Serikali kama hii Taarifa ya Kufungiwa kwa Tapeli Kiboko ya Wachawi ni kweli kwanini na Matapeli wengine Wakomavu wa Kawe na Kimara Temboni wameachwa?

Serikali kama hii Taarifa ya Kufungiwa kwa Tapeli Kiboko ya Wachawi ni kweli kwanini na Matapeli wengine Wakomavu wa Kawe na Kimara Temboni wameachwa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Acheni Double Standards tena nadhani huyu wa Buza ( Kiboko ya Wachawi ) hana Madhara sana japo ni Tapeli kama hawa Wawili wa Tanganyika Packers Kawe na Kimara Temboni. Halafu Serikali mkiona tu jambo fulani GENTAMYCINE nalijadili au nalizungumza mno hapa JamiiForums kwa 100% jueni si zuri na lina matatizo sawa?
 
Acheni Double Standards tena nadhani huyu wa Buza ( Kiboko ya Wachawi ) hana Madhara sana japo ni Tapeli kama hawa Wawili wa Tanganyika Packers Kawe na Kimara Temboni. Halafu Serikali mkiona tu jambo fulani GENTAMYCINE nalijadili au nalizungumza mno hapa JamiiForums kwa 100% jueni si zuri na lina matatizo sawa?
Mmmhh!
Ni uchochezi??
Waache Watu waendelee kutapeliwa, wanapenda wao wenyewe, hawajalazimishwa kwenda kwa hao matapeli.
Wajinga ndio waliwao.
 
Acheni Double Standards tena nadhani huyu wa Buza ( Kiboko ya Wachawi ) hana Madhara sana japo ni Tapeli kama hawa Wawili wa Tanganyika Packers Kawe na Kimara Temboni. Halafu Serikali mkiona tu jambo fulani GENTAMYCINE nalijadili au nalizungumza mno hapa JamiiForums kwa 100% jueni si zuri na lina matatizo sawa?

Alisema chikwete wapo ambao wakiguswa nchi itatikisika.

Labda na hao humo wamo.
 
Kiboko ya Wachawi ni Mkongo hana influence yoyote, isitoshe ni mganga wa kienyeji haubiri injili.

Mwamposa ni taasisi na mtumishi wa Mungu serikali inamtegemea.
 
Acheni Double Standards tena nadhani huyu wa Buza ( Kiboko ya Wachawi ) hana Madhara sana japo ni Tapeli kama hawa Wawili wa Tanganyika Packers Kawe na Kimara Temboni. Halafu Serikali mkiona tu jambo fulani GENTAMYCINE nalijadili au nalizungumza mno hapa JamiiForums kwa 100% jueni si zuri na lina matatizo sawa?
Uliwahi kufuatilia ishu za yule jamaa

USSR
 
Uliwahi kufuatilia ishu za yule jamaa

USSR
Yaani kabisa GENTAMYCINE nipoteze muda wangu kufuatilia Ishu za Wapumbavu, Wachawi na Matapeli wa Imani Mkuu?
 
Kiboko ya Wachawi ni Mkongo hana influence yoyote, isitoshe ni mganga wa kienyeji haubiri injili.

Mwamposa ni taasisi na mtumishi wa Mungu serikali inamtegemea.
Taasisi wa Mwamposa inaitwaje, Serikali inamtegemea kwa lipi halafu ukisema ni Mtumishi wa Mungu wengine siyo?
 
Acheni Double Standards tena nadhani huyu wa Buza ( Kiboko ya Wachawi ) hana Madhara sana japo ni Tapeli kama hawa Wawili wa Tanganyika Packers Kawe na Kimara Temboni. Halafu Serikali mkiona tu jambo fulani GENTAMYCINE nalijadili au nalizungumza mno hapa JamiiForums kwa 100% jueni si zuri na lina matatizo sawa?
Wa Kawe wanakula nae sadaka, na sasa wamempa eneo ajenge hapo karibu na shule ya Feza na shule ya msingi Kawe B,
 
Wa Kawe wanakula nae sadaka, na sasa wamempa eneo ajenge hapo karibu na shule ya Feza na shule ya msingi Kawe B,
Hao waliompa ajenge hapo jirani na Shule ya Feza, ya Msingi Kawe B na Hospitali ya Masista Kawe wana Akili kabisa?
 
Kuna wengine kazi zetu kukusanya sadaka kawe....unadhani bosi akifungiwa tutaenda wapi na ujuzi wetu wa kukusanya sadaka
 
Back
Top Bottom