Agreed totallyUkiangalia perfomance ya hisa za vodacom soko la hisa Tanzania inaonyesha wazi kuwa kwa muda mrefu haifanyi vizuri.Naiomba serikali ishawishi wawekezaji wa china wainunue.Kupata kibali cha wanahisa wala haitakuwa tatizo sababu wengi watanzania na sisi na china ndugu moja.Wachina wana pesa na teknolojia ni rahisi kwao kuiendesha tena kwa ufanisi mkubwa na kwa bei ndogo.Vitu vingi vya china bei zao ziko chini naamini wakinunua Vodacom mteja atafaidi sana
Think twice!Agreed totally
Waanze kuwauzia TTCL Kwanza ambayo ni Yao kabla kuanza kutolea macho Mali za WanaumeUkiangalia perfomance ya hisa za vodacom soko la hisa Tanzania inaonyesha wazi kuwa kwa muda mrefu haifanyi vizuri.Naiomba serikali ishawishi wawekezaji wa china wainunue.Kupata kibali cha wanahisa wala haitakuwa tatizo sababu wengi watanzania na sisi na china ndugu moja.Wachina wana pesa na teknolojia ni rahisi kwao kuiendesha tena kwa ufanisi mkubwa na kwa bei ndogo.Vitu vingi vya china bei zao ziko chini naamini wakinunua Vodacom mteja atafaidi sana
Unasema Wachina ni ndugu zetu kajifunze Zambia, sababu ya madeni wamelichukua shirika la umeme na wako mbioni kuumiliki uwanja wa ndege, leo wamelazimisha hadi wameajiriwa ndani ya jeshi la polisi.Ukiangalia perfomance ya hisa za vodacom soko la hisa Tanzania inaonyesha wazi kuwa kwa muda mrefu haifanyi vizuri.Naiomba serikali ishawishi wawekezaji wa china wainunue.Kupata kibali cha wanahisa wala haitakuwa tatizo sababu wengi watanzania na sisi na china ndugu moja.Wachina wana pesa na teknolojia ni rahisi kwao kuiendesha tena kwa ufanisi mkubwa na kwa bei ndogo.Vitu vingi vya china bei zao ziko chini naamini wakinunua Vodacom mteja atafaidi sana
vodacom asilimia kubwa wanamiliki watanzania au hilo hujui.TTCL haikunzishwa kama kampuni ya kuuza na kununua dukani.Vodacom n kampuni bidhaa iliyoko dukani kama bidhaa zingine za maharage,njegele nk yaweza nunuliwa au uzwa anytime na anybodyWaanze kuwauzia TTCL Kwanza ambayo ni Yao kabla kuanza kutolea macho Mali za Wanaume
ya zambia achia wazambia wao walikopa wakaweka dhamana au collatteral airport na shirika lao la umeme walposhindwa kulipa mikopo ulitegemea nini? sisi mikopo yetu hatuweki dhamana mali za umma acheni kukariri.Mtu anakopa halafu anaweka dhamana ya mkopo bandari yake ana akili huyo.Acha kutulinganisha na wazambia tuombe msamahaThink twice!
Contact Zambian people before tabling your conclusion!
kwanza hao wachina unaoita polisi uongo ni kampuni ya ulinzi ya binafsi ya wachina hata hapa tanzania ipo inaitwa china security inalinda vituo vya mabasi ya mwendo kasi.Unasema Wachina ni ndugu zetu kajifunze Zambia, sababu ya madeni wamelichukua shirika la umeme na wako mbioni kuumiliki uwanja wa ndege, leo wamelazimisha hadi wameajiriwa ndani ya jeshi la polisi.
View attachment 879459
N:B mikataba ni siri!!ya zambia achia wazambia wao walikopa wakaweka dhamana au collatteral airport na shirika lao la umeme walposhindwa kulipa mikopo ulitegemea nini? sisi mikopo yetu hatuweki dhamana mali za umma acheni kukariri.Mtu anakopa halafu anaweka dhamana ya mkopo bandari yake ana akili huyo.Acha kutulinganisha na wazambia tuombe msamaha
Akili za Maiti hizivodacom asilimia kubwa wanamiliki watanzania au hilo hujui.TTCL haikunzishwa kama kampuni ya kuuza na kununua dukani.Vodacom n kampuni bidhaa iliyoko dukani kama bidhaa zingine za maharage,njegele nk yaweza nunuliwa au uzwa anytime na anybody
ya zambia achia wazambia wao walikopa wakaweka dhamana au collatteral airport na shirika lao la umeme walposhindwa kulipa mikopo ulitegemea nini? sisi mikopo yetu hatuweki dhamana mali za umma acheni kukariri.Mtu anakopa halafu anaweka dhamana ya mkopo bandari yake ana akili huyo.Acha kutulinganisha na wazambia tuombe msamaha
kwanza hao wachina unaoita polisi uongo ni kampuni ya ulinzi ya binafsi ya wachina hata hapa tanzania ipo inaitwa china security inalinda vituo vya mabasi ya mwendo kasi.
ya zambia achia wazambia wao walikopa wakaweka dhamana au collatteral airport na shirika lao la umeme walposhindwa kulipa mikopo ulitegemea nini? sisi mikopo yetu hatuweki dhamana mali za umma acheni kukariri.Mtu anakopa halafu anaweka dhamana ya mkopo bandari yake ana akili huyo.Acha kutulinganisha na wazambia tuombe msamaha
Siku wakinunua utafurahi na roho yako.Ukiangalia perfomance ya hisa za vodacom soko la hisa Tanzania inaonyesha wazi kuwa kwa muda mrefu haifanyi vizuri.Naiomba serikali ishawishi wawekezaji wa china wainunue.Kupata kibali cha wanahisa wala haitakuwa tatizo sababu wengi watanzania na sisi na china ndugu moja.Wachina wana pesa na teknolojia ni rahisi kwao kuiendesha tena kwa ufanisi mkubwa na kwa bei ndogo.Vitu vingi vya china bei zao ziko chini naamini wakinunua Vodacom mteja atafaidi sana
Basi umeshauriwa anzeni kuwapa TTCL.kwanza hao wachina unaoita polisi uongo ni kampuni ya ulinzi ya binafsi ya wachina hata hapa tanzania ipo inaitwa china security inalinda vituo vya mabasi ya mwendo kasi.
ya zambia achia wazambia wao walikopa wakaweka dhamana au collatteral airport na shirika lao la umeme walposhindwa kulipa mikopo ulitegemea nini? sisi mikopo yetu hatuweki dhamana mali za umma acheni kukariri.Mtu anakopa halafu anaweka dhamana ya mkopo bandari yake ana akili huyo.Acha kutulinganisha na wazambia tuombe msamaha
Mimi nimeziuza last week nikanunua flat screen kubwa ya Samsung. Nimetulia nayo tuNdio mlikimbilia kununua hisa za Vodacom poleni
Vodacom imesajiliwa soko la hisa la Tanzania mchina hana haja ya kwenda soko la hisa la uingereza.Anaenda soko la hapa ananunua .basi.Nitoe elimu ya bure hapa. Mmiliki wa vodacom ni voda phone ya uingereza. Sababu ya kuanza kuuza hisa zake Tanzania sio kwasababu wanahitaji pesa bali ni kwa maombi ya serikali ya Tanzania. Sababu ya kwanza serikali iliomba ili kuwe na share za Watanzania na wenyewe waweze kumiliki sehemu ya kampuni. Sababu ya pili ni kwamba kampuni ikiwa inauza hisa inalazimishwa kufungua vitabu vyake na kueleza uma mapato ya kampuni, kodi nk na hii itawezesha serikali kuhakikisha wanapata kodi bila kuibiwa. Kabla ya hapo sheria ilikuwa hailazimishi kampuni kueleza kwa uwazi hivi vitu. Sasa kuuza share kwa nchi nyingine ambazo zilitegwa kwa wananchi wa kawaida ni bora zisingeuzwa maana voda hawana shida ya pesa hata wenyewe serikali ikieuhusu wanaweza kununua hizo share zao. Lakini ki kubwa kwa serikali ilikuwa ni uwaza hasa kwa sababu ya kodi. Huwezi kuwauzia tena China hata voda hawatakibali maana china wanaweza kwenda kununua kwenye soko la hisa london