SoC04 Serikali iwaangalie wahitimu wa vyuo vya ufundi stadi VETA kwa kuwapatia nyenzo za kuwawezesha vijana kuendeleza fani zao

SoC04 Serikali iwaangalie wahitimu wa vyuo vya ufundi stadi VETA kwa kuwapatia nyenzo za kuwawezesha vijana kuendeleza fani zao

Tanzania Tuitakayo competition threads

ismaili sogora

New Member
Joined
May 24, 2024
Posts
4
Reaction score
3
Kutokana na ukosefu wa ajira katika nchi yetu ,Elimu ya ufundi stadi imekuwa mkombozi wa vijana wengi sana ndani ya nchi yetu kwani wamejengewa uwezo wa kazi mikononi mwao lakini uwezeshwaji wa vijana kimitaji ili waendeleze shughuli zao za kiufundi kwa kufungua karakana zao binafsi na kufanya kazi zao za kiufundi binafsi umekuwa ni changamoto na kupelekea wahitimu wengi kukata Tamaa katika fani zao walizosomea
 
Upvote 2
Back
Top Bottom