Serikali itupie jicho mkata hotelini yanaposimama magari ya abiria kwa ajili ya chakula na" kuchimba dawa"

Serikali itupie jicho mkata hotelini yanaposimama magari ya abiria kwa ajili ya chakula na" kuchimba dawa"

unatoka wilaya moja kwenda nyingine ndani ya mkoa mmoja hiyo njaa ya kula njiani unaipata wapi? Natoka mwanza hadi dar npiga maji na matunda tu nafika fresh
Wtz wengi wanapenda kula hovyo sn ndio maana wana vitambi vya ajabu ajabu!
 
Ila watu wa Tanga kwa Kula njiani, Kila kituo lazima wanunue Yai, half cake, soda. Yaani ni karaha.

Ila hili la hygiene litupiwe macho
😀😀safari ya masaa 6 wanakulakula hovyo tu.
 
Serikali ijikite kuangalia na kuchukua hatua kwa kituo cha mkata kwenye suala la Afya .Juzi wakati nasafiri kutokea Tanga tulisimama hapo kupata Chakula nilichukua takeaway wakati nipo kwenye gari nimeanza kula nikahisi nimekula Chakula kilicholala na kimechacha ilibidi nikitupe kwenye dustbin.Kwa mustakabali wa afya za watu hotel hii Inapaswa kukaguliwa mara kwa mara maana inapokea abiria wengi kwa siku.
Safarini usipende kula chakula kama wali au ugali.kula ndizi kavu au nyama ya ku kuchoma hivi
 
Back
Top Bottom