JMWAKA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 739
- 652
Sio siri viwanda ambavyo kuna Wahindi kuna unyonyaji mkubwa sana. Nabaki kushangaa jinsi ambavyo hawa Wahindi kwanza ni wageni katika nchi yetu lakini wanawanyanyasa sana watz mishahara midogo sana.
Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.
Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.
Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.
Unamlipaje mtu kutwa elfu 7 yaani atoke asubuhi mpaka jioni saa 11 unampa elfu 7?
Hakuna mkataba.
Hakuna NSSF.
Hakuna kitu.
Humo humo nauli, chakula juu yake.
Vyama vya wafanyakazi kimnya.
Vyama vya siasa kimnya.
Au sababu hawa jamaa ni watoaji rushwa wazuri.
Wenyewe wanalipana mishaharaa mizuri, plus usafiri plus nyumba ya kuishi
Huku watz wenzetu wakifanya kazi ngumu kwa malipo kiduchu nenda pale kiwanda cha patel mikocheni.
Hili serikali yetu inamtumikia nani kama wananchi wake wanateswa na wageni.