Serikali kaeni chini na Zuchu awasaidie kuboresha elimu

Serikali kaeni chini na Zuchu awasaidie kuboresha elimu

Labda kama kuna mtaala wa mapenzi utakaofundisha wanafunzi hapo sawa wamshirikishe tu. Ila kama mtaala hauhitaji kufundisha mapenzi basi hawezi kushirikishwa
 
Katika hili mkenda kaonesha alivyo mweupe kichwani, ni uamuzi wa ajabu sana kauchukua,
Hao walimu warudishiwe vyeo vyao tu

Ulitaka afanyeje?. Akae kimya huku mwalimu mkuu akiimba nyimbo za mapenzi na wanafunzi wake? Kesho wanafunzi wakianza kutembea na wanafunzi wao mnalalamika. Prof Mkenda kafanya wajibu wake.
 
Sema nini kuna kitu special huyu binti Zuchu anacho ambacho watoto wanapendezwa na nyimbo zake.

Kwa kweli watoto wana ziimba sana mpaka inashangaza.

Atoe wimbo mmoja mzuri wa kitoto wa kuhesabu au kusoma nafikiri utavunja rekodi hasa kwa watoto.
 
Elimu inaboreshwa kwa serikali kuwa na mfumo mzuri, shule nzuri na waalim wazuri wenye utalaam wa kufundisha na siyo kuwapa machangudoa hiyo kazi. Jinsi ulivyoshindwa kuandika maneno rahisi kabisa ya kiswahili, inaakisi ulivyo mtupu kichwani.

Tatizo watu ni wajuaji , wanadhani suala la elimu ni rahisi Kama kuimba Honey!!!.
 
Kusema watoto wadogo wanaozipenda nyimbo za zuchu kuwa sababu ni maudhui (content)ni uongo.
There is something special in art she has to be loved to that extent.

Sauti aliyotumia ya kitoto.
 
PhD za mchongo mchongo yaani za kukariri...

Tukosoe watu bila kutukana elimu zao. Maana wale ni mawaziri na wapo Chini ya sheria, hawafanyi mambo kwa kukurupuka. Walimu wakuu Wana miongozo yao kuhusu nidhamu na nyimbo za kuimba mashuleni. Mbona nyimbo za watoto zipo nyingi tu mashuleni kwanini waimbe mapenzi Tena kuitana honey?. Tuangalie mambo kwa mapana.
 
Kabisa vilaza hawa

Vilaza kwenye Nini?. Kuwachukulia walimu wakuu hatua kwa kuruhusu nyimbo za mapenzi kwa watoto wadogo Kama wale?. Yani mwalimu mkuu anaimba Honey na mwanafunzi wake? Tena basi watoto wenyewe wadogo.
 
Vilaza kwenye Nini?. Kuwachukulia walimu wakuu hatua kwa kuruhusu nyimbo za mapenzi kwa watoto wadogo Kama wale?. Yani mwalimu mkuu anaimba Honey na mwanafunzi wake? Tena basi watoto wenyewe wadogo.
Mbona kwenye mikutano ya ccm wapo!!?
 
Hao akina Zuchu ndo role models wa hawa watoto, wanaona wanatoboa huku wasomi na madigrii yao wanahangaika na bahasha za khaki mitaani miaka nenda rudi.

Unatukana wenye degree kwa sababu ya baadhi wasio na ajira?. Mbona Marais wa nchi ya Tanzania wote walikuwa na degree?. Halafu sio kila msanii ana Hali nzuri ni baadhi yao tu.
 
Elimu ni teaching and learning, ukifeli hapo hakuna elimu. Wenzetu wanafundisha watoto coding kuanzia lower grades uku kumejaa watu wanaofikiri kama wewe unapiga marufuku watoto kugusa devices kuwa wataharibu.
Zuchu kwako ni changudoa ila watoto wanaimba na kucheza nyimbo zake. Jifunze kufanya analysis ya kila information unayokutana nayo itakusaidia sana hata kulea watoto wako.

Tatizo unalazimisha Jambo kwa kuangalia context ya Zuchu. Hivi huko mashuleni hakunaa nyimbo za watoto?. Mbona tumeimba Sana nyimbo mashuleni tangu enzi na enzi?. Halafu, kwa Sasa serikali imeshapitisha sera mpya ya Elimu ambayo itakuwa more practical kwa wanafunzi hata muziki utakuwepo. So watoto watafundishwa muziki na mengineyo lakini sio style hiyo ya kuimbishana honey, mara honey sikuoni kwa mtoto wa darasa la kwanza.
 
Unatukana wenye degree kwa sababu ya baadhi wasio na ajira?. Mbona Marais wa nchi ya Tanzania wote walikuwa na degree?. Halafu sio kila msanii ana Hali nzuri ni baadhi yao tu.
Siyo wote, rejea desa.
 
Ndio maprofesa wa kitanzania, huwezi watofautisha sana na wasioenda shuleni.

kafanya maamuzi kulingana na miongozo ya Wizara ya Elimu sio kulingana elimu yake. Mkenda ni mtaalamu wa uchumi. So hajafanya maamuzi kwa kutumia uprofesa wake wa uchumi Bali miongozo ya walimu wa wakuu. Miongozo ya walimu wakuu inakataza nyimbo zisizo na maadili.
 
Sema nini kuna kitu special huyu binti Zuchu anacho ambacho watoto wanapendezwa na nyimbo zake.

Kwa kweli watoto wana ziimba sana mpaka inashangaza.

Atoe wimbo mmoja mzuri wa kitoto wa kuhesabu au kusoma nafikiri utavunja rekodi hasa kwa watoto.

Nakuunga mkono
 
Elimu inaboreshwa kwa serikali kuwa na mfumo mzuri, shule nzuri na waalim wazuri wenye utalaam wa kufundisha na siyo kuwapa machangudoa hiyo kazi. Jinsi ulivyoshindwa kuandika maneno rahisi kabisa ya kiswahili, inaakisi ulivyo mtupu kichwani.
Jamaa huyu anajua kuropoka tu ila kichwani ni zero brain! Kahaba ataboresha kipi kwenye shule zetu?
 
Na mpenzi wangu Honeyyy
Simuoni tafraniii
Namwita Honey haonekani
Honeyyyyyyyy
Honeyyyyyyyyyy
Honeyeeeee
Aah Honeyeeee

Nakupendaaaaaa
Honey we unanitesaaa

Basi inatoshaaa
Kivumbi leooo 😂😂
Alafu depal unatafuta Salam zako kwani ujapewa😂😂😂kitu golo
 
Back
Top Bottom