Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

Haupo serious mkuu, kuingiza dudu nisiweze nianze kupeleka ulimi wangu huko?

Asante kwa kunipa dondoo za huko though.
Dogo kumbe wewe bado mgeni hapa mjini. Kuna watu raha yao ni kulamba. Wengine raha yao ni afungwe kamba miguuni na mikononi kisha apigwe fimbo especially mikanda na malaia. Wengine wanyonywe ndio raha yao. Wengine wapewe mtandao pendwa 0713 hawa ndio wengi especially wakisikia ile harufu ya msalani ndio maana vifurushi vya tigo ni bei juu kuliko voda.
 
Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.
yaani nikianalia historia ya hii biashara ya ngono hua naishia kucheka tuu hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.....
 
Kumbe wewe hujawaji kuingia kwenye vile vibanda pale Tmk Sudan. Mle ndani kuna vitanda 2. Kimoja cha business kingine chake. Kwanini 2. Mara nyingi kile cha business kinakua kimelowa sababu kuna wateja wanaopiga katerero. Ndio maana godoro lake limechakaa maeneo ya matako. Pia kuna toilet paper ya kukuvulia mpira. Pia kuna kapu la kuhifadhia mipira na toilet paper zilizotumika. Pia kuna karai la maji liko mvunguni. Haya maji hutumika na madam kuosha kitega uchumi chake kila baada ya tendo.
Ondoa wasiwasi utaikuta isha pigwa maji na imekaushwa na taulo maalum hata chumvini waweza ingia.
Nasema hivi sitokaa niingie uko. Bora nikutane nae bila kujua nimtongoze anifuate kuliko niende kwake.
 
Huyu dogo hajafika Dodoma wakati mawaziri wako Dodoma. Wateja wengi wa makahaba wa Dodoma ni watunga sheria na mapolisi (polisi na wanajeshi wengi ni madomo zege) ndio maana ukienda kwenye madanguro ya Kawe na Mtoni utakuta vitanda, magodoro, mablanket na neti ni mali ya JW. Wanajeshi wenyewe wanavipelekaga ili wapewe huduma hata siku hawana pesa.
No, usiseme (polisi na wanajeshi wengi ni madomo zege) bali sema

(polisi na wanajeshi wengi ni INTROVERTS)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isipozuia wewe unapata hasara gani?
Au wakizuia wewe utapata faida gani?
Tunashindwa kufanikiwa kwa kujifanya tunajua kifuatilia vitu visivyo na faida au hasara kwenye maisha yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataftq chimbo wanakojiuza wakaka nimnunue mmoja nimkaamuuuue mpaka aombe poo
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Dogo kumbe wewe bado mgeni hapa mjini. Kuna watu raha yao ni kulamba. Wengine raha yao ni afungwe kamba miguuni na mikononi kisha apigwe fimbo especially mikanda na malaia. Wengine wanyonywe ndio raha yao. Wengine wapewe mtandao pendwa 0713 hawa ndio wengi especially wakisikia ile harufu ya msalani ndio maana vifurushi vya tigo ni bei juu kuliko voda.
Sijui kwa nini umeona inafaa kuniita dogo.
 
Isipozuia wewe unapata hasara gani?
Au wakizuia wewe utapata faida gani?
Tunashindwa kufanikiwa kwa kujifanya tunajua kifuatilia vitu visivyo na faida au hasara kwenye maisha yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ulisomea shule gani?
Biashara hii ikifungwa INTROVERTS wote na madomo zege watabaka watoto wetu wadogo.
Danguro ni presha valve kama pombe.
 
Kwa nini serikali isiwatengee maeneo maalumu kama inavyofanya kwa wamachinga nao waweze kuenjoy biashara yao ? Iwape na EFD machine kabisa ili mapato yawepo kupitia kada hiyo , uchumi wetu hautategemea tena wafadhiri .
 
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
Ungeweza kuzuia ndani ya siku 3 eeeh!!!
 
Back
Top Bottom