Serikali iweke wazi orodha ya watumishi wanaostahili kupanda vyeo mwaka 2021

Serikali iweke wazi orodha ya watumishi wanaostahili kupanda vyeo mwaka 2021

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa kumbukumbu zangu, katika barua yake kwa wizara, idara na taasisi za serikali, Katibu Mkuu Utumishi aliwagiza wahusika kuwa ifikapo June 10 mwaka huu, wawe wamewassilisha serikalini orodha ya watumishi wanaostahili kupanda vyeo katika mwaka huu wa 2021.

Hivyo, ili kuwapa watumishi fursa ya kuhakiki orodha hiyo ili kuondoa uwezekano wa baadhi ya watumishi kusahaulika, kurukuwa na hata kufanyiwa mizengwe, nashauri serikali iweke wazi hiyo orodha na itoe nafasi kwa watumishi kuwasilisha malalamiko iwapo wapo watakaona majina yao hayapo ingawa sifa wanazo.

Ukweli ni kwamba, haya yalipaswa kufanywa na idara na taasisi husika kabla ya kuwasilisha orodha hiyo Utumishi, ila sidhani kama jambo hili limefanyika na hata kama limefanyika limefanywa na kila idara na taasisi ya serikali.

Nashauri hivi ili kuondoa uwezekano wa kuja kuibuka malalamiko kutoka kwa watumishi wakilalamika kutopandishwa vyeo ili hali sifa walikuwa nazo na wakaishia kupewa majibu kama maswala yenu yanashughulikiwa au ni tatizo la system au ni matatizo tu ya kibinadamu, n.k, ila tunashgulikua.

Mambo ya serikalini tunayajua kwani ukikosa hii nafasi, unaweza kusubiri miaka mingine miwili, mitatu na hata zaidi ndio tatizo liwe limepatiwa ufumbuzi ingawa pia linaweza tatuliwa mapema (probability).

Tukumbuke watumishi hawa wamekaa miaka karibu sita bila kupata hizo promotion, sasa haitakuwa vyema mtu kukosa tena hii fursa.

Hivyo, ili kuepuka yote haya, ni bora hiyo orodha iwekwe wazi na serikali au serikali iziagize idara na taasisi zake kuweka wazi orodha hiyo kwa watumishi wake ili watumishi wahakiki majina yao kabla ya mchakato haujafika mwisho.

Lingine la msingi ni serikali au idara zake kuweka wazi sifa ambazo mtumishi anastahili ili aweze kupandishwa cheo. Hii ni kwasababu sifa hizi zimekuwa zikiorodheshwa tu ila pasipo kuwa na ufafanuzi wa kutosha, hivyo kuna uwezekano wa baadhi ya watumishi kutoelewa ni zipi hasa hizo sifa wanazostahili kuwa nazo ili wapande vyeo na matokeo yake watashindwa kudai haki zao..

Kwa mfano,hivi sasa mtumishi ili kupanda cheo, sifa mojawapo ni awe amekaa katika cheo kimoja kwa miaka minne.Sasa swali litakuja; je, ni miaka minne mfululizo au mradi itimie miaka minne bila kujali kuna kipindi mtumishi hakuwa kazini mfano alikuwa masomoni?

Wahusika tunaonba haya myafanyie kazi mapema iwezekanavyo ili kuwaondolea watumishi adha zisizo za lazima na pia ili kutowachanganisha watumishi na serikali yao.

CHADEMA,ACT na vyama vingine vya upinzani, baada ya serikali kutamka kuwa itawapandisha vyeo watumishi, nyinyi mnapaswa kubeba agenda hiyo kwa kuongelea mambo haya kama ambayo mimi nimeongea hapa au kwa namna mtavyoona inafaa kwani mna nguvu na ndio kazi yenu na ndio siasa yenyewe.
 
Yes.! Mambo ya transparency sio? Ila hapo ni mwaka wa fedha 2021/2022*
Haya ya mwaka wa fedha ni ya kibajeti, ila kupanda vyeo kinachoangaliwa ni miaka mingapi umekaa na cheo husika na mwaka gani unastahili au ulistahil kupanda cheo(navyojua).
 
Eti wameshaanza tena mambo ya Ophras ili kupata sababu ya kuwapora baadhi ya watu haki zao za kupandishwa madaraja. Yaani mama anaturudisha kulekule kwa mwendazake. Akitunyima haki zetu tutamchuka kwelikweli. Mambo ya Ophras yanatoka wapi tena. Mtu mwenye haki yake apewe. Mwambieni kuwa akituzingua tutamzingua.
 
Eti wameshaanza tena mambo ya Ophras ili kupata sababu ya kuwapora baadhi ya watu haki zao za kupandishwa madaraja. Yaani mama anaturudisha kulekule kwa mwendazake. Akitunyima haki zetu tutamchuka kwelikweli. Mambo ya Ophras yanatoka wapi tena. Mtu mwenye haki yake apewe. Mwambieni kuwa akituzingua tutamzingua.
Hizo opras mbona kila mwaka watumishi wanajaza? Sasa nini ambacho wanakitaka tena?Ukiona hivyo, ujue visngizio ndio vinaanza kama ilivyokuwa wakati wa Mwendazake alipokuja na kisingizio cha uhakika kabla ya kupandisha mishahara.

CCM ni shida!
 
Eti wameshaanza tena mambo ya Ophras ili kupata sababu ya kuwapora baadhi ya watu haki zao za kupandishwa madaraja. Yaani mama anaturudisha kulekule kwa mwendazake. Akitunyima haki zetu tutamchuka kwelikweli. Mambo ya Ophras yanatoka wapi tena. Mtu mwenye haki yake apewe. Mwambieni kuwa akituzingua tutamzingua.
Mimi nawasubiria tu wasinipandishe, halafu wataona nitakavyo wazingua. Kila siku asubuhi nikifika kazini, naomba ruhusa kwenda kufuatilia suala langu la kupandishwa daraja. Mpaka kieleweke.

Kuna viongozi vilaza wengi sana serikalini! Naamini hata Prof Assad alikuwa sahihi kwa 100%! Wanasumbua wafanyakazi kupeleka opras za tangu 2015! Kiasi cha kujiuliza kwa muda wote huo walikuwa wapi? Na hizo opras zilizokuwa zinakusanywa makazini na kupelekewa hao vilaza wa kwenye Halmashauri zetu, walizipeleka wapi?

Hopeless kabisa!!
 
Zitto tunaomba mambo haya myaongelee na yatawaweka watumishi karibu na vyama vyenu.
 
Kwa kumbukumbu zangu, katika barua yake kwa wizara, idara na taasisi za serikali, Katibu Mkuu Utumishi aliwagiza wahusika kuwa ifikapo June 10 mwaka huu, wawe wamewassilisha serikalini orodha ya watumishi wanaostahili kupanda vyeo katika mwaka huu wa 2021.

Hivyo, ili kuwapa watumishi fursa ya kuhakiki orodha hiyo ili kuondoa uwezekano wa baadhi ya watumishi kusahaulika, kurukuwa na hata kufanyiwa mizengwe, nashauri serikali iweke wazi hiyo orodha na itoe nafasi kwa watumishi kuwasilisha malalamiko iwapo wapo watakaona majina yao hayapo ingawa sifa wanazo.

Ukweli ni kwamba, haya yalipaswa kufanywa na idara na taasisi husika kabla ya kuwasilisha orodha hiyo Utumishi, ila sidhani kama jambo hili limefanyika na hata kama limefanyika limefanywa na kila idara na taasisi ya serikali.

Nashauri hivi ili kuondoa uwezekano wa kuja kuibuka malalamiko kutoka kwa watumishi wakilalamika kutopandishwa vyeo ili hali sifa walikuwa nazo na wakaishia kupewa majibu kama maswala yenu yanashughulikiwa au ni tatizo la system au ni matatizo tu ya kibinadamu, n.k, ila tunashgulikua.

Mambo ya serikalini tunayajua kwani ukikosa hii nafasi, unaweza kusubiri miaka mingine miwili, mitatu na hata zaidi ndio tatizo liwe limepatiwa ufumbuzi ingawa pia linaweza tatuliwa mapema (probability).

Tukumbuke watumishi hawa wamekaa miaka karibu sita bila kupata hizo promotion, sasa haitakuwa vyema mtu kukosa tena hii fursa.

Hivyo, ili kuepuka yote haya, ni bora hiyo orodha iwekwe wazi na serikali au serikali iziagize idara na taasisi zake kuweka wazi orodha hiyo kwa watumishi wake ili watumishi wahakiki majina yao kabla ya mchakato haujafika mwisho.

Lingine la msingi ni serikali au idara zake kuweka wazi sifa ambazo mtumishi anastahili ili aweze kupandishwa cheo. Hii ni kwasababu sifa hizi zimekuwa zikiorodheshwa tu ila pasipo kuwa na ufafanuzi wa kutosha, hivyo kuna uwezekano wa baadhi ya watumishi kutoelewa ni zipi hasa hizo sifa wanazostahili kuwa nazo ili wapande vyeo.

Kwa mfano,hivi sasa mtumishi ili kupanda cheo, sifa mojawapo ni awe amekaa katika cheo kimoja kwa miaka minne.Sasa swali litakuja; je, ni miaka minne mfululizo au mradi itimie miaka minne bila kujali kuna kipindi mtumishi hakuwa kazini mfano alikuwa masomoni?

Wahusika tunaonba haya myafanyie kazi mapema iwezekanavyo ili kuwaondolea watumishi adha zisizo za lazima na pia ili kutowachanganisha watumishi na serikali yao.

CHADEMA,ACT na vyama vingine vya upinzani, baada ya serikali kutamka kuwa itawapandisha vyeo watumishi, nyinyi mnapaswa kubeba agenda hiyo kwa kuongelea mambo haya kama ambayo mimi nimeongea hapa au kwa namna mtavyoona inafaa kwani mna nguvu na ndio kazi yenu na ndio siasa yenyewe.
Habari kiongozi
Ilo suala la kusubiri miaka 4 kwenye cheo kimoja kwa sasa halipo na watu mishahara itapanda akiwa na sifa na bila kigezo cha iyo miaka 4
 
Habari kiongozi
Ilo suala la kusubiri miaka 4 kwenye cheo kimoja kwa sasa halipo na watu mishahara itapanda akiwa na sifa na bila kigezo cha iyo miaka 4
Kwenye ila barua ya Katibu Mkuu Utumishi waliweka wazi kuwa mtumishi anatakiwa awe ametumika cheo cha awali walau miaka 4 kabla ya kuweza kupandishwa cheo.

Nakumbuka mwanzoni ilikuwa ni miaka 3, ila utawala wa Magufuli usiopenda watumishi, ukaongeza mpaka miaka hiyo minne inayotumika sasa.

Anyway,kama usemalo ni la kweli, basi Mama atakuwa anajitahidi sana kutendea haki watumishi katika uongozi wake tofauti na wakati wa Magufuli.
 
Kwenye ila barua ya Katibu Mkuu Utumishi waliweka wazi kuwa mtumishi anatakiwa awe ametumika cheo cha awali walau miaka 4 kabla ya kuweza kupandishwa cheo.

Nakumbuka mwanzoni ilikuwa ni miaka 3, ila utawala wa Magufuli usiopenda watumishi, ukaongeza mpaka miaka hiyo minne inayotumika sasa.

Anyway,kama usemalo ni la kweli, basi Mama atakuwa anajitahidi sana kutendea haki watumishi katika uongozi wake tofauti na wakati wa Magufuli.
Habari Mkuu
Mie kwa case niloshuhudia ni kua ukitoka kusoma unapanda daraja bila ata kusubiri iyo miaka 4.
 
Habari Mkuu
Mie kwa case niloshuhudia ni kua ukitoka kusoma unapanda daraja bila ata kusubiri iyo miaka 4.
Ni kweli, ila kama uko masomoni na bado hujamaliza lakini cheo ulichonacho umekitumikia kwa miaka 4, bado unaweza ukazenguliwa.

Kwa mfano,ili hiyo miaka 4 ili itimie, labda ujumuishe na miaka uilokuwa masomoni huku teyari wamesema wazi ukiwa masomoni (full time) hausebiwi. Hapa ndio penye shida.

Mfano mwingine.Mtu anaemaliza mwaka huu na labda alikuwa anasoma degree ya miaka 3 anaweza asikamilishe miaka minne kwani ataambiwa hii miaka mitatu alikuwa masomoni na kwakuwa vyeti bado havijatoka, hawezi pia kupandishwa cheo kwa kigezo cha kuongeza elimu kwani hana/hajawasilisha cheti.

Kwahiyo ni lazima hiyo miaka minne uwe kazini na si tofauti na hapo. Ukiwa masomoni full time hawahesabu.

Yaani hata kama umetumikia cheo ulichonacho sasa kwa miaka 6 huku mitatu ya mwanzo ulikuwa kazini na mitatu iliyobaki umekuwa masomoni, basi hapo hupandishwi cheo labda uwe umemaliza na cheti uwe umeshawasilisha ndio utapandishwa cheo kwa kigezo cha kuongeza elimu na sio kutumikia cheo cha sasa kwa angalau miaka hiyo minne kwani kuna miaka hukuwa kazini bali ulikuwa masomoni.
 
tatizo kubwa la watumishi wa umaa wanapigana "PINI" wao kwa wao, chuki,wivu, majungu na fitina kibao, mnaharibiana sana, hawapendani wao kwa wao, wanachongena ubenya sana!!
sasa mbaya zaidi ukikuta boss naye chaumbeya basi hapo huna chako utabaki kula vumbi labda itokee miujiza ya Mungu.
na katika hili viongozi kuanzia Mhe. waziri, naibu waziri, katibu mkuu na watendaji wote wa wizara ya Utumishi wa Umma wawe makini sana tena sana,
kuna uonevu mkubwa unao endelea ndani kwa ndani, , kuna baadhi yabwatumishinwamepigwa PINI za maksudi tu ili mtu asisogee mbele lkn ukimchunguza mtumishi huge utakuta ni mchapa kazi na muadilifu lkn zengwe limeundwa IPO kumpiga PINI asipande.
chunguzeni tatueni kero haswa kwa wale wasio kuwa na mtu wa kuwasaidia yaani godfather, sioni kama tabia ya kuwa na godfather ni jambo la kuachiliwa liendelee ktk mifumo yetu, hapa! watu wato watumishi wote watendewe haki sawa. kamwe kusiwe na matabaka ktk utumishi wa umma, kwa kufanya hivyo mtajenga imani kwa wananchi.
hakikisheni anayestahili anapewa haki yake bila kuwekewe pini au zengwe.
Upatikanaji wa haki za wananchi unaanzia kwa watumishi wao kwa wao kutendeana Haki ndipo na sisi wananchi tutapata haki, kinyume chake hakuna haki.
Rais wetu Mpendwa mama Samia anataka kuona Haki ikitamalaki, hataki kuona UONEVU/UNYANYASAJI na upendeleo au kujuana.
acheni kutoa kadi nyekudu ovyo ovya, waleeni watumishi walio chini yenu badala ya kuwagawa, wajengeeni uwezo badala ya kuwaharibu.
wapo viongozi wenye roho mbaya sana ambao wanapenda kuwaharibia kazi walio chini yao kwa maksudi tu au chuki binafsi, mizengwe mizengwe mizengwe na chuki
uonevu, uonevu, uonevu ndicho huwa kinatendaka ndani kwa ndani, viongozi wana waonea sana watumishi walio chini yao, kiongozi anaweza kuamua tu kwa hila kumharibia aliye chini yake hiyo ndio tabia iliyo kithiri ndani kwa ndani na bahati mbaya hakuna wa kuwatetea.
Waziri Mchengelwa safisha tabia hiyo ya uonevu mkubwa iliyo kithiri ndani ya utumishi wa umma.
 
Kwa kumbukumbu zangu, katika barua yake kwa wizara, idara na taasisi za serikali, Katibu Mkuu Utumishi aliwagiza wahusika kuwa ifikapo June 10 mwaka huu, wawe wamewassilisha serikalini orodha ya watumishi wanaostahili kupanda vyeo katika mwaka huu wa 2021.

Hivyo, ili kuwapa watumishi fursa ya kuhakiki orodha hiyo ili kuondoa uwezekano wa baadhi ya watumishi kusahaulika, kurukuwa na hata kufanyiwa mizengwe, nashauri serikali iweke wazi hiyo orodha na itoe nafasi kwa watumishi kuwasilisha malalamiko iwapo wapo watakaona majina yao hayapo ingawa sifa wanazo.

Ukweli ni kwamba, haya yalipaswa kufanywa na idara na taasisi husika kabla ya kuwasilisha orodha hiyo Utumishi, ila sidhani kama jambo hili limefanyika na hata kama limefanyika limefanywa na kila idara na taasisi ya serikali.

Nashauri hivi ili kuondoa uwezekano wa kuja kuibuka malalamiko kutoka kwa watumishi wakilalamika kutopandishwa vyeo ili hali sifa walikuwa nazo na wakaishia kupewa majibu kama maswala yenu yanashughulikiwa au ni tatizo la system au ni matatizo tu ya kibinadamu, n.k, ila tunashgulikua.

Mambo ya serikalini tunayajua kwani ukikosa hii nafasi, unaweza kusubiri miaka mingine miwili, mitatu na hata zaidi ndio tatizo liwe limepatiwa ufumbuzi ingawa pia linaweza tatuliwa mapema (probability).

Tukumbuke watumishi hawa wamekaa miaka karibu sita bila kupata hizo promotion, sasa haitakuwa vyema mtu kukosa tena hii fursa.

Hivyo, ili kuepuka yote haya, ni bora hiyo orodha iwekwe wazi na serikali au serikali iziagize idara na taasisi zake kuweka wazi orodha hiyo kwa watumishi wake ili watumishi wahakiki majina yao kabla ya mchakato haujafika mwisho.

Lingine la msingi ni serikali au idara zake kuweka wazi sifa ambazo mtumishi anastahili ili aweze kupandishwa cheo. Hii ni kwasababu sifa hizi zimekuwa zikiorodheshwa tu ila pasipo kuwa na ufafanuzi wa kutosha, hivyo kuna uwezekano wa baadhi ya watumishi kutoelewa ni zipi hasa hizo sifa wanazostahili kuwa nazo ili wapande vyeo.

Kwa mfano,hivi sasa mtumishi ili kupanda cheo, sifa mojawapo ni awe amekaa katika cheo kimoja kwa miaka minne.Sasa swali litakuja; je, ni miaka minne mfululizo au mradi itimie miaka minne bila kujali kuna kipindi mtumishi hakuwa kazini mfano alikuwa masomoni?

Wahusika tunaonba haya myafanyie kazi mapema iwezekanavyo ili kuwaondolea watumishi adha zisizo za lazima na pia ili kutowachanganisha watumishi na serikali yao.

CHADEMA,ACT na vyama vingine vya upinzani, baada ya serikali kutamka kuwa itawapandishda vyeo watumishi, nyinyi mnapaswa kubeba agenda hiyo kwa kuongelea mambo haya kama ambayo mimi nimeongea hapa au kwa namna mtavyoona inafaa kwani mna nguvu na ndio kazi yenu na ndio siasa yenyewe.
serikali ilisema itapandisha watumishi elfu 92.
Polisi elfu 34 tayari wamepanda hawa ni tofauti na wale elfu 92.
Malalamiko kutokea hutokea tu ,Mfano kuna wale wa standing order walienda kusoma, kuna wale waliosimashwa kazi ,kuna waliobaki miaka michache kustaafu, kuna wale walioa na kesi mahakamani hazijaisha n.k
 
Kwa kumbukumbu zangu, katika barua yake kwa wizara, idara na taasisi za serikali, Katibu Mkuu Utumishi aliwagiza wahusika kuwa ifikapo June 10 mwaka huu, wawe wamewassilisha serikalini orodha ya watumishi wanaostahili kupanda vyeo katika mwaka huu wa 2021.

Hivyo, ili kuwapa watumishi fursa ya kuhakiki orodha hiyo ili kuondoa uwezekano wa baadhi ya watumishi kusahaulika, kurukuwa na hata kufanyiwa mizengwe, nashauri serikali iweke wazi hiyo orodha na itoe nafasi kwa watumishi kuwasilisha malalamiko iwapo wapo watakaona majina yao hayapo ingawa sifa wanazo.

Ukweli ni kwamba, haya yalipaswa kufanywa na idara na taasisi husika kabla ya kuwasilisha orodha hiyo Utumishi, ila sidhani kama jambo hili limefanyika na hata kama limefanyika limefanywa na kila idara na taasisi ya serikali.

Nashauri hivi ili kuondoa uwezekano wa kuja kuibuka malalamiko kutoka kwa watumishi wakilalamika kutopandishwa vyeo ili hali sifa walikuwa nazo na wakaishia kupewa majibu kama maswala yenu yanashughulikiwa au ni tatizo la system au ni matatizo tu ya kibinadamu, n.k, ila tunashgulikua.

Mambo ya serikalini tunayajua kwani ukikosa hii nafasi, unaweza kusubiri miaka mingine miwili, mitatu na hata zaidi ndio tatizo liwe limepatiwa ufumbuzi ingawa pia linaweza tatuliwa mapema (probability).

Tukumbuke watumishi hawa wamekaa miaka karibu sita bila kupata hizo promotion, sasa haitakuwa vyema mtu kukosa tena hii fursa.

Hivyo, ili kuepuka yote haya, ni bora hiyo orodha iwekwe wazi na serikali au serikali iziagize idara na taasisi zake kuweka wazi orodha hiyo kwa watumishi wake ili watumishi wahakiki majina yao kabla ya mchakato haujafika mwisho.

Lingine la msingi ni serikali au idara zake kuweka wazi sifa ambazo mtumishi anastahili ili aweze kupandishwa cheo. Hii ni kwasababu sifa hizi zimekuwa zikiorodheshwa tu ila pasipo kuwa na ufafanuzi wa kutosha, hivyo kuna uwezekano wa baadhi ya watumishi kutoelewa ni zipi hasa hizo sifa wanazostahili kuwa nazo ili wapande vyeo.

Kwa mfano,hivi sasa mtumishi ili kupanda cheo, sifa mojawapo ni awe amekaa katika cheo kimoja kwa miaka minne.Sasa swali litakuja; je, ni miaka minne mfululizo au mradi itimie miaka minne bila kujali kuna kipindi mtumishi hakuwa kazini mfano alikuwa masomoni?

Wahusika tunaonba haya myafanyie kazi mapema iwezekanavyo ili kuwaondolea watumishi adha zisizo za lazima na pia ili kutowachanganisha watumishi na serikali yao.

CHADEMA,ACT na vyama vingine vya upinzani, baada ya serikali kutamka kuwa itawapandisha vyeo watumishi, nyinyi mnapaswa kubeba agenda hiyo kwa kuongelea mambo haya kama ambayo mimi nimeongea hapa au kwa namna mtavyoona inafaa kwani mna nguvu na ndio kazi yenu na ndio siasa yenyewe.
Well stated mkuu..
 
Back
Top Bottom