Hoja haihusu kufungwa au kufunguliwa soma vzurUnaposema masters ya ualimu unamaanisha nini? Au unamaanisha Master's in Education? Nijuavyo, wengi wa walimu wanaoenda kuchukua masters ni wale wanaochukua one of major teaching subjects. Kwa mfano: kama anafundisha Advanced Mathematics na Physics, akienda kuchukua masters, ataenda kuchukua moja kati ya hayo mawili. Tuchukulie amechukua master's ya Physics, huyu atakuwa na options mbili; either arudi kufundisha au anaweza kwenda kufanya kazi kwenye institutions zinazotumia applied Physics. Kwa hiyo hawafungwi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndyo Hakuna mshahara ndo maana nimeandika huo uziHivi mwalimu unaenda kusoma masters, ama phd ili iweje, inasaidia kitu gani serikali maana sifa ya mwisho kwa mwalimu ni first degree. Na huwa hakuna mshara wa mwalimu wa masters ila kuna posho tu. Mfano ukiwa headmaster unalipwa posho
Mshahara mwisho bachelor degree we na master yako na phd yako subiria tu uteuzi basi.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Ndo maana jamii inawaona walim Kama walifeli 🙄Mshahara mwisho bachelor degree we na master yako na phd yako subiria tu uteuzi basi.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Umeongea point Sana.Na wakiruhusu hilo vyuo vitafurika wanafunzi wa masters. Unadhani serikali haioni, masters unasoma kama unamchongo.Ila kama huna,na vimbwengo wanakuchukia, ukiwa na masters ndio wanakutupa porini kabisa. Kumb ishu ya walimu wa sekondari kupelekwa msingi. Kilichotokea mtwara girls, mwl mwenye masters ndio alipelekwa msingi. Fanya kazi,tafuta pesa. Masters ukiwaza umepoteza pesa na huonwi, utakufa na kihoro.
Mwl wa diploma akijiendeleza akapata degree hspati chochote,sembuse hiyo masters,Tena mwajir haitambui,Ni miaka mingi Sasa walimu Hawa wenye Shahada ya Pili ya ualimu na wale wenye PhD ya ualimu, wamekuwa hawapati ongezeko lolote la mshahara mara baada ya kumaliza elimu zao za juu, tofauti na ilivyo kwenye idara zingine Kama afya nk. Ambapo Shahada ya Pili huwa inatambuliwa.
Ombi: TUNAOMBA serikali walau iweke utaratibu wa kuwapa hata Daraja moja la mshahara Hawa walimu wenye Shahada ya Pili Mara tu baada ya kumaliza masomo yao. Hii itapunguza kuhangaika kutafuta kujiunga na idara zingine kwa lengo la kupata kipato kinachoendana na taaluma Yao.
Najua Kuna wahusika humu naomba kuwasilisha.
Kumbe huwezi kupima tija kwa kuangalia production!Aisee we jamaa kumbe kupambanua Mambo sifuri kabisa, unapimaje tija na hyo production, unahoja hopeles kabisa[emoji1787]
Serikali ni kabaila shida unataka kula mkia why ununue ngurue mzima halafu ukate mkia ule ingine unatupa, just kata mkia mwache ngurue aende zakeNdyo Hakuna mshahara ndo maana nimeandika huo uzi
Jamaa yuko sahihi ila unampinga bure tu au pengine hujamwelewa logic yake.Aisee we jamaa kumbe kupambanua Mambo sifuri kabisa, unapimaje tija na hyo production, unahoja hopeles kabisa[emoji1787]
Kwenye afya Dr. Mwenye masters anaitwa Dr bingwa. Upo sahihi miundo ya kiutumishi ya walimu inaishia degree.Hiv ninavyojua serikali inatambua degree katika miundo ya kiutumish na mishahara sasa mengine bado hayajapew miongoz ata huko afya mnaposema mtu wa masters anaongezew daraja sizan kama n kweli....