Halafu mtu analipwa 3.5m ni mkuu wa idara halafu idara yenyewe haipandishi watu madarajaI strongly support you. Kuna takataka nyingi serikalini kitengo chs HR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mtu analipwa 3.5m ni mkuu wa idara halafu idara yenyewe haipandishi watu madarajaI strongly support you. Kuna takataka nyingi serikalini kitengo chs HR
Usiri ndio unatumika kukandamiza haki za watumishi kwenye baadhi ya taasisi hivyo kuna umuhimu wa kuangalia ni nini kinastahili kuwa siri na nini hakistahili.Maswala ya kitumishi ni siri.
Kama kuna mtumishi ataachwa ipo nafasi ya malalamiko.
Na kila mtumishi anajua kama anastahili kupanda ama la.
Hakuna kitu hapa, hicho ndiyo atakuwa anatumia Kama kigezo Cha kutopandisha watu mishahara. Sifa zipi hizo wanazomaanisha. Kwa nini wasirudishe kigezo Cha miaka mitatu.Kwenye ila barua ya Katibu Mkuu Utumishi waliweka wazi kuwa mtumishi anatakiwa awe ametumika cheo cha awali walau miaka 4 kabla ya kuweza kupandishwa cheo.
Nakumbuka mwanzoni ilikuwa ni miaka 3, ila utawala wa Magufuli usiopenda watumishi, ukaongeza mpaka miaka hiyo minne inayotumika sasa.
Anyway,kama usemalo ni la kweli, basi Mama atakuwa anajitahidi sana kutendea haki watumishi katika uongozi wake tofauti na wakati wa Magufuli.