Serikali iweke msimamo wake wazi kuhusu chanjo ya Corona

Serikali iweke msimamo wake wazi kuhusu chanjo ya Corona

Corona haipo ilishakwisha ule ulikuwa ni mpango wa kuzimu kuongeza idadi ya watu waliowahitaji kuzimu baada ya kuzimu kupigwa kombora moja zito sana thus wakaleta corona Ili kuvuna kwa kasi watu wengi sana kwa kipindi kifupi Ili kujaza gap la kuzimu.Ni ajenda iliyotoka kwa lusifa kupitia black pope ambae yupo vatican ghorofa ya saba kwenda chini.Magufuli anajua hilo thus akagoma ajenda zao akawaambia watu waombe waondoe hofu so corona ni upepo umepita na watu wake.
 
Mi nilikua nishaapa kutochanja....nikapata kisafari cha nje nikaulizia kama naweza pata cheti bila chanjo jamaa akanilengesha hospital moja hivi kufika wakanichenjia kuwa hiyo kitu haipogo. Daah. Nikapigwa Jansenn ambayo ni single dose bila kupenda..yani mabeberu manina zao
Kwaiyo mkuu baada ya kuchanja umeshakufa au umeshageuka zombie ?

Tuwahamasishe tunaowajali, tukachanje, tuache ushamba na ukanjanja.
 
Kweli mkuu, hii sio chanjo tuu, ina mengi ndani yake, ukimuuliza Mungu serious kuhusu hii chanjo unaona yaliyomo, ukiipata hii chanjo direct kuzimu
Ni hadi uwe na elimu ya mambo yasiyoonekana ukiwa nayo utayajua mengi na utohangaishwa na dunia.
Ukimwi umeletwa lengo kuu ni kuwavuna vijana kwa wingi kabla ya kufika miaka 40 umri wa kuanza kumtafuta Mungu Ili shetani asipate hasara.
 
Naomba serikali iweke wazi msimamo wao kama kuchanja ni lazima au hiyari,kwani hivi sasa kuna mkanganyiko mkubwa kati ya viongozi wa kisiasa ambao wanasema kuchanja ni hiyari lakini huko mahospitalini wagonjwa wanapigiwa hadi simu kwenda kuchanja kwa lazima kwa madai kwamba kuna utafiti mpya unaonesha watu wenye magonjwa sugu kuchanja ni lazima,
Sasa sijui kuna mpango gani!
Watu tuko Ukraine we unaongelea chanjo
 
Back
Top Bottom