GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mmmhh!Acheni Double Standards tena nadhani huyu wa Buza ( Kiboko ya Wachawi ) hana Madhara sana japo ni Tapeli kama hawa Wawili wa Tanganyika Packers Kawe na Kimara Temboni. Halafu Serikali mkiona tu jambo fulani GENTAMYCINE nalijadili au nalizungumza mno hapa JamiiForums kwa 100% jueni si zuri na lina matatizo sawa?
Acheni Double Standards tena nadhani huyu wa Buza ( Kiboko ya Wachawi ) hana Madhara sana japo ni Tapeli kama hawa Wawili wa Tanganyika Packers Kawe na Kimara Temboni. Halafu Serikali mkiona tu jambo fulani GENTAMYCINE nalijadili au nalizungumza mno hapa JamiiForums kwa 100% jueni si zuri na lina matatizo sawa?
Acha itikisike tu, usawa ni muhimu zaidiAlisema chikwete wapo ambao wakiguswa nchi itatikisika.
Labda na hao humo wamo.
Uliwahi kufuatilia ishu za yule jamaaAcheni Double Standards tena nadhani huyu wa Buza ( Kiboko ya Wachawi ) hana Madhara sana japo ni Tapeli kama hawa Wawili wa Tanganyika Packers Kawe na Kimara Temboni. Halafu Serikali mkiona tu jambo fulani GENTAMYCINE nalijadili au nalizungumza mno hapa JamiiForums kwa 100% jueni si zuri na lina matatizo sawa?
Yaani kabisa GENTAMYCINE nipoteze muda wangu kufuatilia Ishu za Wapumbavu, Wachawi na Matapeli wa Imani Mkuu?Uliwahi kufuatilia ishu za yule jamaa
USSR
Sasa uzi wa nini kama hufatiliiYaani kabisa GENTAMYCINE nipoteze muda wangu kufuatilia Ishu za Wapumbavu, Wachawi na Matapeli wa Imani Mkuu?
Taasisi wa Mwamposa inaitwaje, Serikali inamtegemea kwa lipi halafu ukisema ni Mtumishi wa Mungu wengine siyo?Kiboko ya Wachawi ni Mkongo hana influence yoyote, isitoshe ni mganga wa kienyeji haubiri injili.
Mwamposa ni taasisi na mtumishi wa Mungu serikali inamtegemea.
Acha itikisike tu, usawa ni muhimu zaidi
Kuna tofauti kati ya Kufuatilia na Mtizamo. Kwani kama wanaoenda huko wanalalamika haitoshi kuyajua ya huko Buza?Sasa uzi wa nini kama hufatilii
USSR
Wa Kawe wanakula nae sadaka, na sasa wamempa eneo ajenge hapo karibu na shule ya Feza na shule ya msingi Kawe B,Acheni Double Standards tena nadhani huyu wa Buza ( Kiboko ya Wachawi ) hana Madhara sana japo ni Tapeli kama hawa Wawili wa Tanganyika Packers Kawe na Kimara Temboni. Halafu Serikali mkiona tu jambo fulani GENTAMYCINE nalijadili au nalizungumza mno hapa JamiiForums kwa 100% jueni si zuri na lina matatizo sawa?
Hao waliompa ajenge hapo jirani na Shule ya Feza, ya Msingi Kawe B na Hospitali ya Masista Kawe wana Akili kabisa?Wa Kawe wanakula nae sadaka, na sasa wamempa eneo ajenge hapo karibu na shule ya Feza na shule ya msingi Kawe B,
Na kila Jumamosi au Jumanne Queen Sheeba akiwa Dar es Salaam jamaa huitwa kwenda kumumbea pale Baharini.Nasikia wa kawe yeye analipa Hadi tozo Kwa Kila buku litakalo tolewa. Hivyo tra Wana faidika na wajinga wa Nchi hii
Kakataa kuwa sehemu ya Kampeni ya Queen Sheeba kwa mwakani na Kuchangia mchango wa Saidia Chama chetu.Kuna sehemu atakuwa kakosea ndo maana wamemfungia.