Serikali iwachukulie hatua hawa Maaskofu wa KKKT kwa kuleta fujo katika Jamii ya waumini

Serikali iwachukulie hatua hawa Maaskofu wa KKKT kwa kuleta fujo katika Jamii ya waumini

Muandishi naomba unieleze kwanza upo dayosisi ya konde ama la ndo tuanze kujadiliana. Ila infact nimesikitika sana Dr shoo kushiriki kwenye maamuzi ya kihuni kama yale
Mi Mluteri tena wa Dar.
Askofu yeyote kushindwa kupatana kiroho na kiutawala NDANI ya Dayosisi yake, huko ni kushindwa Kazi na imani aliyoitiwa kuitenda.
Mpaka waje wengine watu wa nje ili upatane na watu wako basi HUFAI kabisa.
Tunachoanza kuona ni Maaskofu wakorofi wenye issues mbaya kwao wakienda kumsaidia mwenzao naye aliyeshindwa kazi.

Mkuu wa kanisa Akofu Shoo amejaribu muda sasa kuwapatanisha NDANI ya Dayosisi ya Konde, leo anaonekana mbaya.
Walaaniwe hao wavaa majoho ya unafiki.

Lakini serikali isiache migogoro kama hii ikaendelea na kuzusha vurugu na ukosefu wa amani.
 
Muandishi naomba unieleze kwanza upo dayosisi ya konde ama la ndo tuanze kujadiliana. Ila infact nimesikitika sana Dr shoo kushiriki kwenye maamuzi ya kihuni kama yale
Haya yaliyotokea konde ndio maana miaka hiyo ya 90 Meru waliamua kuingia front wenyewe. Baadhi ya viongozi wa kanisa wako kimaslahi zaidi na waumini wameshajua na kuchoshwa na hilo.
 
Muandishi naomba unieleze kwanza upo dayosisi ya konde ama la ndo tuanze kujadiliana. Ila infact nimesikitika sana Dr shoo kushiriki kwenye maamuzi ya kihuni kama yale
Mi Mluteri tena wa Dar.
Askofu yeyote kushindwa kupatana kiroho na kiutawala NDANI ya Dayosisi yake, huko ni kushindwa Kazi na imani aliyoitiwa kuitenda.
Mpaka waje wengine watu wa nje ili upatane na watu wako basi HUFAI kabisa.
Tunachoanza kuona ni Maaskofu wakorofi wenye issues mbaya kwao wakienda kumsaidia mwenzao naye aliyeshindwa kazi.

Mkuu wa kanisa Akofu Shoo amejaribu muda sasa kuwapatanisha NDANI ya Dayosisi ya Konde, leo anaonekana mbaya.
Walaaniwe hao wavaa majoho ya unafiki.

Lakini serikali isiache migogoro kama hii ikaendelea na kuzusha vurugu na ukosefu wa amani.
Mi Mluteri tena wa Dar.
Askofu yeyote kushindwa kupatana kiroho na kiutawala NDANI ya Dayosisi yake, huko ni kushindwa Kazi na imani aliyoitiwa kuitenda.
Mpaka waje wengine watu wa nje ili upatane na watu wako basi HUFAI kabisa.
Tunachoanza kuona ni Maaskofu wakorofi wenye issues mbaya kwao wakienda kumsaidia mwenzao naye aliyeshindwa kazi.

Mkuu wa kanisa Akofu Shoo amejaribu muda sasa kuwapatanisha NDANI ya Dayosisi ya Konde, leo anaonekana mbaya.
Walaaniwe hao wavaa majoho ya unafiki.

Lakini serikali isiache migogoro kama hii ikaendelea na kuzusha vurugu na ukosefu wa amani.
OK nimekuelewa ngoja nikupe taswira ya huu mgogoro uelewe hili jambo limekaaje
 
Askofu Mwaikali kihistoria aliheshimika kwa misimamo mikali na ni mtu asiye yumbishwa. Nakumbuka wakati Nikiwa muumini betheri sae alichaguliwa hapo hapo uyole alipovuliwa katika uchaguzi uliochukuliwa na wengi kama ushindi kwa kanisa. Hata hivi alibadilika sana baada ya uaskofu.... akawa mtu mnyenyekevu mno na misimamo ya chini chini Nadhani ndio busara za kiaskofu.
Ni vyema pia ni vyema ukamfahamu hasimu wake mwanafalsafa Askofu mteule daktari msomi mwakihaba... Huyu alihudumu kama askofu msaidizi tangu nyakati za askofu mwakyolike. Warutheri humuheshimu sana kwa uhodari wake wa mahubiri. Nilimfahamu kama mtu mtulivu sana maana hata baaada ya kukikosa kiti cha u askofu Aliendelea kuhudumu kwa nafasi ya usaidizi kwa askofu Mwaikali.
Mpasuko Ulianza baada ya askofu Mwaikali kuisimamia kidete agenda ngumu iliyokwama kwa miaka mingi ya kuhamishia dayosisi Jiji kutokea Tukuyu. Alipata uungwaji mkono mkubwa mbeya jiji na kyela huku akipingwa na watu wa Tukuyu. Hapo ndipo Mwanafalsafa mbobezi mwakihaba alipotumia nafasi hiyo kujishikiza upande wa Tukuyu na kujitoa mamlakani, Askofu mwaikali asiyeyumbishwa alichagua msaidizi wake na kazi ya kuhamia jiji iliendelea....
Kilichoendelea hapo ilikuwa mpasuko. Mwaikali aliungwa mkono na watu wa mbeya jiji na kyela huku Mwakihaba akipata uungwaji mkono kwa badhi ya sharia za jiji na kyela . Mpaka hitimisho Mwaikali anavuliwa madaraka na maaskofu wenzie wawili Malasusa na Dr Shoo....
Mgogoro huu unapanda na kushuka nyingi ila naomba nizungumzie mambo machache yaliyogusiwa na mtoa maada
(I) kuna orodha ya maaskofu wanaotajwa kuichafua KKKT
Ukitazama hiyo orodha sawa inamtu asiyemtulivu Askofu Mengele wa kusini, ila kuwashutumu watu makini kama askofu bagonza na Prf Hance Mwakabana ambaye ni Mnyeti wa kanisa la kirutheri ni jambo linalo zua hofu. Nashauri maaskofu hawa na wengineo wahukumiwe kwa wallchart kisema na sio tuu kuwaona maadui kwakuwa walionekana kumbeba Mwaikali.
(ii) Iwapo maamuzi ya kumtoa mwaikali yalikuwa sahihi
Hilo ni swali linguine tunapaswa kujiuliza. Kwanza inatakiwa utambue kuwa kanisa la kirutheri ni Muunganiko wa makanisa 1963 hivyo anayetajwa kama askofu mkuu huwa ni Celebrate na hana mamlaka ya kinidhamu kwa maaskofu. Warutheri mtakumbuka mgogoro wa Askofu mdegela na Mchungaji Mtatifikola wakati huo Askofu Malasusa alishindwa kabisa kumuadhibu Mdegela licha ya makosa ya wazi sana lakini leo Malasusa huyo huyo anampotosha Dr Shoo kumpindua Mwaikali.
Ni nani Anae mpa nguvu Dr Shoo?
Binafsi naona ni mwaikali mwenyewe
Kwanza, aliwahi kukariliwa kusema kuwa atakuwa tayari kuyafuata maamuzi ya mkuu wa kanisa.
Pili,Ameshindwa kujimilikisha kanisa kama walivyofanya kina mdegela na Malasusa even Bagonza... Alidhani kuongoza KKKT ni mambo ya kiroho tuu kumbe hitaji pia ucheze siasa tena siasa za mbeya ni chafu
Hatma ya kanisa
Kwanza watu wa Konde hatuelewi namna gani tutaingia katika madhabahu inayoongozwa na Mwakihaba aliye mpindua Mwenzie. Pili muunganiko wa konde hauwezekaniki labda kugawa Diocis na Mwisho Dr Shoo awe makini Sana na Malasusa....
Malasusa ni Rafiki yangu nikiwa usharika wa kiluvya DMP. Kuna machafu Mengi niliyowahi kuyasikia dhidi yake ila sikutaka kuamini, ila sasa nyanza kuwa na hofu kubwa kuwa huenda kweli ni Nyoka wa makengeza mtu mjanja mjanja.
Ni toe ushauri kwa watu wanao mshauri Mwaikali, hawezi kurudi madarakani, azidi kuwa mtu wa maombi na unyenyekevu kama Hance Mwakabana. Asipende masuala ya mahakamani, amuachie Dr Shoo na Malasusa ambao wamefikia hatua ya kutinga na wanasheria kwenye video vya kikanisa. Kwetu wanakonde kukubali kumfuasa Mwakihaba ni jambo linalohitaji kusubiri amani ya Roho na si kwa wakati huu.
KKKT ijaribu kutizama uratibu wa miradi yake kama shule na Hospitali, kwani miradi yake imefanya diocis kuwa na mapesa ya kumwaga.... sharika zinazidi kunyonywa huku viongozi wakipambana kuongoza Diosis aidha miradi ya kanisa imeendelea kufanya vibaya kadri muda unavyozidi kwenda.
Poleni kwa Gazeti ndimi mrutheri halisi.
Christine1
Jidu La Mabambasi
 
Askofu Mwaikali kihistoria aliheshimika kwa misimamo mikali na ni mtu asiye yumbishwa. Nakumbuka wakati Nikiwa muumini betheri sae alichaguliwa hapo hapo uyole alipovuliwa katika uchaguzi uliochukuliwa na wengi kama ushindi kwa kanisa. Hata hivi alibadilika sana baada ya uaskofu.... akawa mtu mnyenyekevu mno na misimamo ya chini chini Nadhani ndio busara za kiaskofu.
Ni vyema pia ni vyema ukamfahamu hasimu wake mwanafalsafa Askofu mteule daktari msomi mwakihaba... Huyu alihudumu kama askofu msaidizi tangu nyakati za askofu mwakyolike. Warutheri humuheshimu sana kwa uhodari wake wa mahubiri. Nilimfahamu kama mtu mtulivu sana maana hata baaada ya kukikosa kiti cha u askofu Aliendelea kuhudumu kwa nafasi ya usaidizi kwa askofu Mwaikali.
Mpasuko Ulianza baada ya askofu Mwaikali kuisimamia kidete agenda ngumu iliyokwama kwa miaka mingi ya kuhamishia dayosisi Jiji kutokea Tukuyu. Alipata uungwaji mkono mkubwa mbeya jiji na kyela huku akipingwa na watu wa Tukuyu. Hapo ndipo Mwanafalsafa mbobezi mwakihaba alipotumia nafasi hiyo kujishikiza upande wa Tukuyu na kujitoa mamlakani, Askofu mwaikali asiyeyumbishwa alichagua msaidizi wake na kazi ya kuhamia jiji iliendelea....
Ndiyo maana nasema mtu ni kwao...sasa huyu Mwaikali karuhusu mamlaka yake kuingiliwa na wengine kwa sababu KASHINDWA KABISA zoezi la kiutawala , upatanishi na unyenyekevu kwa waumini wa kwao, tena waliomchagua Uaskofu.

Kuingiza maaskofu wapiga debe kama Bagonza kumeleta mtafaruku tu ndani ya kanisa zima.
Katiba ni utaratibu tu, mtu akikosa upako mbele ya Mwenyezi Mungu, Katiba haitamsaidia sana.

Kushindwa kazi kwa mtu mmoja kusilete mgawanyiko katika kanisa zima.
 
Muandishi naomba unieleze kwanza upo dayosisi ya konde ama la ndo tuanze kujadiliana. Ila infact nimesikitika sana Dr shoo kushiriki kwenye maamuzi ya kihuni kama yale


OK nimekuelewa ngoja nikupe taswira ya huu mgogoro uelewe hili jambo limekaaje
Okay afadhali,manaake mi hata sielewi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu Mwaikali kihistoria aliheshimika kwa misimamo mikali na ni mtu asiye yumbishwa. Nakumbuka wakati Nikiwa muumini betheri sae alichaguliwa hapo hapo uyole alipovuliwa katika uchaguzi uliochukuliwa na wengi kama ushindi kwa kanisa. Hata hivi alibadilika sana baada ya uaskofu.... akawa mtu mnyenyekevu mno na misimamo ya chini chini Nadhani ndio busara za kiaskofu.
Ni vyema pia ni vyema ukamfahamu hasimu wake mwanafalsafa Askofu mteule daktari msomi mwakihaba... Huyu alihudumu kama askofu msaidizi tangu nyakati za askofu mwakyolike. Warutheri humuheshimu sana kwa uhodari wake wa mahubiri. Nilimfahamu kama mtu mtulivu sana maana hata baaada ya kukikosa kiti cha u askofu Aliendelea kuhudumu kwa nafasi ya usaidizi kwa askofu Mwaikali.
Mpasuko Ulianza baada ya askofu Mwaikali kuisimamia kidete agenda ngumu iliyokwama kwa miaka mingi ya kuhamishia dayosisi Jiji kutokea Tukuyu. Alipata uungwaji mkono mkubwa mbeya jiji na kyela huku akipingwa na watu wa Tukuyu. Hapo ndipo Mwanafalsafa mbobezi mwakihaba alipotumia nafasi hiyo kujishikiza upande wa Tukuyu na kujitoa mamlakani, Askofu mwaikali asiyeyumbishwa alichagua msaidizi wake na kazi ya kuhamia jiji iliendelea....
Okay, yaani kuhamisha dayosisi kutoka tukuyu kuja mbeya mjini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu bagonza ni moja ya maaaskofu wabovu na waovu Sana basi tu
Utovu wa nidhamu ni addiction kama ya cocaine nk! Wenye akili tulijua Bagonza hawezi kuishia kwa Jiwe tu atenda mbali zaidi....
 
Nafikiri katoliki lile swala la kuishi kifukara na kutomiliki mali kwa padre ndo linalofanya kusiwe na maswala kama hayo ila hawa ndugu zetu wenyewe wanahodhi mali na kujitajirisha...🤣🤣🤣
Nani kakuthibitishia huwa wanaishi kifukara.
 
Hii ni ya ndani kabisa: kule Jimbo katoliki la Bukoba ikitokea padre akapewa gari land cruiser VX V8( mapadre wa kikatoliki huwa wanapata Sana wafadhili kutoka nje ya nchi) baba Askofu wa jimbo anaweza kuamua hilo gari asipewe padre na badala yake atumie pikipiki Honda 110, Padre ataendelea na utume wake kwa kutumia pikipiki yake. Kwa wakatoliki hiki ni jambo la kawaida kabisa, pia haishii kwenye Mali tu hata kama padre kabobea kwenye taaluma flani mfano daktari bingwa wa upasuaji, anaweza kupangiwa kazi huko vijijini ambapo hata umeme na maji hakuna!

Maana ya jambo hili ni kuepuka tamaa hizi zinazolivuruga kanisa la Luther kuanzia Ujerumani hadi Afrika!
 
Weka facts mezani wamefanya makosa gani hayo hatarishi??
Askofu Mwaikali amekuja kuitoa kwenye ramani shule iliyopo kwenye Diocese yake ya Konde iliyoanzishwa miaka ya 1980 hukoinayoitwa Manow Lutheran Junior Seminary kwa kula pesa za shule na misaada ya shule kutoka Ujerumani

Askofu Mwaikali alihamisha makao makuu ya Diocese kutoka Mjini Tukuyu ambao ndio chanzo cha dayosisi hiyo kwa muda mrefu sana na kuipeleka mbeya mjini bila kushirikiana na waumini wake

Na wengine watakuja kukupa makosa yake kibao ikiwemo ya ubadhirifu wa pesa za kanisa pamoja na kupangisha jengo lililokuwa la makao makuu ya dayosisi mjini Tukuyu kwa Benki ya CRDB
 
Askofu Mwaikali amekuja kuitoa kwenye ramani shule iliyopo kwenye Diocese yake ya Konde iliyoanzishwa miaka ya 1980 hukoinayoitwa Manow Lutheran Junior Seminary kwa kula pesa za shule na misaada ya shule kutoka Ujerumani

Askofu Mwaikali alihamisha makao makuu ya Diocese kutoka Mjini Tukuyu ambao ndio chanzo cha dayosisi hiyo kwa muda mrefu sana na kuipeleka mbeya mjini bila kushirikiana na waumini wake

Na wengine watakuja kukupa makosa yake kibao ikiwemo ya ubadhirifu wa pesa za kanisa pamoja na kupangisha jengo lililokuwa la makao makuu ya dayosisi mjini Tukuyu kwa Benki ya CRDB
Kama kuna jinai ni police case.
Nendeni Takukuru mkareport huo ubadhilifu huko ndiyo sehemu sahihi pakushuhulika na hilo jambo.
 
Askofu Mwaikali kihistoria aliheshimika kwa misimamo mikali na ni mtu asiye yumbishwa. Nakumbuka wakati Nikiwa muumini betheri sae alichaguliwa hapo hapo uyole alipovuliwa katika uchaguzi uliochukuliwa na wengi kama ushindi kwa kanisa. Hata hivi alibadilika sana baada ya uaskofu.... akawa mtu mnyenyekevu mno na misimamo ya chini chini Nadhani ndio busara za kiaskofu.
Ni vyema pia ni vyema ukamfahamu hasimu wake mwanafalsafa Askofu mteule daktari msomi mwakihaba... Huyu alihudumu kama askofu msaidizi tangu nyakati za askofu mwakyolike. Warutheri humuheshimu sana kwa uhodari wake wa mahubiri. Nilimfahamu kama mtu mtulivu sana maana hata baaada ya kukikosa kiti cha u askofu Aliendelea kuhudumu kwa nafasi ya usaidizi kwa askofu Mwaikali.
Mpasuko Ulianza baada ya askofu Mwaikali kuisimamia kidete agenda ngumu iliyokwama kwa miaka mingi ya kuhamishia dayosisi Jiji kutokea Tukuyu. Alipata uungwaji mkono mkubwa mbeya jiji na kyela huku akipingwa na watu wa Tukuyu. Hapo ndipo Mwanafalsafa mbobezi mwakihaba alipotumia nafasi hiyo kujishikiza upande wa Tukuyu na kujitoa mamlakani, Askofu mwaikali asiyeyumbishwa alichagua msaidizi wake na kazi ya kuhamia jiji iliendelea....
Huyo huyo Mwaikali ameua shule yangu ya kilutheri niliyosoma na iliyokuwepo muda mrefu sana ya Manow Lutheran Junior Seminary

Aisee Mwakyokile alikuwa mbadhirifu sana wakati wa utawala wake lakini huyu Mwaikali amezidisha sana na zaidi kuua historia ya Tukuyu kama chimbuko la dayosisi ya Konde
 
Kama kuna jinai ni police case.
Nendeni Takukuru mkareport huo ubadhilifu huko ndiyo sehemu sahihi pakushuhulika na hilo jambo.
Haya ni masuala ya dini ndio maana serikali inakuwaga makini ktk kuingilia na ktk kumbukumbu zako ni lini serikali iliingilia migogoro ya dini ili kuisuluhisha
 
Back
Top Bottom