Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Kama tunataka maendeleo ya mpira nchi yetu basi tuzifute kwanza hiz timu mbili kwanza
Maana koch asipochagua mchezaji kutoka timu hizi anakuwa katka wakat mgumu Sana hata kama hawana viwango
MUDA UMEFIKA TUZIFUTE SIMBA NA YANGA TUENDELEE KISOKA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Maana koch asipochagua mchezaji kutoka timu hizi anakuwa katka wakat mgumu Sana hata kama hawana viwango
MUDA UMEFIKA TUZIFUTE SIMBA NA YANGA TUENDELEE KISOKA
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app