Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Our government still on the bed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And vise versa, kwa hapa serikali haiwatumikii wananchi, bali wananchi wanaitumikia serikali,Sawa bro ila hiyo dunia ina utawala pia sasa viongozi wanawatumikia kina nani kama citizen wanasuffer
Sometimes usioneshe umwamba kwenye serious ishu bro tuna serikali inayopaswa kuwajibika kwa watu wake
Wewe utakuwa ni nyapara kwa muhindi, umewazidi wenzako mshahara, badala ya 7000 wewe unapewa 10,000 kwa siku ili uwakandamize wenzako, umesomekaMbona hata Walimu hua wanalalamika mishahara yao mpaka leo?
Ni kada gani isiyolalamikia mishahara yao?
Dunia inahitaji kupambana na sio kutafuta huruma,huu ndio ukweli mchungu nakuambia,
Ukiona Viwandani ni mateso,rudi Kijijini kwenu,maisha sio rahisi kama unavyofikiria,
Unalalamika humu kuhusu viwanda vya wahindi,nimekuuliza,viwanda vya wabongo wao wanalipaje?
Ila naona umelikwepa swali langu.
Wewe ni punguani usiyetumia akili,Wewe utakuwa ni nyapara kwa muhindi, umewazidi wenzako mshahara, badala ya 7000 wewe unapewa 10,000 kwa siku ili uwakandamize wenzako, umesomeka
Konect tu na huko wanalipajeKatavi,rukwa,songea kuna mapori ya bure kabisa kwa kilimo,hizi nguvu wanazozimaliza uko viwandani ni kheri waende wakalime mahindi tu.
Unaweza uka jenga hoja haitoshi kimaisha, ila Kisheria ni halali minimum wage Viwandani kwa siku ni 5000, sio mimi niliopanga hio hela ni sheria.Mkuu tutake radhi elf 7 ina uhalali gani kishera gharama ya maisha ni kubwa sana wao wanaingiza pesa nyinyi kwa siku tungelipwa elfu kumi kwa siku ingekuwa afadhali tunaitaji utetezi kwa wanasiasa na raisi kwa ujumla