Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.

Nakazia na wapiga debe pia. Maana wote hawa ndiyo wale wapiga kura wetu. Ndiyo waliotuweka madarakani - wasibughudhiwe.

TWAWEZA waliyaona haya.
 
Kumbe wewe hujawaji kuingia kwenye vile vibanda pale Tmk Sudan. Mle ndani kuna vitanda 2. Kimoja cha business kingine chake. Kwanini 2. Mara nyingi kile cha business kinakua kimelowa sababu kuna wateja wanaopiga katerero. Ndio maana godoro lake limechakaa maeneo ya matako. Pia kuna toilet paper ya kukuvulia mpira. Pia kuna kapu la kuhifadhia mipira na toilet paper zilizotumika. Pia kuna karai la maji liko mvunguni. Haya maji hutumika na madam kuosha kitega uchumi chake kila baada ya tendo.
Ondoa wasiwasi utaikuta isha pigwa maji na imekaushwa na taulo maalum hata chumvini waweza ingia.
Aisee mungu atusaidie
 
Sasa hasira zako ni kwasababu serikali haipati kodi kutoka kwa hao wanaojiuza au ni nini? Kwa hiyo wakilipishwa kodi utaifurahia hiyo biashara yao na hautakua na shida nao tena?

Lakini ni dots gani hizo uliunganisha mpaka ukajiaminisha kua "wanauza"? Ulienda kuuliza bei? Waliweka matangazo? Au ulipoona wanawake wanaota jua ukapata hisia kua wanauza?
Maswali ya msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.

NI wazo zuri ila serikali kuhalalisha umalaya si wazo sahihi kwani kodi watakayolipa pengine haitalingana na kipato chao.

Mnatakiwa watanzania wachache kama wewe wenye muono kama wako kuanzisha taasisi ya kushughulika na mambo kama haya.

Na si lazima uombe fedha serikalini pekee waweza hata kuomba fedha kutoka vyanzo vya nje ya nchi na ukafanikiwa cha msingi ni uamini fu na lengo lako.

Kwanza, umalaya unahusisha usafirishaji wa binadamu yaani wasichana wadogo, udhalilishaji wa kijinsia,matumizi ya madawa ya kulevya, mimba za bila kupangwa na madudu mengine,

Pili kwenye mfumo wa kijamii umalaya huleta ushawishi mbaya kwamba ndo dili mjini hivyo hapo ndipo serikali inapotakiwa kushughulikia hii kwa kuweka sheria inayomlinda malaya na hata huyo mnunuzi wa huduma.

Mambo yafuatayo yanapaswa kutekelezwa ili kuhakikisha malengo yako yanatimia:

1.Malaya wote wanatakiwa kuandikishwa na kupewa vitambulisho.

2, Majumba na sehemu zote zinazohusiana na umalaya zijulikane na zitozwe kodi kubwa kulingana na mapato yao.

3, Iwe ni kinyume cha sheria kujitangaza hadharani

4. Vituo vya afya viwe na taarifa zote muhimu za wagonjwa wanaotokana na shughuli za uzinzi na umalaya.

5. Mayala wote waweke taaarifa za kumbukumbu za walotembea nao.

Ukiweka sheria ndogondogo kama hizi zinaweza kupunguza kidogo kasi ya ukuaji wa haya mambo.
 
Duniani kote hii biasharainafanyika, vita yake ni ngumu sababu inafanywa kwa siri sana. Hauwezi kumkuta mdada wawatu kakaa sehemu ukasrma anajiuza hadi umkamate akilipwa hela ama anafanya kitendo kile. Pia kama hakuna wanunuzi basi biashara itakufa yenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani kote hii biasharainafanyika, vita yake ni ngumu sababu inafanywa kwa siri sana. Hauwezi kumkuta mdada wawatu kakaa sehemu ukasrma anajiuza hadi umkamate akilipwa hela ama anafanya kitendo kile. Pia kama hakuna wanunuzi basi biashara itakufa yenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli kbsa....
Mfano Bangkok, kna sehemu kna jengo linaitwa Nana plaza hpo kna malyaa balaa wanajiuza

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani kote hii biasharainafanyika, vita yake ni ngumu sababu inafanywa kwa siri sana. Hauwezi kumkuta mdada wawatu kakaa sehemu ukasrma anajiuza hadi umkamate akilipwa hela ama anafanya kitendo kile. Pia kama hakuna wanunuzi basi biashara itakufa yenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli inafanyika lakini si siri sana kwani vyombo vyote vya sheria na sheria zinawalinda wahusika yaani muuzaji huduma na mnunuzi na kuna sehemu maalum za kufanyia huo ufedhuli.

Ila sheria hizo zinakataza kupigia debe (waitwa pimps) wauzaji, au kufanya shughuli hizo kwenye makazi ya watu.

Ndo maana ukienda kwenye miji kama Amsterdam wanayo sehemu maalum za mambo hayo pia hata London, Stockholm na miji mingine mikubwa.

Ila kama nilivyosema hapo juu kwamba hakuna kushadadia au kupigia debe hiyo ni makosa na waweza kamatwa na polisi.
 
Mkuu huo ni utalii was ndani.hapo ungeomba waiongeze hiyo mbuga katika hifadhi maalum,mi uwa nachukua wife tunaenda kutalii sehemu tofauti usiku.ila wakati mwingine tunatukanwa wakimuona wife kwenye gari na wakati mwingine inaweza kumuona mke wa flani pale,so ndo dunia bana
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo hajafika Dodoma wakati mawaziri wako Dodoma. Wateja wengi wa makahaba wa Dodoma ni watunga sheria na mapolisi (polisi na wanajeshi wengi ni madomo zege) ndio maana ukienda kwenye madanguro ya Kawe na Mtoni utakuta vitanda, magodoro, mablanket na neti ni mali ya JW. Wanajeshi wenyewe wanavipelekaga ili wapewe huduma hata siku hawana pesa.
Duuh hadi kawe? Sehemu gan tena hiyo yapo? Ukwaman? Mzimuni? Ama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom