Serikali kaeni chini na Zuchu awasaidie kuboresha elimu

Serikali kaeni chini na Zuchu awasaidie kuboresha elimu

Warudishwe haraka ualimu mkuu. Huyo Mkenda sijui makende ni kiazi mmoja. Prof uchwara akibananishwa na wazungu atabaki yu noo zee zee mazafaka mkubwa.
 
wasichogundua wasanii wengi pamoja na wewe kwanini wanazipenda ni urudiaji wa maneno coz nimafupi mafupi na ni rahisi mtu kuyanakili na anachokosea profesa ni kurudisha kizaz kwenye enzi zake alizokulia yeye
Kizazi cha enzi zake kimefanya nini jipya kwenye hii nchi?
 
Mkuu kubali umeteleza kwa kutaja kuwa serikali ikae na zuchu ungeweza kupropose aina nyingine ya watu au vitu tungekuelewa..
Na zamani tulikuwa na mashairi shuleni tunaimba ila yalikuwa na madili sio hizi nyimbo za hivi vitoto vi millenial na Generation z
Kwani Zuchu ana ubaya gani?
 
Hii ni kweli, nadhani hapa ndo shida, optimistic vs pessimistic views on glass of water?
1: a glass is half filled
2: a glass is half empty

Kwa wenzetu wangeweza kutengeneza kitu chanya zaidi kunufaisha jamii. Mfano: kwenye mfumo wa elimu kuna kitu cha kusisimua kinachomfanya mtoto apende mazingira ya shule na vilivyopo? Kama vipo au havipo tumia influence hiyo kuboresha.

Kufurahi huleta vichocheo chanya kwenye mwili/happy hormones. Hapa mtoto anafurahi na kuwa na faraja, baada ya hapo anasoma kwa amani.

Ni tegemeo la mwalimu mtoto atapenda shule na mazingira ya shule pia. Hivyo, ufundishaji kuwa mwepesi pia. Watu wako very serious na kila kilicho mbele yao maishani hivyo wanataka kila mtu ayachukue hivyo maisha kama wao, matokeo yake tunatengeneza jamii iliyojaa depression vs anxiety na hawawezi kuhoji chochote.
Una akili nyingi, exposure na uwezo wa kuanalyze issues. Bahati mbaya ni wachche mno wanaweza elewa ulichoandika.
 
Nilikuwa kijiji kimoja ndani kabisa nikasikiliza watoto wadogo hata elimu ya awali hawajaanza wanaimba sagarumba
 
Nilikuwa kijiji kimoja ndani kabisa nikasikiliza watoto wadogo hata elimu ya awali hawajaanza wanaimba sagarumba
Hiyo ni nguvu ya sanaa anayoweza ifanya huyu binti. Nguvu hiyo inaweza tumika kutengeneza content za kutumika mashuleni kufundishia.
Hakuna professor anaweza design hiyo art ya kupendwa na watoto, hiyo kitu ni inborn. Watasoma wamalize madarasa.
 
Serikali ingeacha watu wafanye wanavyotaka , hata kuimba uchi. Maana hicho ni kizazi Cha nyoka ukisema usimamie maadili utatukanwa mpaka ufe. Serikali iache watu wafanye wanayojisikia ila mwisho wa matokeo tutayaona vizazi vijavyo.
 
kwa hiyo wewe kwa akili zako kati yako na zuchu (unayemuita changudoa ) nani anawainspire zaidi vijana na watoto hapa africa mashariki? kichwa maji wewe!

Kuispire kwenye nini?. Kuimba ngono?. Hata makahaba maarufu Kama Amber Rutty wanaispire watoto. Umesahau alienda shule moja kengele ikagongwa wanafunzi waote wakamsikilize?. Tukubali tu kwamba kwa kizazi hichi maadili hakuna na ukisimamia maadili utatukanwa mpaka basi.
 
Hapo kujibu mapigo zuchu aongee na tajiri yake dangote washirikiane kufungua International school na iwe na masomo ya mziki hao walimu wapewe kipaumbele maana hao maprofesa hawajui kama muziki ni ajira ningekuwa boss wao sa hizi wao ndio wangekuwa nyumbani sio tu kuwashusha vyeo
 
Mtoto anabidi kulishwa Taarifa sahihi katika makuzi yake Hadi anazeeka

Waziri amekosea ila Kuna mahala serikali ina watu ambao hawajui mtoto apewe Nini ili awe mtu Bora , shule Kama Feza huwezi kukuta hizo mambo so Kuna Nguvu kubwa ambayo inatumika kuharibu watoto nab
Nb dumu fagio now days sio shule.
 
Mtoto ana mwaka mmoja anakaa anamsikiza Zuchu na anafatisha anachoimba. Nchi za wenye akili wanaanzia hapo kufikiria. Ila waswahili Mungu aliwanyima maarifa sio kosa lenu.

Kwa hivyo watoto wajifunze matusi ingali wadogo?. Kweli kizazi Cha nyoka kinakaribia. Na hao watoto wanasikiliza wakiwa wapi?
 
Hapo kujibu mapigo zuchu aongee na tajiri yake dangote washirikiane kufungua International school na iwe na masomo ya mziki hao walimu wapewe kipaumbele maana hao maprofesa hawajui kama muziki ni ajira ningekuwa boss wao sa hizi wao ndio wangekuwa nyumbani sio tu kuwashusha vyeo

Muziki sio shida, hata mtaala wa Sasa hivi mziki upo. Shida mziki wa aina gani?. Kukatiana mabuno na kuitana honey?
 
Nimeona baada ya video ya watoto wa shule ya msingi wakionekana wakiimba na kucheza nyimbo ya Zuchu serikali imetoka na kuwashusha vyeo walimu wakuu wa shule hizo.

Nimeshangaa sana kwa hatua hii ya serikali maana ni ya kukurupuka na hawajatumia maarifa.

Kwanza naomba niwafahamishe kuwa nyimbo za Zuchu ni kama national anthems kwa watoto wadogo, sio hii Honey tu, karibu zote kuanzia Sukari, Kwikwi nk.

Watoto wanaziimba mstari wa kwanza mpaka wa mwisho ni mpaka Kenya uko. Ipo sababu maana hakuna anaekaa chini akawafundisha nchi nzima watoto kuimba nyimbo za Zuchu. Why only Zuchu? Ni swali la kujiuliza.

Wizara ya elimu inaongozwa na professor ambae pia ndio aliotoa tamko la kushusha vyeo walimu.

Nilitegemea professor baada ya kuona watoto wanacheza na kuimba kwa furaha wimbo huo angefanya critical thinking na kutafuta sababu kwa nini watoto wamevutiwa na huo wimbo ila yeye katika fikra zake aliona suluhu la kuzuia wimbo wa namna hiyo ni kuvua vyeo walimu. Baada ya hapo? Hawezi fikiri zaidi.

Tuna aina hiyo ya maprofesa kwenye nchi yetu wanachoweza ni kuvaa suti na kutishia watu vyeti.

Hakuna professor wa kitanzania aliyegundua formula wala model au falsfa au item ikasaidia watanzania wao wanachoweza ni kukariri vya wenzao kwa level kubwa na kufaulu mitihani.

Nchi za wenzetu kwa sasa wametoka kwenye ufundishaji wa kumezesha watoto. Mwalimu anakaa mbele anaimba aaaa eeee iiii oooo uuuu wenzetu washatoka uko, wapo kwenye learning through play.

Mtoto anajifunza kwa michezo na nyimbo. Darasa linajaa makolokolo ya kuchezea na kuimba mwanzo mwisho madaftari yanaguswa kidogo sana. Sio kama uku katoto ka lower primary unakuta kana begi kuuubwa kanaenda kumezeshwa shuleni spoon feeding ubongo hauchangamki hajifunzi kuadapt mambo mapya.

Nilitegemea professor baada ya kuona watoto wanainjoi wimbo angeanzia hapo kutazama ni namna gani mtaala wetu unaweza ingiza kujifunza kwa kutumia nyimbo zenye maudhui ya Zuchu.

Mnaweza kukaa nae mkapata moja mbili kwanini nyimbo zake ni addictive kwa watoto. Tuna waimbaji wengi ila kwa nini yeye anakubalika na watoto ndivyo watu walioendelea wanavyofanya innovations.

Ubaya wetu waswahili siku zote tunawaza kubomoa badala ya kujenga.
Hakuna mwalimu wala mzazi anaweza mzuia mtoto kuimba nyimbo za Zuchu hakuna. Hawa watoto hakuna anaewafundisha kuziimba mtatafuta watu ubaya bure maana huwezi niambia mtoto wa miaka 2 kafundishwa ni ubongo wake umeweza ku-catch wenyewe.

Wasomi uko serikalini kaeni na Zuchu awasaidie. Kwa sasa mmebadili mtaala ila kama mindset ndio hizi zinazosimamia elimu hakuna kitachobadilika kwenye elimu yetu.

Msipende kujificha kwenye kichaka cha maadili tumieni maarifa. Hamkuwa maprofesa ili mfanye kazi kwa mfumo wa kipolisi.

Weekend njema!

Mbona elimu ilishaboreshwa na Kuna Mtaala mpya na sera mpya ya Elimu. Serikali haifanyi kazi kwa mihemuko.
 
Wakoloni wanajiandaa kurudi upya!Hatuna vizazi viwili mbele.

Kweli kabisa, miaka ishirini ijayo Tanzania itakuwa nchi ya tofauti kabisa na tuliyoijua. Ila tusije kulalamika kesho yatakayo wakuta watoto wetu na wajukuu.
 
Katika hili mkenda kaonesha alivyo mweupe kichwani, ni uamuzi wa ajabu sana kauchukua,
Hao walimu warudishiwe vyeo vyao tu

Namuunga mkono Prof, tuache unafiki Mwalimu Mkuu anaimba nyimbo ya mapenzi pamoja na wanafunzi wake inaleta maana. Prof Mkenda kajitoa kwenye lawama kwamba alisimama maadili. Hivi mzazi unaweza kuimba nyimbo wa mapenzi na mwanao mdogo?. Tusichukulie mamboa pia.
 
Back
Top Bottom