Wazungu wanatengeneza roboti siku hizi. Roboti zinafanya kazi bure, hazichoki, hazihitaji bima ya afya, wazungu hawana haja na Waafrika. Hayo ni mawazo ya kizamani siyo siku hizi. Cheap labor zilizokuwa zinahitajika ulaya zamani, siku hizi zimekuwa automated.
 
Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yaani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi

Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi. Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.

Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivyo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miradi ya maendeleo.

Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha. Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi.

Asanteni.
Ndio maana hii Nchi haisogei
 
Wazungu wanatengeneza roboti siku hizi. Roboti zinafanya kazi bure, hazichoki, hazihitaji bima ya afya, wazungu hawana haja na Waafrika. Hayo ni mawazo ya kizamani siyo siku hizi. Cheap labor zilizokuwa zinahitajika ulaya zamani, siku hizi zimekuwa automated.
Kwa uelewa wako mdogo hujui Nchi za magharibi Kwa sasa more than 50 percent ni above 55 years? Na vijana wengi wameamua hawazai watoto tena?Hao ndo watacontrol robots.?
 
Kwa uelewa wako mdogo hujui Nchi za magharibi Kwa sasa more than 50 percent ni above 55 years? Na vijana wengi wameamua hawazai watoto tena?Hao ndo watacontrol robots.?
Hao hao unaosema watanunua cheap labor yenu ndiyo hao hao wata control robots. Wakimalizika na Europe inamalizika. Unafikiri Ufaransa au UK wazungu wote wakifa zitabaki tena kuwa kama Ufaransa na UK? Au mtaziharibu hizo nchi kama mlizoharibu nchi za Afrika mlizoachiwa na hao hao wakoloni.
 
Hao hao unaosema watanunua cheap labor yenu ndiyo hao hao wata control robots. Wakimalizika na Europe inamalizika. Unafikiri Ufaransa au UK wazungu wote wakifa zitabaki tena kuwa kama Ufaransa na UK? Au mtaziharibu hizo nchi kama mlizoharibu nchi za Afrika mlizoachiwa na hao hao wakoloni.
Ni amri ya Mungu watu wazae. Kaz pia wafanye sana Hasa kilimo Cha kisasa.
 
Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yaani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi

Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi. Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.

Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivyo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miradi ya maendeleo.

Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha. Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi.

Asanteni.
Fyatueni , elimu ni bure - Magufuli
 
Ni amri ya Mungu watu wazae. Kaz pia wafanye sana Hasa kilimo Cha kisasa.
Sawa lakini usitegemee wazungu wataajiri vizazi vyako. Kilimo cha kisasa siku hizi kinafanywa na mashine. Trekta linalima, linapanda mbegu, linavuna, hakuna haja ya kuajiri vijakazi kibao kufanya kazi.
 
Sawa lakini usitegemee wazungu wataajiri vizazi vyako. Kilimo cha kisasa siku hizi kinafanywa na mashine. Trekta linalima, linapanda mbegu, linavuna, hakuna haja ya kuajiri vijakazi kibao kufanya kazi.
Africa ni TAJIRI, tunaponzwa na viongozi wabovu ndo wanaleta umaskini. Wazae sana. Achana na wazungu wanarithisha mbwa Mali sababu hawatak kuzaa.
 
Africa ni TAJIRI, tunaponzwa na viongozi wabovu ndo wanaleta umaskini. Wazae sana. Achana na wazungu wanarithisha mbwa Mali sababu hawatak kuzaa.
Kwa nini unasubiri viongozi wakati utajiri upo? Na kama unaona viongozi wabovu kwa nini unataka watu wazae sana? Wataishije?
 
Kwa nini unasubiri viongozi wakati utajiri upo? Na kama unaona viongozi wabovu kwa nini unataka watu wazae sana? Wataishije?
Wazae tu, dawa ya viongozi uchwara, waizi imechemka. Zaeni Watanzania tutasomesha watoto msijal
 
Ndugu zangu kasi ya Watanzania kuzaliana inatisha Sana. Juzi nilikua wilayani Ukerewe nimeshangaa vijiji vya hii wilaya Yaani Kila Kijiji kina shule za msingi mbilimbili lakini bado hazitoshi

Fikiria Kijiji kina shule mbili za msingi lakini bado shule zimezidiwa na wanafunzi. Hizi shule unakuta shule Ina hadi watoto mia Saba hadi mia tisa.

Nimeitolea Ukerewe kama mfano lakini najua hata sehemu nyinginezo za nchi yetu hali iko hivyo. Kama hali hii isipodhibitiwa na wizara ya afya basi huko mbeleni kazi ya serikali itakua kujenga madarasa na hospitals badala ya kufanya miradi ya maendeleo.

Australia nchi yenye maendeleo makubwa Ina watu ambao wahazidi million Saba Sasa ukija Tanzania Hali inatisha. Uzazi wa mpango utungiwe sheria ili tuweze kuwaletea Wananchi wetu maendeleo maana kasi ya uzazi ni kubwa kuliko ukuaji wa uchumi.

Asanteni.
Mathanzua na safuher mnakubaliana na hoja ya huyu jamaa ?...
 
Back
Top Bottom