Serikali iweke wazi orodha ya watumishi wanaostahili kupanda vyeo mwaka 2021

Maswala ya kitumishi ni siri.

Kama kuna mtumishi ataachwa ipo nafasi ya malalamiko.

Na kila mtumishi anajua kama anastahili kupanda ama la.
Usiri ndio unatumika kukandamiza haki za watumishi kwenye baadhi ya taasisi hivyo kuna umuhimu wa kuangalia ni nini kinastahili kuwa siri na nini hakistahili.
 
Hakuna kitu hapa, hicho ndiyo atakuwa anatumia Kama kigezo Cha kutopandisha watu mishahara. Sifa zipi hizo wanazomaanisha. Kwa nini wasirudishe kigezo Cha miaka mitatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…