Naomba serikali iweke wazi msimamo wao kama kuchanja ni lazima au hiyari,kwani hivi sasa kuna mkanganyiko mkubwa kati ya viongozi wa kisiasa ambao wanasema kuchanja ni hiyari lakini huko mahospitalini wagonjwa wanapigiwa hadi simu kwenda kuchanja kwa lazima kwa madai kwamba kuna utafiti mpya unaonesha watu wenye magonjwa sugu kuchanja ni lazima,
Sasa sijui kuna mpango gani!
Mi nilikua nishaapa kutochanja....nikapata kisafari cha nje nikaulizia kama naweza pata cheti bila chanjo jamaa akanilengesha hospital moja hivi kufika wakanichenjia kuwa hiyo kitu haipogo. Daah. Nikapigwa Jansenn ambayo ni single dose bila kupenda..yani mabeberu manina zaoNaomba serikali iweke wazi msimamo wao kama kuchanja ni lazima au hiyari,kwani hivi sasa kuna mkanganyiko mkubwa kati ya viongozi wa kisiasa ambao wanasema kuchanja ni hiyari lakini huko mahospitalini wagonjwa wanapigiwa hadi simu kwenda kuchanja kwa lazima kwa madai kwamba kuna utafiti mpya unaonesha watu wenye magonjwa sugu kuchanja ni lazima,
Sasa sijui kuna mpango gani!
Hizo ngoma zinapatika dark web we ulienda bongo web so wakakuweb kwelikweli..πMi nilikua nishaapa kutochanja....nikapata kisafari cha nje nikaulizia kama naweza pata cheti bila chanjo jamaa akanilengesha hospital moja hivi kufika wakanichenjia kuwa hiyo kitu haipogo. Daah. Nikapigwa Jansenn ambayo ni single dose bila kupenda..yani mabeberu manina zao
Mbaya zaidi wakanishangaa πππHizo ngoma zinapatika dark web we ulienda bongo web so wakakuweb kwelikweli..π
Walisema "Wow!!" Au walisema tu "It's amazing"..??πMbaya zaidi wakanishangaa πππ
Kuna mchizi alinambia wanafungua dawa kama kawaida ili ionekane batch ulochanjwa ila hawachanji wanaimwaga chini nikasema baaaasi imeisha hiyo. Kufika wakanishangaa utafkiri nimetoka Ukraine kwa miguuHahahahah vyeti feki unaenda tengeneza pale pale mamlaka ya chakula na madawa maroon7 we uliendaje hospitali mkuu!?π
Bora wangesema hivyo....walisema hebu msikieni huyu jamani au nyie mnamuelewaWalisema "Wow!!" Au walisema tu "It's amazing"..??π
Pole mkuu kwahiyo ukajikuta umekuwa m'yukraine kwenye nyumba ya warusi..π€£Bora wangesema hivyo....walisema hebu msikieni huyu jamani au nyie mnamuelewa
Nikaomba tu wanichome nisepe πππPole mkuu kwahiyo ukajikuta umekuwa m'yukraine kwenye nyumba ya warusi..π€£
Hahahahahah ukikuta sikuhio boss yupo lazma ule mkuki wa begaπKuna mchizi alinambia wanafungua dawa kama kawaida ili ionekane batch ulochanjwa ila hawachanji wanaimwaga chini nikasema baaaasi imeisha hiyo. Kufika wakanishangaa utafkiri nimetoka Ukraine kwa miguu
Kama vipo tu si kila mtu angekuwa ana download na kuonesha airport! Kwanini lazma mpaka uchanje ndio upewe?Vyeti havitengenzwi...vinapatikana website wizara ya afya