dah, hiki kichwa maji tupu... hizi elimu zenu za madrasa huko zanzibar za kukalilishwa zitawauwa na kuwadharilisha...kwahiyo unatafuta uhalali wa mipaka ya waume zenu. kwani hao si binadamu tena waliweka kwa benefits zao? wanatatofauti gani na hiyo mipaka iliyowekwa na Belin conference?kwanini usiitambue hii ambayo ni current zaidi ya hiyo unayoililia....tambua mipaka ya taifa lako kuanzia lilipo pata uhuru kutoka kwa hao magaidi wenzako.. Na ngoja mtakufa njaa muungano ukivunjika, no umeme, no nyanya zinazotoka Iringa, la sivyo mkizipata kwa bei kubwa si tunazi export tutaweka kodi ya kutosha< No nyama la sivyo mle ng'mbe wenu hao mnao wabebesha matofali mnawapa na mabofro na punda wenu, Mikopo ya vyuo vikuu end up from now.Na mje mjaribu muone tutawapiga for only one night hivyo visiwa viteketee vyote... kama mlikuwa mnajivunia mafuta hayo mafuta yako mpakani, so wote tutayachimba....si unajua taratibu na makubaliano ya mipaka ya kimataifa kwa nchi mbili zinazo pakana zikitenganisha ya maji mpaka unakuwa katikati? Zanziba inahadhi gani ya kuwa capital town!!!!!!! au au umesha kula urojo umekuchanganya.........
Ndugu umetowa hoja nyingi za gengeni style, lakini nitajitahidi kukujibu, hili ni kuonesha dhahiri kwamba upeo wako wa ufahamu ni ule ule tu unaousikia ukiwa bar unalewa
Elimu za madrasa ni bora kuliko za Bar na nitakuthibitishia hapa.
1. Unasema ninatafuta mipaka ya uhahali ya waume zetu..............Sasa tizama historia kidogo.....sisi wa zanzibari ndio tuliowaowa bibi zenu ....Kilwa Kivinje, Bagaoyo, tanga na kadhalika......hadi leo mtanganyika atakuwa happy zaidi kuolewa na mzanzibari na mzanzibari hawezi kuwa happy kuolewa na mtanganyika.
2. Umetaja mipaka. Labda ndio kama nilivosema upeo wako ni mdogo sana, mipaka ipo na zanzibar haitoweza kuidai Burundi na Rwanda au Uganda au dodoma na tabora kwasababu wazungu waliziteka nyara sehemu hizo na kuzifanya makoloni yao baadae zikawa nchi huru. Lakini fukwe za Tanganyika katika bahari ya Hindi ZILIKODISHWA, sijui kama unajuwa maana ya neno hilo au sijui unajuwa maana ya kinachokodishwa kina haki ya kurejeshwa kwa mwenyewe, dunia bado ipo na sheria. maamuzi ya dunia hayafanywi dodoma au huji pia hilo???????
3. Umesema muungano ukikatika tutakufa njaa....kwa taarifa yako yako mashaka ya znz na dhiki iliyopo sasa hivi ni kwasababu kuna huu MUUNGANO. Umeme, kwa mara ya kwanza tanganyika kupata umeme ulitokea znz hadi bagamoyo soma kidogo kama kumbu kumbu munazo huko. Lakini leo wakiondoka wazanzibari hapo dar watanganyika mutakufa na njaa, sisi ndio mabwana zenu, sisi ndio tunaokuvikeni nguo, sisi ndio tunaokuuzieni magari, sisi ndio tunaokuuzieni kila kitu. Wazaramo kazi yenu kucheza mdundiko na kuwacheza wari wenu.....hawaya kazi yenu ikiwa si umalaya kuhubiri makanisani......wamasi kazi yenu kuuza mizizi manjiani muliobakisha kazi yenu kulewa na kuzini ovo ovo tu. nusu robo ya tanganyika inasumbuliwa na ukimwi...pesa ziko mikononi mwa wazanzibari, tukiteremsha makontena bandarini dar tunalipa ushuru tunavotaka kwasababu tumewanunu wawembe watanganyika maofisa, TRA wakija tunalipa tunavotaka kwasababu tumewanunu wazembe watanganyika ..wapenda sterehe wasiozimiliki.
3. Unasema nitambue mipaka ya taifa langu.....na ndio hiyo niliokuonesha....moyoni mwangu hakuna taifa liitwalo tanzania...na huu ndio ukweli wa wazanzibari walio wengi......ASP/CCM inalazimisha tu lakini hakuna anayataka kushirikiana na walevi
4. Wewe taifa lako lipo wapi? taifa lako si tanganyika? iko wapi serikali yeke? Uko huru wewe? huna serikali huna utambulisho wowote. Unasema nini hapa. Mimi ijapokuwa ndio nipo katika utawala wa mkolonimweusi kw amuda huu lakini bado nina utaifa wangu na ninayo serikali yangu ya ZANZIBAR. SERIKALI YAKO IPO WAPI WEWE?????
5. Zanzibar ndio ilikuwa capital ya East Africa, kwasababu ni sehemu ambayo ustaarabu umetokea na kusambaa east afrika nzima.
6. Tukiamua hatutaki muungano hamuna uwezo wa kufanya lolote. Dunia inakwenda kwa sheria au unadhani tupo kariakoo hapa, walevi kupigana ovo ovo.
7. Jambo lengine ambalo hujUi ni kwamba zanzibar ikitokana na tangayika, haitofika miaka miwili znz itarejea hadhi yake ya asili katika east afrika, iweke imel hii. sisi tupo mkono mmoja sana, kuna jumuiya inaitwa zanzibar foundation, sitokwambia ipo wapi.....imeweka standby 3 billion US$ hizi zinaitwa immediate injection fund ...muda tu znz ikitoka katika mikono ya kishenzi ZANZIBAR ITAPATIWA FUNDS HIZO. Mkuu wa jumuiya hiini personal friend of mine.
8. Umezungumzia mafuta.....unasema yapo mpakani......kumbe boss umelala usingizi dororo, mafuta si yapo baharini......nenda kasome tena ni nani anaeimiliki bahari ya tanzania....ikiwa hujui bahari yote ni ya znz kwahivo nyinyi hamuna mpaka wa bahari na nchi yoyote duniani, fukwe zilipokodishwa kwa mjerumani bahari haikuwemo...juzi tu watanganyika wakafanya ujanja wao wa kutaka baraza la wawakilishi waiotowe bahari ili iwe ya muungano...yaaani tanganyika likapigwa na chini hilo.
Naona yanakutosha haya ukitaka zaidi njoo tena