Serikali iwe makini na kuchunguza hizi 'Sick Sheet' za ujauzito kwa watumishi, asilimia kubwa ni za mchongo

Serikali iwe makini na kuchunguza hizi 'Sick Sheet' za ujauzito kwa watumishi, asilimia kubwa ni za mchongo

njwanjwanjwa

Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
8
Reaction score
11
Ndugu Habari za wakati.

Bila kupoteza muda acha ninielekeze moja kwa moja kwenye maada hapo isemayo : Serikali iwe makini na kuchunguza hizi Sick Sheet za ujauzito kwa watumishi wa Wanawake. % kubwa niza mchongo.

Wadau Sick Sheet ni likizo iliyotolewa kwa sababu ya ugonjwa. Na kwa utaratibu wa nchi yetu sick cheet ya muda mrefu huwa ni ya wiki mbili yaani siku 14. Ambapo mfanya kazi hupewa likizo hiyo ili aendee kujitibu akiwa nyumbani au hospitalini kwa uthobitisho wa daktari.

Kama wiki mbili za sick cheet zitaisha na mgonjwa hajapona basi huongeza wiki mbili nyingine hivo hivo mpaka atakapopona. Na endapo ameugua kwa Mwaka mzima na amekua akijaza sick cheet basi Serikali humstaafisha kwa lazima.

Ndugu wadau, Sick sheet imekuwa kero makazini hasa kwa bad hi y’a wafanyakazi wanawake kwenye kada za Uwalimu, uuguzi (nurses) na mapolisi. Na hii ni hasa hasa kwa watumishi wiopewa ujauzito nje ya ndoa. Yaani mme aliempa mimba ni mchepuko wake.

Wanawake hawa watumishi wagunduapo wamenasa ujauzito na kabla litumbo halijatokeza; basi hufanya mchongo mahospitali na baadhi ya madaktari mauvhwala na kuwarecommend bed rest mpaka ajifungue. Hivo basi yeye atakuwa ni mtu wa kujaza sick sheet kila baada ya wiki mbili mpaka atakapo shusha injini.

Wanawake Hawa hufanya hivo kwa lengo la kuepuka aibu na fedheha , maneno maneno na kusemwa staff, maofisini na mitaani kwa kuwa ana ujauzito wa mme ambae hajulikani (mchepuko) maana Wanawake walio wengi wanapenda kupata mtoto ila hawataki kuolewa.

Wao wanaona wachonge hiyo long bed rest kwa nia hiyo na baada ya kujifungua anaunganisha na likizo ya uzazi ya siku 54 almost miezi 3 just imagine! kitendo ambacho atakaa nyumbani bila kuja kazini kwa makusudi makubwa kwa kipindi cha Mwaka mzima.

Na akirudi kazini, sasa si maneno, masengenyo, aibu, nk havitakuwa tena juu yake ila kwa sasa atakuwa anapongezwa kwa kujifungua (Kitanda hakizai haramu)

My take: Viongozi Serikalini wanaowasimamia makazini mathalani :wakuu wa shule, Waganga wakuu wazimulike hizi bed rest na sick sheets.
 
Mpaka hapa umeshafuzu kozi ya uchawi, wewe Sasa ni mchawi kamili umekosa vitendea kazi tu uanze kula nyama za watu.
Na uzuzumagic
Screenshot_20230201-072745_Chrome.jpg
 
Beba na wewe mimba yako, ujaze sick sheet ukae nyumbani
Sasa ukiondowa mashoga, na huyu naye utamuweka orodha ya wanaume?

Kwahiyo tatizo ni kubwa, wanawake ni wengi wanaume ni wachache zaidi, yani ukubali tu ile proposal yangu mwishowe utaangukia kwenye kichomi kama huyu mtowa madam utaleta mkosi kwenye familia yenu.
 
Ndugu Habari za wakati.

Bila kupoteza muda acha ninielekeze moja kwa moja kwenye maada hapo isemayo : Serikali iwe makini na kuchunguza hizi Sick Sheet za ujauzito kwa watumishi wa Wanawake. % kubwa niza mchongo.

Wadau Sick Sheet ni likizo iliyotolewa kwa sababu ya ugonjwa. Na kwa utaratibu wa nchi yetu sick cheet ya muda mrefu huwa ni ya wiki mbili yaani siku 14. Ambapo mfanya kazi hupewa likizo hiyo ili aendee kujitibu akiwa nyumbani au hospitalini kwa uthobitisho wa daktari.

Kama wiki mbili za sick cheet zitaisha na mgonjwa hajapona basi huongeza wiki mbili nyingine hivo hivo mpaka atakapopona. Na endapo ameugua kwa Mwaka mzima na amekua akijaza sick cheet basi Serikali humstaafisha kwa lazima.

Ndugu wadau, Sick sheet imekuwa kero makazini hasa kwa bad hi y’a wafanyakazi wanawake kwenye kada za Uwalimu, uuguzi (nurses) na mapolisi. Ni hii ni hasa hasa kwa watumishi wiopewa ujauzito nje ya ndoa. Yaani mme aliempa mimba ni mchepuko wake.

Wanawake hawa watumishi wagunduapo wamenasa ujauzito na kabla litumbo halijatokeza; basi hufanya mchongo mahospitali na baadhi ya madaktari mauvhwara na kuwarecommend bed rest mpaka ajifungue. Hivo basi yeye atakuwa ni mtu wa kujaza sick sheet kila baada ya wiki mbili mpaka atakapo shusha injini.

Wanawake Hawa hufanya hivo kwa lengo la kuepuka aibu na fedheha , maneno maneno na kusema staff, maofisini na mitaani kwa kuwa ina ujauzito wa mme ambae hajulikani (mchepuko) maana Wanawake walio wengi wanapenda kupata mtoto ina hawataki kuolewa.

Wao wanaona wachonge hiyo long bed rest kwa nia hiyo na baada ya kujifungua anaunganisha na likizo ya uzazi ya siku 54 almost miezi 3 just imagine! kitendo ambacho atakaa nyumbani bila kuja kazini kwa makusudi makubwa kwa kipindi cha Mwaka mzima.

Na akirudi kazini, sasa si maneno, masengenyo, aibu, nk havitakuwa tena juu yake ila kwa sasa atakuwa anapongezwa kwa kujifungua (Kitanda hakizai haramu)

My take: Viongozi Serikalini wanaowasimamia makazini mathalani :wakuu wa shule, Waganga wakuu wazimulike hizi bed rest na sick sheets.
Habari!
Ni vyema ungejifunza kwa nini mhusika/wahusika waliweza kupewa ruhusa husika. Na kati ya hizo ulizopata kujihuisha nazo, zipi zilikuwa zinabeba ujumbe unaoendana na hali husika au la.

Kiutaratibu, mwajiri anayo haki ya kuomba taarifa ya mfanyakazi wake yeyote pale anapoona kuna hitaji hilo kwa malengo tofauti. Suala kuu ni kufuata sheria na miongozo husika.
 
Back
Top Bottom