Serikali kaeni chini na Zuchu awasaidie kuboresha elimu

Zuchu hawezi kuharibu kizazi utamsingizia tu. Zuchu anaimba nyimbo za mapenzi target market yake ni watu wazima lakini watoto wanatokea kuzipenda. Lazima tuangalie kwa nini wanazipenda, au unafikiri wanavutiwa na mashairi?
wasichogundua wasanii wengi pamoja na wewe kwanini wanazipenda ni urudiaji wa maneno coz nimafupi mafupi na ni rahisi mtu kuyanakili na anachokosea profesa ni kurudisha kizaz kwenye enzi zake alizokulia yeye
 
we kafiche upumbavu wako huo,
 
Vipi danguro lako limevunjwa ?
Unajua mkuu malaya ni viumbe muhimu sana kwenye miji na majiji makubwa

Nimeumia sana kuona madanguro yanavunjwa.

Tunahitaji malaya wengi miaka hii kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya taifa letu

Malaya ni muhimu sana kuwepo kwenye jamii yetu iwe ni hawa mafungu au wa kwenye mitandao

Ofisi ya mkuu wa mkoa inafeli sana
 
Serikali ikae chini na muhalifu ambaye anastahiki kuwa kafungiwa kufanya mziki?

Kwa uthibitisho wa Hilo tukio me nadhani BASATA ndo wangekuwa wakwanza kujiuzuru kufuatia kuruhusu Nyimbo isiyo na maadili kupigwa na kuchezwa mtaani..
Kama kuna kiarufu cha rushwa hivi...
 
nashanga kwanini dunia inakuwa na watu wapumbavu km wewe? Unajua maana ya "honey" ktk ule wimbo. Msiwaletee watoto wetu huo ushetani wenu, mtu km Zuchu ambaye kwa ujumla maadili yake ni ya hovyo atawafundisha nini watoto wetu zaidi ya kuwaharibu na kuwafanya wahunu km yeye? We huna unachojua kuhusu elimu kaa kimya.
 
Safi san umeongea Vyote labda kama tunatKa kutengeneza Batch ya Watu wasio na maadili sawa
 
Mkuu kubali umeteleza kwa kutaja kuwa serikali ikae na zuchu ungeweza kupropose aina nyingine ya watu au vitu tungekuelewa..
Na zamani tulikuwa na mashairi shuleni tunaimba ila yalikuwa na madili sio hizi nyimbo za hivi vitoto vi millenial na Generation z
 
Eti zuchu asaidie kuboresha elimu [emoji1]

Sema asaidie watoto wazidi kukatika

Mauno

Ova
 
Zuchu huyu ambaye ana kakaake marehemu Omari kopa na mama yake khadija akawafundishe wanangu?
Tafadhali we jamaa embu punguza ujinga kidogo.
Labda km kuna somo la kuliwa mitaro.
Maana shule km shule huyo zuchu hana.
Wale familia yote hakuna kitu hawana maadili

Ova
 
Naaamini huyo Mkenda anaweza kumskiliza Zuchu kuliko hao walimu.Rai yangu Kwa Zuchu nenda ukawaombee msamaha walimu wetu kwani mashairi yako ndiyo yamekuwa mateso ya walimu.
Ikikupendeza zaidi Zuchu huko uliko utoe basi na wewe kauli yako juu ya jambo hili kuliko kunyamaza kimya.
 
Mtoto ana mwaka mmoja anakaa anamsikiza Zuchu na anafatisha anachoimba. Nchi za wenye akili wanaanzia hapo kufikiria. Ila waswahili Mungu aliwanyima maarifa sio kosa lenu.
Ni kweli Zuchu anasauti kama mtoto mwenzao. Katoto kanaweza pia kutumia sauti kali kali kama Zuchu tu. Pia uvaaji na alivyojiwekaweka marangirangi.

Kwa kifupi anavibrate mirindimo inayoendana nao ndio maana wanamuona mwenzao. Wanaresonate pamoja

Kupenda ile liking, inaathiriwa sana na familiarity yaani kujuana flani.

Naungana na wewe serikali imlipe Zuchu kumpa mashairi ili aimbe kile tunataka watoto waimbe. Atakuwa anafanya kazi ya jamii na ndio maana inabidi jamii imlipe kupitia serikali..... kinyume na hapo serikali hiyohiyo imfunge!?🙀. E eeh si tumekubaliana anaharibu jamii so jamii hiyohiyo kupitia serikali imfunge jela maisha🤷
 
Nafikir WBC wakilitokea tamko itapendeza zaid kuliko Zuchu
 
Binafsi huwa naiunga mkono sana Serikali na maamuzi yake mbalimbali. Lakini katika suala la kuwavua Ualimu Mkuu walimu kisa watoto kuimba na kuchezea wimbo wa Zuchu tena wakiimba na kucheza na walimu wao, nasema HAPANA!!
 
Yaani kiimba ovyo na kicheza uchi kimoja ndio kisaidie kuboresha elimu kweli,are you serious labda kisaidie kufundisha tutoto kutukatia vibuno vibakaji
 
Elimu inaboreshwa kwa serikali kuwa na mfumo mzuri, shule nzuri na waalim wazuri wenye utalaam wa kufundisha na siyo kuwapa machangudoa hiyo kazi. Jinsi ulivyoshindwa kuandika maneno rahisi kabisa ya kiswahili, inaakisi ulivyo mtupu kichwani.
'waalim wazuri wenye utalaam', nawe umahili wako ni huu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…