Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

Enzi za Nyerere, Mkuu wa mkoa wa DSM kwa jina la Rwegasira alitaka kuwaondoa wauzaji wote na kuwarudisha kwao.

Habari zikamfikia Kambarage. Akamwita RC. Akamuuliza ukishawarudisha unataka hao wateja wao waende wapi? Wabake wake za watu? Pia akamwambia hata waliooa lakini wana matatizo ya ndoa hujipoza huko.

Zoezi la kuwaondoa lilifia hapo
Kipindi cha RC Rwegasira asilimia kubwa ya hawa watu walikua ni wahaya. Walikua wanejikita pale lilipo jengo la Red Cross, Livingstone, Kidongo Chekundu, Msasani, Kawe, Mtoni ,Mwananyamala, Manzese, Tmk Sudan, Buguruni kuanzia Malapa mpaka Mnyamani na pale TBS. Wenye vijihela huduma walikua wakiipata Maggot na Ohio ktkt ya jiji. Walikuwepo mikoa yote Tanzania ispokua Mtwara, Lindi, Mbeya na Singida. Hii ni kwasababu k haiuzwi kwenye mikoa hiyo. Na mpaka kesho ukifika mikoa hiyo ukitongoza ukanyimwa njoo uchukue hii simu yangu bure.
Asilimia 80 au zaidi ya watu waliobalehe miaka ya 60, 70 na 80 walishapona kwa hawa dada poa wa enzi hizo.
 
Mimi huwa nawasifu vidume, tuna mioyo migumu sana. Mtu katoka kuchapwa na kukojolewa, huenda hata kujiswafi vizuri hakufanya, wewe unaenda na kuchomeka hapo hapo. Inahitaji courage moja matata sana.
Braza, ka nguvu zako za kubeep katafte dawa unywe. Mwanaume rijali nyege zikimkaba hafikilii hilo. Saana ataangalia yupi classic zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Telegram ndipo biashara ilipo sa hivi acheni kujidharirisha kwenda kuokota road watoto wapo telegram wanuza uchi hadi shetani mwenyewe kanyosha mikono juu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enzi za Nyerere, Mkuu wa mkoa wa DSM kwa jina la Rwegasira alitaka kuwaondoa wauzaji wote na kuwarudisha kwao.

Habari zikamfikia Kambarage. Akamwita RC. Akamuuliza ukishawarudisha unataka hao wateja wao waende wapi? Wabake wake za watu? Pia akamwambia hata waliooa lakini wana matatizo ya ndoa hujipoza huko.

Zoezi la kuwaondoa lilifia hapo
Mzee alikuwa vizuri sana upstairs.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuzuia ngono ni kazi kubwa, maana hata mzuia ngono na yeye anatamani apewe ofa hata round moja
Ila nawaza tu,hawana manufaa yoyote,wanajiangamiza wenyewe,watachomwa milele wanachefua roho na kinyume na maadili yetu,ila wapo kinyume na sheria hapa kwetu.,ila kule majuu wamewatengenezea utaratibu ,si wanafanya kihalali,wapo wa kuangalia kwa macho ukitaka,au wa faragha ukichagua kwa malipo,kiasi cha malipo kinajulikana na sehemu atakayoenda kujisetiri inajulikana,hivi tunaweza kupunguza wabakaji kwa kuruhusu hii kitu,tukiwarahisishia wanaume wasioweza kuzungumza na ke tutapunguza labda mimba za wasichana wadogo,itakuwa fursa ya kupunguza mimba zisizohitajika na je watoto wetu wa kike watamaliza masomo yao vizuri ?,Je kwa namna hiyo tutawajua na itakuwa rahisi kufuatilia afya zao na kuwaelimisha madhara ya ngono zembe, na mwisho Je kuna utafiti unaoonesha kule waliko ruhusu wamepoteza nini na wamepata nini,sielewi
 
hawa wadada wanasumbua sana mitaani na ni balaaa. unakuta mtu ana ugumu wake kabaniwa na mkewe wiki mbili sasa mazingira hayo nini kinatokea.

mimi naona sina cha kuchangia.
 
Enzi za Nyerere, Mkuu wa mkoa wa DSM kwa jina la Rwegasira alitaka kuwaondoa wauzaji wote na kuwarudisha kwao.

Habari zikamfikia Kambarage. Akamwita RC. Akamuuliza ukishawarudisha unataka hao wateja wao waende wapi? Wabake wake za watu? Pia akamwambia hata waliooa lakini wana matatizo ya ndoa hujipoza huko.

Zoezi la kuwaondoa lilifia hapo
Nasikia Nyerere ameshatangazwa kuwa ni Mwenyeheri.
 
Ukiwa mahakamani utatoa uthibitisho gani wa mwanamke kuuza uchi wake ?
Ni kweli kabisa, kama madada poa kuuza nyuchi ni kosa kisheria lakini wapo na wanajulikana wanapopatikana na hakuna anaechukua hatua yoyote basi haina budi wakahalalishwa na kusajiliwa chama chao kinachotambulika ili waweze kuwa wanachama kwa maslahi ya kutetea haki zao na kulipa kodi serikalini.

Serikali haioni kuwa hiki ni chanzo kizuri cha mapato? Viongozi wanawaza kununua tu wapinzani. Kama umeshindwa kukemea angalau basi nufaika na hii biashara isiyolipiwa kodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyombo vya ulinzi na usalama vina mambo mengi sana muhimu ya kufanyia kazi,navishauri visipoteze muda wake kuingilia maisha binafsi na ya faragha ya watu wazima.
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom