1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
[emoji851]E- commerce bongo? Kila siku mnarundikana kwenye magenge kununua nyanya na dagaa mchele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji851]E- commerce bongo? Kila siku mnarundikana kwenye magenge kununua nyanya na dagaa mchele.
Kikulacho, ki nguoni mwako.....haoa wasaliti ni wana harakati wetu fake pamoja na kina Lissu, Zitto, na wapuuzi wengine. Serikali isiwafumbie macho hawa watu.Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini...
Umevurugwa wewe. Imeisha hiyoooooooooooJiwe hopeless amebaki a kuitegemea afdb Africa development bank kumkopesha hela
Washarudisha Sasa mkuu. Unasemaje kutokana na hiyo hali tofauti na maoni yako?We unaonaje?
Hii nchi ina maadui wengi sana wa kiuchumi na kisiasa ambao hawaitakii mema. Hivyo serikali iwe makini...
Hanijui, uzalendo na mapenzi kwa taifa langu ndio maana nasema ukweli.
Tanganyika ipi unaisema? Adui wa kwanza ni wewe kibaraka wa mabeberu.
PatheticBiashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.
Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo
Umesahau kuwa leseni nyingi zilifutwa na kuanzia 2017 ilitungwa sharia mpya ya madini? Hujui kampuni nyingi ziliondoka na sasa ndio zinakuja kivingine.
Unajua una maswali kama mtu ambae hata hajui kusoma na kuandika hawezi kuuliza. Unajua Usa wana reserve ya gold kiasi gani na kwa nini?
Usalama upi unaoukusudia kama kweli hawo mnaowaita mabeberu wanashida na hayo unayoyazungumzia ya Internet wasiweze kuyafanikisha wakati shina liko kwao na wewe unatawi tu.?Kipi bora hiyo hasara ya vijisenti vyenu au usalama wa nchi?
Kama hujiwezi kufanya miamala online usidhani wote ni pompoma kama wewe. Unashabikia kufungwa mitandao lkn nakuona hapa upo bize na VPN. Watu matatizo gani kichwani lkn??Biashara za kuuza kupitia mtandao bongo? Nyumba hazijapangiliwa na hao ndio huwa wa kwanza huko uswahilini kuuana kwa kusiliza uongo wa kwenye mitandao.
Kusoma kwa kutumia internet ni uvivu wa kusoma vitabu ndio maana ubongo wako unawaza uharo