tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,327
- 4,624
Jidu La Mabambasi naamini unajua mengi ya upande mmoja. Ndio maana umeuchagua huo upande kama uko sahihi.
Hii waweza ifananisha na yale maamuzi ya Magufuli, kuhamishia makao makuu Dodoma.
Sema uzuri yeye alikuwa na dola.
Hii waweza ifananisha na yale maamuzi ya Magufuli, kuhamishia makao makuu Dodoma.
Sema uzuri yeye alikuwa na dola.