Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni upumbafu sn, ajira kwa watanzania hazitakiwi kuwa huruma au hisani ya mtu inatakiwa iwe ni kipaumbele cha taifaKuna Walimu wanamiaka miwili wengine zaidi wanajitolea kwenye shule za umma, wamepewa mpaka vipindi kabisa na wanafanya kazi hawana tofauti na waajiriwa.
Walimu hawa wanasaidia sana kupunguza tatizo la uhaba haswa kule vijijini wanapewa mpaka kazi nyingi sana ili wawape hata elfu 20 ya sabuni.
Rais waangalie watu hawa wazalendo wamefanya kazi zaidi ya mwaka kwa malipo ya elfu 20 mpk 50 bila kuchoka lakini wanasaidia sana kutoa elimu kwa vijana.
Wape ajira Jamani hata kwa huruma yako tu! na wala sio wengi hata 2000 wanaweza wasifike!
Wahurumie sana wamejitahidi kuwa wazalendo sana.
Ni taifa la watu wajinga, eti ajira iwe ni hurumaNilisikia kijana mwenye nguvu na akili timamu anajitolea kufundisha kwa kubembelezaa aajiriwe hua nahofia future ya taifa hili itakua ya watu wa aina gani aisee.