Wasamaria wema wamesema alionekana mataa ya Sakina baa inayoitwa Boss akila shisha na wenzake.Ha hahahaha
Cc Juma1967 CountrywideKwanza vuta picha ya tukio lenyewe kisha sikilizeni hawa vijana, wote hao; wanaoongea na mwandishi na hao wengine wanaoreact! Mkishamaliza poromosheni matusi kama kawaida yenu, nimekaa paleeeeee nayasubiri!
View attachment 2619932
Ni noumer chalii! πHahah "amekuja na mwendo wa ngiri mkia juu"